Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Unadhani ni kwanini Ushoga unajadiliwa sana Kuliko Usagaji?

Sababu akitoka MUNGU anakuja Mwanaume kisha anakuja Mwanamke ndio maana watu baadhi huhisi kua MUNGU ni Mwanaume kutokana na uumbaji aliumba mtu anaefanana nae kisha akamtumia Mwanaume kumuumba Mwanamke, sasa ni MUNGU gani anakua shoga anaefirwa na Wanaume wengine ? Mwanamke ameumbwa kwa mfano wa Mwanaume sio kwa mfano wa MUNGU maana kwenye uumbaji wa kwanza kuumbwa ni Mwanaume, kwa mujibu wa Maandiko ya vitabu vya Dini
Sidhani kwamba katika vitabu vyote vya dini imeandikwa kuwa Mungu aliumba binadamu kwa mfanowe.
 
Write your reply...dah hizi mambo nilikuwa siziamini kama zipo ila nijuzi juzi hapo imenitokea..kuna njemba moja sijui ilipataje namba yangu ikawa ina nichatisha minajua nachati nademu..nikaipigia simu sauti inaongea kama piskali ikanielekeza nikaifata nishapiga vitu vyangu kichwani nikajua leo naenda kupeleka moto..kufika lahaula mtume nikijeba kimepanda hewani ngozi nyeusi kina nisalimia sauti kimebana nilitoka mbio..pombe zote zikaisha kila siku chemba inanisumbua nikaifukue tope na ahadi kedekede nikaiblock lakin wapi ina nitegea mpaka maskani nikaona ujinga huu nikaishikia panga nikasema ukinifata tena nakuparasa mabega kidogo ikasaidia..hyo njemba ni jitu la mwanza lime panda hewani ukiliona huwezi zania
kwanzia hapo nikasema kweli bongo kama mbele kummk
Ungetulia upigwe miti.
 
Mwanamke akiwa na feelings kwani yanavimba kama mpira 😃
Nyege huwa zinayavimbisha! Hicho huwa ni kigezo kujua kama mwanamke anakufeel au anakudanganya. Ukiona hayavimbi yanabakia hivyo hivyo, jua kuwa anakuibia tu. Au mwenzangu umezoea machangu?
 
Inaweza kuwa siyo kosa Lakini usihamasishe wengine kufanya hivyo.na tukiweka Sheria kuwa hatutaki yaendelee usipinge
Afrika Kusini kulikuwa na shedia ya nchi ya kubagua watu weusi, je ubaguzi dhidi ya watu weusi ulikuwa ni kitu sahihi, cha haki na sawa kwa sababu iliwekwa sheria ya kubagua watu weusi tu?
 
Afrika Kusini kulikuwa na shedia ya nchi ya kubagua watu weusi, je ubaguzi dhidi ya watu weusi ulikuwa ni kitu sahihi, cha haki na sawa kwa sababu iliwekwa sheria ya kubagua watu weusi tu?
Hapo ndipo jibu linakuja, sheria zingine ni kandamizi na hazina budi kupigwa vita.
 
Sasa hoja ya sheria iondoe. Kwa sababu sheria si lazima iwe haki. Na wewe umefanya kama vile kitu kikiwa sheria tu ni cha haki.
Mkuu sheria zinatungwa na watu, na muswada kupitishwa kuwa sheria si kigezo cha sheria hiyo kuchukua nafasi ya haki. Sheria si haki. Nafikiri ulimaanisha hivi!
 
Mkuu sheria zinatungwa na watu, na muswada kupitishwa kuwa sheria si kigezo cha sheria hiyo kuchukua nafasi ya haki. Sheria si haki. Nafikiri ulimaanisha hivi!
Naam. Tuongelee mengine. Haki, maadili, falsafa.

Sheria si vibaya kuijadili, lakini tusifanye kama vile sheria ndiyo inamaliza mjadala.

Kwa sababu hata serikali inajua kuna bunge limewekwa kutunga sheria, kuzibadili etc.
 
Naam. Tuongelee mengine. Haki, maadili, falsafa.

Sheria si vibaya kuijadili, lakini tusifanye kama vile sheria ndiyo inamaliza mjadala.

Kwa sababu hata serikali inajua kuna bunge limewekwa kutunga sheria, kuzibadili etc.
Hakika... naongeza hapa mkuu, haki ya mtu haibadilishwi ila sheria inaweza. Hivyo haijuzi kabisa kufananisha sheria na haki.
 
Mimi ni mwanasayansi daktari bingwa wa magonjwa ya kinamama.nimemsoma mwanadamu kuanzia kuumbwa kwake .na kwenye somo hili ( embryology ) nilipata marks 93 Yani excellence au A+...
Andiko lako nililiona bora, na kuna sehemu umeandika ukweli mtupuu, ila ulipofika kwenye hoja za uzazi/uzao ndipo niliopoona ubovu wa andiko lako.

Sijawahi jua yeyote anayepinga [emoji2380][emoji2380] huwa anatoa hoja zisizo na mashiko, woiiiiiiih.
 
Akikujibu nistue.
Waafrica wame over react kwenye hii issue alafu adhabu zao eti jela sasa huko jela anaenda kuacha au kuimizwa zaidi.
Wazungu wamefikilia nini shida mtu kaamua kutumia kinyeo chake kwa pleasure and leasure yake sisi tusio ma gay tunapanic na kusema dhambi tena kwa kigezo cha dini zilizoletwa na wazungu hao hao
Wa Africa shida tupuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sihitaji salamu,hizo nimewaachia watu wa pwani Dar na Zanzibar!.


Hivi unadhani ni kwanini suala la Usagaji wa Mahindi kutoka Sumbawanga halipewi kipaumbele kwenye mijadala mingi ukilinganisha na suala la ushoga baina ya Mwajuma na Rebecca...
Paragraph ya mwisho ukikibiwa nitag.
 
Unadhani ni kwanini Ushoga unajadiliwa sana Kuliko Usagaji?

Sababu akitoka MUNGU anakuja Mwanaume kisha anakuja Mwanamke ndio maana watu baadhi huhisi kua MUNGU ni Mwanaume kutokana na uumbaji aliumba mtu anaefanana nae kisha akamtumia Mwanaume kumuumba Mwanamke, sasa ni MUNGU gani anakua shoga anaefirwa na Wanaume wengine ? Mwanamke ameumbwa kwa mfano wa Mwanaume sio kwa mfano wa MUNGU maana kwenye uumbaji wa kwanza kuumbwa ni Mwanaume, kwa mujibu wa Maandiko ya vitabu vya Dini
Hebu tupe uthibitisho wa haya madai yako.
 
Kumekuwa na jitihada za ambazo baadhi ya nchi za kiafrika zinachukua juu ya ushoga na Lgbtq ikiwemo pamoja na kuwekwa kwa sheria za wazi kabisa bila kupepesa macho, tumeona kilichotokea pale Uganda kuhusu Mapenzi ya jinsia moja, lakini ukitazama kwa upande wa Tanzania haijaweka juhudi za waziwazi na hatua madhubuti,juu ya swala la Ushoga ni kusema kuwa bado tuko katika nyororo ya utumwa kimaamuzi na kuogopa msuri wa mkono wa kimagharibi au Tumekubali Lgbtq ila tunaogopa kutazamwa vibaya na nchi zinazopinga Ushoga?
 
Ngoja tumtoe knock out Mwarabu kwanza halafu tutarudi tupambane na report ya CAG na Kisha tunachinja mashoga wote mwaka huu Wa TZ tutoke gizani
 
Back
Top Bottom