Hizi habari ni hatari kaka zisikie tu,Kuna jamaa ana ndugu US hua anamletea sana vifaa vya kielectronics mfano simu, katika kufahamiana nikamuomba aniuzie simu ambayo aliokua anatumia,akakubali,
Sasa akasahau kufuta akaunti zake za facebook,Messenger,tiktok,Insta, google akaunti,alichofanya yeye ni kulog out kwenye akaunti zake,akasahau kwamba google hua inasave passwords,
Sasa wkt nataka kulogin kwenye akaunti zangu nikakuta google imeshaweka username na password nikalogin, nilichokutana nacho humo kwenye msg ni hatari.Lets pray for the nation