Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Kuna clip nyingine alitoa kama speech hivi, kuna muda alizungumza kwamba kakimbia hatari ya kuonekana choko Tanzania...

Huenda katumia tu fursa hiyo kujipatia ukazi/ukimbizi huko Ujerumani na hata asiwe choko...

Sababu wanaomfahamu wanadai ana watoto na mume...

Screenshot_20230430_154608_Chrome.jpg
 
Yaani nchi za Africa ni wajinga sana ,hapa Tanzania walawiti ni ruksa, wafiraji ni ruksa,wezi ni ruksa ila mashoga ni dhambi ,jamani nchi zenu tengenezeni uchumi uliokuwa Bora ili wazungu wakileta utamaduni wao muwakatae ,Sasa nyinyi kila kitu mnaomba Kwa wazungu mnategemea musiletewe madudu Yao?madini mnayo ,bahari mnayo,maziwa mnayo,mazao mnayo, Sasa mnataka nini ?nasema hivi walete hadi mdomoni ili akili ziwakae sawa
Unasemaje kuwa wafiraji ruksa, kwani kuna mtu in public alishataka kukufira ukamkubalia?
 
Si afadhali haya kuliko wizi wa mafedha kibao ya UMMA ambao hakuna anayeukemea. Hizi longo longo mnazopiga kwenye hii habari mgeielekeza kwenye kukomesha mali za UMMA, barabara zote zingelikuwa na lami.....
Kwani huwa hatupigi kelele kuhusu huo wizi ? Hizi nyuzi kuhusu uwizi serikalini si zipo kila siku humu ??? Kama upo upande huo sema tu tufahamu umeegemea upande upi..
 
Bendera inakusaidia nini kama hukemei wizi wa mali za umma? Uchawa kitu kibaya
Kuna nyuzi kibao humu zinakemea wizi wa mali za umma. Kwani ni lazima wote tukemee jambo moja? Au nawewe ni mmoja wao!!!
 
Mwenzako hapo unakuta hata sio shoga Ila anatafuta kuzipiga Pesa za mabeberu😀😀
Bado hujajua baadhi ya Akili za Watu wewe.


Hiyo ni fursa mpya ukitaka Pesa za burebure ni kujifanya mpigania Haki za MASHOGA, unapiga Pesa unaacha Watoto wasiolelewa na Wazazi wao Dunia iwafunze

Mtu anazaa mtoto mwenyewe hamlei anataka serikali ndo imlelee mtoto wake. Ushoga unaanzia majumbani, msipolea watoto wenu watapopolewa tu hata serikali itoe matamako vp.
 
Huyu ni kuwasiliana na familia yake na kuwajuza kuwa serikali ina mkono mrefu inaweza watia ndani wote wanafamilia hadi huyu atakaporejea.
 
Atleast asitumie Our National Flag. Kwanini asingebeba lile libendera lao la marangi rangi ya upinde kama walivyofanya wenzie!
Mpumbavu sana yule demu hebu tufanye jitihada ajulikane. Aache kudhalilisha ukoo wake fala huyo.
 
Kuna clip nyingine alitoa kama speech hivi, kuna muda alizungumza kwamba kakimbia hatari ya kuonekana choko Tanzania...

Huenda katumia tu fursa hiyo kujipatia ukazi/ukimbizi huko Ujerumani na hata asiwe choko...

Sababu wanaomfahamu wanadai ana watoto na mume...

View attachment 2605014
Huyu dawa ni kuteka watoto wake na mume kisha kumtumia video ya kumuelekeza kujisalimisha ama sivyo watapotezwa.
 
Mtu anazaa mtoto mwenyewe hamlei anataka serikali ndo imlelee mtoto wake. Ushoga unaanzia majumbani, msipolea watoto wenu watapopolewa tu hata serikali itoe matamako vp.

Hapo sasa.
Hao wanaharakati wameona fursa Acha wazipige Pesa za mabeberu
 
Back
Top Bottom