Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Tupinge ushoga kwa vitendo na sio kwa maneno, Unakubali msaada toka kwa mashoga halafu unasema unapinga ushoga

Mkurugenzi na mwanzilishi wa I Phone bwana Steve jobs alikuwa shoga na alijitangaza hadharani huku akizisifia bidhaa zake za I phone

Leo hii wafanyakazi wengi wa I phone ni mashoga na wamejitangaza hadharani

Unapingaje ushoga huku umenunua simu ya I phone na unajitapa mtaani kuwa ushoga hatutaki Afrika

Watumiaji wa bidhaa na misaada toka kwa mashoga ndio Wanaofanya ushoga uendelee

Unapiga kelele Tanzania Leo wakati bidhaa za mashoga ndio zinazopendwa na zinazidi kuwasifia wao

Watumiaji wa I phone sasa wameongezeka Tanzania na hii imewavutia hata watoto kutaka kuwa na I phone

Wengi wanaopiga kelele za ushoga ndio mashoga wenyewe nyuma ya pazia, Wanatumia mwanya kutangaza zaidi ushoga usikike kwa wale ambao bado hawajaanza huo mchezo

Kama kweli tunapinga ushoga kwa vitendo tuanze kwa kukataa misaada yao, Kukataa bidhaa zao kama za I phone

Huwezi ukawa umebeba I phone Halafu unasema unapinga ushoga

Huwezi ukawa unapata msaada toka nchi kama luxumbourg ukasema unapinga ushoga


Kwani mimi nikinunua hiyo I phone naathirika vipi na huo ushoga wao ?? Au wao wanaathirika vipi katika ushoga wao mimi nikiinunua hiyo I phone?? Au mimi napata dhambi gani kwa kununua hiyo I phone?? Au mtu akitumia hiyo I phone naye anaweza kuwa shoga??.

Kifupi mada yako haina mantiki isipokuwa unataka kutangaza tuone kumbe hata kiwanda cha Iphone ni mali ya mashoga. Unataka tujue kwamba licha ya ushoga wao lakini wanazalisha bidhaa maarufu duniani. Licha ya kuzalisha hiyo bidhaa ushoga wao utabaki kuwa laana na ushoga wao auhusiani na Iphone zao kwani utengenezaji wa Iphone unahusisha elimu ya sayansi na sio uchafu wa ushoga wao.
 
Kumbe kuna iPhones za msaada huko zinapeanwa na mko kimya tu!
 
BE0CD0F1-7FD1-490E-9AF0-7409E6FC239F.jpeg
 
Kwani mimi nikinunua hiyo I phone naathirika vipi na huo ushoga wao.

Unakuwa umeunga mkono ushoga maana kampuni la IPHONE linamilikiwa na mashoga na wote wanaunga mkono ushoga. TENA KWA DHATIIII, na wanatumia nembo ya USHOGA.

Ukinunua bidhaa zao unakuwa part and parcel of the LGBT. Unakuwa muungaji mkono wa MABWABWA na BIDHAA zao.

Unawezaje ukala nguruwe halafu ukasema hupendi nguruwee!! Eeeeeehh????
 
Point yako mbona haina relation ya kifiro na iphone 😀. Wafanyakazi wote wa apple ni mashoga? Yani tusitumie product fulani kisa tu mwanzilishi alikuwa shoga, ama walitangaza hizo iphone ni kwa ajiri ya mashoga😀😀 tafuta namna nzuri ya kuconnect mawazo yako
At least aweke wazo zima kwenye stanza moja😅
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mbwa-LGBT.
 
Mkuu mnaandika maneno magumu sana ndio maana hizi nyuzi zinazohusu mambo hayo huwa naziruka daah...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Usiziruke. Ukweli mchungu kama panado.

Lazima tupasue majipu kweli kweli bila huruma.

Unapasua jipu mpaka linabasti na kububujika uroto. Hapo sasa unasema Yeeeesssssss, jipu limetumbuka IPASAVYO.
 
Tupinge ushoga kwa vitendo na sio kwa maneno, Unakubali msaada toka kwa mashoga halafu unasema unapinga ushoga

Mkurugenzi na mwanzilishi wa I Phone bwana Steve jobs alikuwa shoga na alijitangaza hadharani huku akizisifia bidhaa zake za I phone

Leo hii wafanyakazi wengi wa I phone ni mashoga na wamejitangaza hadharani

Unapingaje ushoga huku umenunua simu ya I phone na unajitapa mtaani kuwa ushoga hatutaki Afrika

Watumiaji wa bidhaa na misaada toka kwa mashoga ndio Wanaofanya ushoga uendelee

Unapiga kelele Tanzania Leo wakati bidhaa za mashoga ndio zinazopendwa na zinazidi kuwasifia wao

Watumiaji wa I phone sasa wameongezeka Tanzania na hii imewavutia hata watoto kutaka kuwa na I phone

Wengi wanaopiga kelele za ushoga ndio mashoga wenyewe nyuma ya pazia, Wanatumia mwanya kutangaza zaidi ushoga usikike kwa wale ambao bado hawajaanza huo mchezo

Kama kweli tunapinga ushoga kwa vitendo tuanze kwa kukataa misaada yao, Kukataa bidhaa zao kama za I phone

Huwezi ukawa umebeba I phone Halafu unasema unapinga ushoga

Huwezi ukawa unapata msaada toka nchi kama luxumbourg ukasema unapinga ushoga
Kama ile kampuni ingekuwa ya mashoga na maanisha mtu haruhusiwi kuajiriwa kama sio Shoga hapo ingeleta maana; lakini kama kuna mtu ameajiriwa kwa utashi wake mwenyewe akaamua kuwa shoga, sioni kama kuna tatizo kumiliki vifaa vyovyote vya apple.
Au pengine kama kungekuwa na program za ushoga kwenye hicho kifaa unge eleweka ila Iphone ni kifaa tu ambacho unaweza kukitumia vizuri kupinga ushoga
Nafikiri tusichukulie vitu juu juu......
 
Nilichogundua mtoa post hana pesa ya kununua iphone😅,na anatamani sana kutumia iphone 😂.. Anaikashifu sana
 
Unakuwa umeunga mkono ushoga maana kampuni la IPHONE linamilikiwa na mashoga na wote wanaunga mkono ushoga. TENA KWA DHATIIII, na wanatumia nembo ya USHOGA.

Ukinunua bidhaa zao unakuwa part and parcel of the LGBT. Unakuwa muungaji mkono wa MABWABWA na BIDHAA zao.

Unawezaje ukala nguruwe halafu ukasema hupendi nguruwee!! Eeeeeehh????


Hivi mwizi mzoefu akinunua gari na likawa linatoa huduma ya usafiri na mimi nikapanda na kulipa nauli, je kosa langu hapo ni lipi??.

Nikinunua Iphone na kuanza kuitumia inanishawishi kitu gani cha Ushoga??
 
Kama ile kampuni ingekuwa ya mashoga na maanisha mtu haruhusiwi kuajiriwa kama sio Shoga hapo ingeleta maana
BODI YA WAKURUGENZI WA KAMPUNI NI MASHOGA. Unawezaje kusema kampuni sio ya mashoga?

The top authority of the company wanaunga mkono ushoga kwa DHATIIIII na wanashirikiii kwenye vitendo hivyoo kwa uwaziiiii.

Unahitaji miwani ganii kubainii kwamba APPLE ni LGBT Champions???

Na ingependeza kama wangeweka LOGO YA UPINDE kwenye zile simu ili wawabamize vizuri.

Na ukiwasha simu ukutane na madume yanabusiana na kulana denda kama ile mikono ya kwenye NOKIAA.
 
Ulikuwa na haja gani kuurudia uzi wa Nyani ngabu kujifanya unaanzisha point.?

Kwahiyo wewe hupingi ushoga?

Kwahiyo kwa sababu mashoga wanatumia magari basi sisi tusitumie magari?

Acheni kujipromoti wajinga nyinyi.
kwani naye ni miongoni?
 
Hivi mwizi mzoefu akinunua gari na likawa linatoa huduma ya usafiri na mimi nikapanda na kulipa nauli, je kosa langu hapo ni lipi??
Huna kosa ila umeunga mkono wiziii bila kujua.

Hata kama haujui kuwa unaunga mkono lakini ndio umeshaunga mkonoo.

Haijalishiii. Kuunga mkono ni kuunga mkono, uwe unajua au haujuii lakini ndio umeunga mkonooo na matokeo yake ni halisii.
 
BODI YA WAKURUGENZI WA KAMPUNI NI MASHOGA. Hivyo, unawezaje kusema kampuni sio ya mashoga?

The top authority of the company wanaunga mkono ushoga kwa DHATIIIII na wanashirikiii kwenye vitendo hivyoo kwa uwaziiiii.

Unahitaji miwani ganii kubainii kwamba APPLE ni LGBT Champions???

Na ingependeza kama wangeweka LOGO YA UPINDE kwenye zile simu ili wawabamize vizuri.
Nimesema hivi: kama kuwa shoga ingekuwa ni sharti la kuajiriwa, hoja yako ingekuwa na mashiko.
Lakini kama hata mlokole anaweza kuajiriwa pale, basi ushoga ni tabia binafsi ya wafanyakazi
Mwisho: Naomba uthibitishe kuwa Bodi ya wakurugenzi wote ni mashoga; weka link hapa tusome?
Logo ya Apple ilikuwepo hata kabla ya ushoga hivyo usi ihusishe!
 
Back
Top Bottom