Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Kataaa ndoa sio kataa kutomba madam

Panua ubongo wako mkuuu

Kwani askari wa zenji mbona alikuwa kwenye ndoa mke + mtoto

Kwani hao mashogz hawawezi kujificha kwenye ndoa huko wakawa wanafirwa

Yaani we mwanamke hii kitu haina formula

Uwe kwenye ndoa ama usiwepo kama mtu ni shoga itajulikana tu


Mbona wakina dangote,musk,mond,wizkid,adenuga,keanu reeves, mayweather hawapo kwenye ndoa na hawatakuwa ila wana watoto na ni straight


Kwahiyo na hao ni gays daaa

We ni mpumbavu sijawahi ona aseee useless comment umeitoa hapo juuu


Nakwambia tena fungua bongo lako acha kuwa na akili mgando kama siagi mkuuu
Unatetea ujinga lifestyle ya diamond ni mfano wa kuigwa kwa vijana wa kitanzania?
 
Mijadala mikubwa inyohusu ushoga imekuwa ikiibuka katika mataifa mbalimbali barani Africa, kwa sasa mjadala huu umetua Africa Mashariki. Uganda, Kenya na Tanzania ndipo kelele na yowe zinapigwa kwa wingi sana sasa kuhusu masuala ya ushoga, hizi zote 3 ni makoloni ya zamani ya Uingereza.

Ni vyema tukaifahamu historia vizuri tukaacha kuwa wapayukaji na wapotoshaji tu hata kama tunauchukia sana ushoga. Sheria kali za kuharamisha ushoga zimekuwepo katika nchi zilizopata kuwa makoloni ya Uingereza hata kabla ya Uhuru. Hali ni tofauti kwa yaliyokuwa makoloni ya Ufaransa na Ureno, wao hawakutunga sheria zozote za kudhibiti au kuharamisha ushoga.

Ushoga haukuwa jambo la msingi kwa Ufaransa tangu wakati wa ukoloni, serikali haikujihusisha kufuatilia. Hali hiyo yamerithi yaliyokuwa makoloni yao pia. Burkinafaso, DRC, Seychelles, Jamuhuri ya Africa ya kati(CAR), Djibouti, Guinea Bissau, Ivory Coast, Gabon, Mali, Niger, Madagascar, Sao Tome, Mauritius, Benin na yaliyokuwa makoloni ya Ureno pia kama Angola, Sao Tome, Cape Verde, Msumbiji hayana sheria zozote za kuufanya ushoga kuwa kosa kisheria. Huko ushoga ni ruksa, ni suala binafsi na serikali haiingilii suala hilo.

Wamarekani hawajaleta ushoga Africa, wameibua tu mjadala wake kwa yaliyokuwa makoloni ya Uingereza.
 
Sawa tunapinga ushoga kwasababu mbalimbali zikiwemo za kidini, madhara ya kiafya na kadhalika.

Lakini nilichogundua mimi ni kwamba kuna ukali sana kwenye upande wa mahusiano kati ya wanaume kwa wanaume lakini upande wa wanawake kwa wanawake kunachukuliwa poa tu. Mnaona sio tatizo zito. Watu wananiambia eti "haina shida" au "sio mbaya kama kwa wanaume".... Nataka niulize; Kivipi yaani?

Sielewi kinachoendelea hapa, Sioni kama kuna sababu yeyote ya kimsingi ya kutetea hawa mnaowaita "wasagaji". Dini nina uhakika hairuhusu, Madhara ya kiafya lazima yawepo kwasababu sii kitu "asili".....

Kwahiyo nakuja kwenu wanajamii, Je kuna mahali hapo ninakosea? Hili swala vipi?
 
Ahsanteni sana Mods kwa kuunganisha nyuzi zinazoongelea Ushoga, msiishie hapo tu ili kufanya hizi mada zipungue, kila mada ihusuyo ushoga iwe inaunganishwa hapa itasaidia watu kukata tamaa maana wengi hawapendi nyuzi zao kuunganishwa na hatimae hizi mada zitapungua na kuisha kabisa humu ndani.

Nitakua nawatag kila nikiona mada ihusuyo ushoga ili tupunguze kelele [emoji28]

Moderator

Cookie

Maxence Melo
tiba si kuunganisha thread bali achen kulawit vijana , ushoga unaanzia hapo
 
Ilikuwa tetesi lakini Sasa niemeanza kuamini. Mfanyakazi mwenzangu na rafiki yangu mara nyingi tuko nae kwenye maamuzi ya kiofisi kumbe ni upinde.

Nimeugua Leo siku nzima kuambia kampangishia maeneo ya Sinza mwanamme ambae namfahamu na mara usiku Huwa anaenda pale kuliwa. Naumwa wadau.

Leo hata kushikana nae mkono nimeshindwa. Hari ni tete jamanii.

Nimeletewa ushahidi wa kutosha.

Kuna nae jua njia ya kumsaidia aache?
kwan kasema ana shida?
 
Sawa tunapinga ushoga kwasababu mbalimbali zikiwemo za kidini, madhara ya kiafya na kadhalika.

Lakini nilichogundua mimi ni kwamba kuna ukali sana kwenye upande wa mahusiano kati ya wanaume kwa wanaume lakini upande wa wanawake kwa wanawake kunachukuliwa poa tu. Mnaona sio tatizo zito. Watu wananiambia eti "haina shida" au "sio mbaya kama kwa wanaume".... Nataka niulize; Kivipi yaani?

Sielewi kinachoendelea hapa, Sioni kama kuna sababu yeyote ya kimsingi ya kutetea hawa mnaowaita "wasagaji". Dini nina uhakika hairuhusu, Madhara ya kiafya lazima yawepo kwasababu sii kitu "asili".....

Kwahiyo nakuja kwenu wanajamii, Je kuna mahali hapo ninakosea? Hili swala vipi?
Dhambi ni dhambi mkuu!
 
Sawa tunapinga ushoga kwasababu mbalimbali zikiwemo za kidini, madhara ya kiafya na kadhalika.

Lakini nilichogundua mimi ni kwamba kuna ukali sana kwenye upande wa mahusiano kati ya wanaume kwa wanaume lakini upande wa wanawake kwa wanawake kunachukuliwa poa tu. Mnaona sio tatizo zito. Watu wananiambia eti "haina shida" au "sio mbaya kama kwa wanaume".... Nataka niulize; Kivipi yaani?

Sielewi kinachoendelea hapa, Sioni kama kuna sababu yeyote ya kimsingi ya kutetea hawa mnaowaita "wasagaji". Dini nina uhakika hairuhusu, Madhara ya kiafya lazima yawepo kwasababu sii kitu "asili".....

Kwahiyo nakuja kwenu wanajamii, Je kuna mahali hapo ninakosea? Hili swala vipi?
Utawasikia "girls are lesbians by nature" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Why isiwe "boys are gays by nature" nachekaga had bas.
 
Sawa tunapinga ushoga kwasababu mbalimbali zikiwemo za kidini, madhara ya kiafya na kadhalika.

Lakini nilichogundua mimi ni kwamba kuna ukali sana kwenye upande wa mahusiano kati ya wanaume kwa wanaume lakini upande wa wanawake kwa wanawake kunachukuliwa poa tu. Mnaona sio tatizo zito. Watu wananiambia eti "haina shida" au "sio mbaya kama kwa wanaume".... Nataka niulize; Kivipi yaani?

Sielewi kinachoendelea hapa, Sioni kama kuna sababu yeyote ya kimsingi ya kutetea hawa mnaowaita "wasagaji". Dini nina uhakika hairuhusu, Madhara ya kiafya lazima yawepo kwasababu sii kitu "asili".....

Kwahiyo nakuja kwenu wanajamii, Je kuna mahali hapo ninakosea? Hili swala vipi?
Hii hali hata mimi nimeiona.

Kinachotokea hapo ni kwamba, patriarchy (mfumodume) una tabia ya kutukuza machismo (umwamba).

Katika mfumodume, kuzaliwa mwanamme ni bahati, ni utukufu, ni ukuu.

Kuzaliwa mwanamke ni udhaifu.

Ushawahi kuona picha zimechorwa wakati tinu ya Simba imefungwa na Yanga, Simba kachorwa kama mwanamke kapakatwa na Yanga dume? Maana yake nini? Maana yake kufungwa ni udhaifu, na udhaifu unahusishwa na wanawake, ndiyo maana anayefungwa anakuwa mwanamke kapakatwa na aliyeshinda anakuwa mwanamme.

Mfumodume.

Sasa, katika mfumodume huu, mwanamke kuwa na mpenzi mwanamke si big deal.

Kwa sababu si mwanamke tu, akiwa na mpenzi mwanamke hashuki station yake, yani kwa akili hizo mwanamke ni kiumbe cha chini kabisa, hawezi kushuka chini zaidi kwa kuwa na mpenzi mwanamke, wanasema tu "huyu hajapata mwanamme wa kumshughulikia vizuri. Akipata ataacha". Yani kuna watu wakiona lesbian sehemu wanalaumu wanaume wa hapo, kwamba wameshindwa kazi zao. Hawaoni kwamba mwanamke anaweza kujiamulia mwenyewe kukataa wanaume na kuwa na mpenzi mwanamke.

Ila, mwanamme aliyezaliwa mwanamme, akiamua kuutupilia mbali uanamme wake, akaamua kuwa anakazwa, kwa raha zake nanuhuru wake mwenyewe kwenye mwili wake mwenyewr, hapo mfumodume unapata matatizo sana, kwa sababu mwanamme huyo anaonekana yeye kashinda lottery ya nature ya kuzaliwa mwanamme, halafu kaikataa, kasema yeye anataka kukazwa kama mwanamke.

Pia note kwamba mara nyingi mashoga wanaoshikiwa bango ni bottoms (wanaofirwa), sio mabasha. Yani basha (top)anaonekana kidogo afadhali kwa sababu yeyr bado ana kauanaume fulani kuwafanya wenzake, ingawa naye anaonekana msaliti kwa sababu anawaingikia wanaume wenzake na si wanawake.

Kuna saikolojia kubwa ya dominance, patriarchy na power plays in gender politics, conscious but largely subconsciously.

Kitendo cha kujamiiana na mambo ya gender identity yamekuwa kama vita ya kuwaeeka watu fulani chini, na wengine juu.

Na hawa gays ni kama the most vulnerable and least common denominator hated group in society.

Yani wewe hata kama ni mjinga vipi, masikini vipi, loser vipi, usipokuwa kundi hili la gays, na unatafuta namna ya kujisikia una afadhali katika ujinga wako, umasikini wako, u liser wako, wapige mawe tu hili kundi.

Utapata watu kibao wa kukupa uncritical support na kukufanya ujisikie vizuri.

Na wabongo wanapenda sana habari za kusema mambo kwa mkumbo.

Hapo ndipo unakuta everybody is piling up on the gays, without even understanding the biology, psychology, issues of autonomy and personal freedom, human rights.

Hizo habari za kupunga ushoga kwa dini ni ujinga tu, si kila mtu anaamini dini zenu.

Leo Waislamu wakilazimisha kila mtu asile nguruwe kwa sababu nguruwe ni haramu kwenye dini yao utaona sawa?

Habari za kiafya zipi za kupinga ushoga?

Watu wanaambukizana UKIMWI kila siku kwa heterosexual sex, umepinga watu wasifanye heterosexual sex kwa furaha na faragha zao wakikubaliana?

Wakati huo huo wachimbaji wamekufa mgodini hakuna hata mtu anayeulizia usalama wa Watanzania migodini.

It's a pathetic sense of puritanism and fake modesty.

Wabongo wengi ndiyo wako hivyo.
View attachment 2552454
 
Tunawasakama mashoga tunawacha mabasha ni zambi tuwabane wale mabasha wao
Screenshot_20230313-225719.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Salaam,

Niende Moja Kwa Moja kwenye hoja yangu, Kwa Imani Mimi ni mkristo napenda kuchimba sana kwenye Biblia maana naamini kabisa ni neno la MUNGU -Zaburi 119:105

Sasa Kuna watu naona wapo mstari wa mbele kupinga ushoga na hata kutaka mashoga wauawe kana kwamba uasherati na uzinzi wao sio tatizo. Watu wanajisifu kulana kimasihara, kula wake za watu kushindana ni nani kalala na idadi kubwa ya wanawake na anaona ni ufahari kabisa ila anapinga ushoga kana kwamba dhambi zake yeye ni halali

Sitetei tabia ya ushoga ila ninachotaka kusema ni kwamba dhambi ni dhambi na usifikiri dhambi yako wewe ni nzuri ila ya mwenzio ndio mbaya.

Kwa wale wenzangu ambao ni wasomaji wa Biblia turejee 1Korintho 6:9,10 dhambi zote hizo ni chukizo Kwa Muumba wetu na kila anayezifanya hataingia kwenye ufalme wa MUNGU

Rejea pia Galatia 5:19-21 kuhusu matendo ya mwili ambayo ni chukizo mbele za MUNGU

Hivyo basi ikiwa tunataka kuwa watu safi mbele za Muumba wetu mtakatifu tuache na pia tukemee dhambi zote hizo bila kubagua vinginevyo ni kwamba anayesema wema ni uovu na anayesema uovu ni wema wote hao ni chukizo mbele za MUNGU.

Amani iwe nanyi, muwe na jioni njema
 
Back
Top Bottom