Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

U nailed it. [emoji3514][emoji298][emoji1634][emoji457][emoji966][emoji471] Umesema vema sana na sahihi.......
 
Hili tatizo ni la Dunia nzima kwa ujumla ila sasa hv wanataka uhuru wao
 
Naskia na huko Zanzibar imekua baada ya nyumba Kuna shoga1,baada ya nyumba shoga nikweli????
Leo kwanza tunazungumzia Dar, Zanzibar ngoja kwanza kuna kipindi chake kitakuja.
 
Mkuu mbona kama unawatetea yaani unaona ni sawa?! Hilo unalotetea ni tatizo la kiakili na hapa tunakemea hatujaja kusapoti. So why unatia efforts kutetea na si kukemea.

Hakuna mtu anachukia binadamu hapa tunachukizwa na tabia
Kama unafikili ni tatizo la kiakili jaribu kumbadilisha shoga aache ushoga kama utaweza. Ukielewa kuwa hilo ni tatizo la kibaiolojia huwezi kuhangaika nao. Kwani wao ni viumbe wameshushwa angani au ni kaka zako binamu zako watoto wa mama zako na dada zako? Hata wewe unaweza ukazaa mtoto umemlea kwa maadili makubwa ila kama hormones zake ni tofauti na jinsia yake yani hata ufanyeje utapiga utaua, kama ni mwanaume ila hormones zake zinampa mihemuko ya kike atavutiwa na wanaume wenzake tuu hata ufanye nini yani ndo kazaliwa ivyo iko kwenye DNA yake.
Acheni ulimbukeni kama ni watoto wenu wamezaliwa hivyo muwape sapoti na siyo kuwahukumu na kuwafukuza. Mashoga wengi wanaonekana vituko kwakuwa ndugu zao wanawafukuza na wanaishia mitaani bila muelekeo wa maisha wanaishia kujiuza kujisapoti kimaisha kitu ambacho kinashusha utu wao. Wapeni sapoti ndugu zenu wakiwa wamezaliwa na viashiria vya ushoga ili wajistiri waweze kuishi kistaarabu kama binadamu wengine.
 
Mtaa niliokulia ilikuwa mtu hata akisimama tu nyuma yako mnagombana. Mtaa watoto wagumu watukutu balaa.

Kuna Dogo mmoja tu alikuwa anawekwa na tulikuwa tunamtenga madogo wote. Na sababu ilikuwa ukiwa mnyonge imekula kwako. Ukipigana ushinde.

Sasi Supu! Sababu anatoa supu. [emoji1787][emoji1787]
 
Simple mathematics:
Chromosome X + Chromosome Y = XY (Male)
Chromosome X + Chromosome X = XX (Female)
Chromosome X + Chromosome X + Chromosome Y = XXY (Klinefelter's syndrom)
Chromosome X + Chromosome Y + Chromosome Y = XYY (Jacob's syndrome)

Kati ya hizo zote hapo huu hakuna gay. Hebu tueleze hiyo confusion inayoleta mashoga inatokeaje.
 
Sijaelewa
 
Wakuu naona mnazungumzia san kuhusu dar,

Vp mkishawah kuja na huk zanzibar mkafanya utafit..[emoji3166]
 
Mlikuwa mnawatenga waliokuwa 'wanamuweka' pia ?
 
Bora ufute hamna Point Mkuu ,Mambo ya ushoga Hatusupport lazima tupinge
 
Hizo haki za kuwa shoga Zimeandikwa wap
 
Hivi mashoga hawaujui utamu wa K ,kwanini wanakubali kukanyagwa?
Nalog off
 
Hivi mashoga hawaujui utamu wa K ,kwanini wanakubali kukanyagwa?
Nalog off
Nani kakuambia mashoga hawagongi k mzee? Tena usikubali mke wako awe na rafiki shoga wale jamaa wanapiga mashine kama kawaida ila wanapenda kupiga wanaume wenzao, ila ukiona demu wako yuko karibu nao jua huwa anapashwa pashwa mara mojamoja ila siyo starehe zao wanawake.
 
Siwezi ruhusu mke wangu awe na ukaribu na mashoga.
Nalog off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…