Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Miaka michache ijayo sijui kama kutakuwa na wanaume hapa Dar! Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana, ushoga umekuwa ni jambo la kawaida hapa Dar.

Sidhani kama kuna mtaa Dar ambao hauna mashoga, Mungu atunusu maana kwasasa mashoga wa sasa sio kama kipindi cha nyuma. Wa sasa hivi unakuta ni mtu na status yake, haonekani kama ni shoga, wengi ni watu smart kichwani na wengine wana ndoa zao.

Wengine ni watu na miili yao ya mazoezi wamejazia, ukimuona unasema ni kidume, wengine hadi ni wale watu wa kombati na nyota zao.

Hapa ofisi ninayofanyia kazi kuna watu na vyeo vyao wawili, nilichogundua wana mahusiano yasiyofaa kwani niliwafuma wamejifungia ofisini japo hawakuniona nilihisi kuishiwa na nguvu!

Sijui kama miaka michache kutakuwa na wanaume marijali wengi, itakuja kufika mahali kati ya wanaume 10 ambao ni homesexual ni 8.

Hali ni mbaya sana hapa Dar, kuna haja ya kutangazwa hali ya dharura, ushoga ni janga la kitaifa haswa hapa Dar. Hivi tatizo ninini? Yaani limekuwa ni jambo la kutisha hadi mtu unaogopa kuzaa mtoto wa kiume. Mungu nilindie kizazi changu uwiii, wanaume kwanini hivyo lakini?
Hao uliowaona wamejifungia uliona wakifanya nini au ni wasiwasi wako tu.
Mimi siamini kuwa mashoga ni wengi kiasi hicho.kwa sababu watoto wazuri ni wengi sana.Nani mwenye akili chafu kuacha kuoa hao
 
Maneno na vitendo vinashahabiana mkuu mmoja bado ni binti wa chuo mwaka wapili huyu karibu ana mtu wake kabisa yeye mwingine ana ajira yake sasa sijui wao huwa wanaona nini special maana wanawake nao sio wakuwaamini sana wanayoongea japo huyo wa chuo ukimuuita lazima muanike godoro na yeye ndo anasemaga hapo tu ndo panafanya anicheki kila mara
I see.
 
miaka fulani uko nyuma ktk hizi pitapita za uku na uko humu mitandao nlikutana na bibie mmoja alidai yeye ni wa magomeni dar bac tukachat sana bdae akaniweka wazi yeye yumo mitandaoni anasaka mademu wenzie uko kwa ajili ya kutoka nao kimapenzi akadai yeye hana hata chembe ya hisia na mwanamume anapenda wadada wenzie tu. nikambana wanafanyaje wkt hawana dudu. akadai yeye raha yake ni kulamba/kunyonya nyuchi za wenzake na ktk vitu asichopenda ni demu anayenuka kisamaki huko chini. yeye anadai "inamkata stimu sana". maajabu hayaishi dunia hii
 
Utafiti wako hauna uhalisia kwa kiasi fulani,mkuu.

Miaka kadhaa nilihamia sehemu Fulani. Demu wangu akaja kunitembelea akakaa kama wiki.Kuna tom boy wa pale mtaani akamwona ila hakujua kama ni Manzi yangu,akamletea pigo za kumsifia uzuri. "Cheupe mzuri sana " bibie anaitikia Asante,kumbe tom boy ana yake

Siku Moja Jioni hapo home kukawa na birthday party alafu Mimi ni mgeni Nina kama wiki mbili sijazoeana na mtu. Jamaa mmoja akanifata "oii mwana njoo tuchome mbuzi hapa nje,tunahitaji kampani yako Mzee!! Nikaona fresh Wacha nijichanganye ,nizoeane na watu pia. Tukatoka wote Mimi na "wife" tukaungana nao kuparty...mziki mkubwa !!

Wakati muziki ukiendelea,Yule demu tomboy nikaona kama analeta pigo za kumganda bibie ila sikutilia maanani.

Muda kidogo nikaona bibie karudi ndani bila kuniambia. Namfuata na kumuuliza kimetokea nini mbona ghafla kabadilika akaniambia yule demu aliyesuka Rasta analazimisha kunikula mate na kunishika maziwa na huku chini. Alafu ananiambia anaomba "akaninanii" atanipa Hela yoyote ninayoitaka eti amenipenda.

Nilishikwa na wivu uliochanganyika na hasira,nikataka nimfate ila wife akanishika mkono na kuniambia niache nisije kuharibu shughuli ya watu.

Kesho yake mapema tu nikamfata kwao mana tulikuwa majirani. Nikamchimba bonge la biti,akaomba msamaha akasema hakujua kama ni demu wangu eti!! Tangu siku hiyo nikiona wanawake kwa wanawake wanakuwa marafiki kupitiliza Tena mmoja awe na Rasta ,Huwa natilia shaka kidogo.
Mim ningekuwa wewe ningemtongoza huyo demu tomboy Mkuu
 
We mwanamke¡!¡! mbona kuna demu tumezoeana sana nilimuuliza kuhusu hicho kidude cha choon akaniambia sio kizuri maana kinatepetesha k,
habari ndio hiyo, unasema mtu amechelewa kutoka anaharisha kumbe ametoka kujikojoza na hiko kidude
 
Back
Top Bottom