Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
tukemee hii kitu inaitwa usawa
watoto wa kiume lazima wawe treated as men
watoto wa kiume lazima wawe treated as men
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau kutuma salamu kwa watu watatuHello members
Eeh banaee Dunia inaenda kufunikwa na janga kubwa la Ushoga na usagaji
we need to pray a lot and ask God to save us from this disaster in our families because everywhere disaster is declared and other countries have allowed these evil things to happen
What does (this video clip) has to do with hizi takwimu za [emoji2380]?
Sababu wengi ni freemason ukiwa freemason ni lazima uliwe kiboga kama sehemu ya kafara humiliation ritual stageUkiamua kua mkweli Israeli ndio nchi inaongoza kwa ushoga kulingana na idadi ya watu wake.
View attachment 3011975
Astaghafirullah
Ukiamua kua mkweli Israeli ndio nchi inaongoza kwa ushoga kulingana na idadi ya watu wake.
View attachment 3011975
Utafiti feki huu, mbona nchi nyingi ni za kikatoliki?l
Leta wako huo ambao sio fake mkuu
Kwa akili zako wewe unaweza kuzuia au kupambana na hili swala..?Ifuatayo ni orodha ya nchi zenye idadi kubwa ya watu waliojitanabaisha kama wana upinde [emoji2380]
:
[emoji1198]Philippines: 11%
[emoji631] US: 11%
[emoji1242] Thailand: 10%
[emoji1054] Brazil: 9%
[emoji1236] Sweden: 9%
[emoji633] Spain: 8%
[emoji636] UK: 8%
[emoji632] France: 7%
[emoji629] Germany: 7%
[emoji1132] Ireland: 6%
[emoji1250] Turkey: 6%
[emoji1200] Poland: 5%
[emoji1126] Hungary: 4%
[emoji2406] South Korea: 3%
[emoji1205] Romania: 3%
Chanzo: Statista
My take : Tuweni makini Sana haswa na tamthilia pendwa za kifilipino ambazo ndizo zinazoangaliwa zaidi na wanawake pamoja na watoto katika kaya zetu.
True story :Mimi kwangu nimepiga ban kuangalia michezo hiyo ya kuigiza ya kifilipino maana baadhi ya character (waigizaji) unakuta ni mashoga., jambo ambalo dada zetu na wakw zetu wameanza kulichukulia poa huku wengi wakiamini ni maigizo tu and nothing else.
Ombi langu: TTCRA jaribuni kuangazia maudhui ya tamthilia haswa za kifilipino zinazoonyeshwa na local channels zetu before it is too late.
View attachment 3011970View attachment 3011971View attachment 3011969
🤣🤣🤣🤣 Hayo ndio majibu ya utafiti, kama hukubaliani nayo tuletee utafiti wako sio mawazo yako.Utafiti feki huu, mbona nchi nyingi ni za kikatoliki?
UMESAHAU UVCCM ASILIMIA 0.9Ifuatayo ni orodha ya nchi zenye idadi kubwa ya watu waliojitanabaisha kama wana upinde [emoji2380]
:
[emoji1198]Philippines: 11%
[emoji631] US: 11%
[emoji1242] Thailand: 10%
[emoji1054] Brazil: 9%
[emoji1236] Sweden: 9%
[emoji633] Spain: 8%
[emoji636] UK: 8%
[emoji632] France: 7%
[emoji629] Germany: 7%
[emoji1132] Ireland: 6%
[emoji1250] Turkey: 6%
[emoji1200] Poland: 5%
[emoji1126] Hungary: 4%
[emoji2406] South Korea: 3%
[emoji1205] Romania: 3%
Chanzo: Statista
My take : Tuweni makini Sana haswa na tamthilia pendwa za kifilipino ambazo ndizo zinazoangaliwa zaidi na wanawake pamoja na watoto katika kaya zetu.
True story :Mimi kwangu nimepiga ban kuangalia michezo hiyo ya kuigiza ya kifilipino maana baadhi ya character (waigizaji) unakuta ni mashoga., jambo ambalo dada zetu na wakw zetu wameanza kulichukulia poa huku wengi wakiamini ni maigizo tu and nothing else.
Ombi langu: TTCRA jaribuni kuangazia maudhui ya tamthilia haswa za kifilipino zinazoonyeshwa na local channels zetu before it is too late.
View attachment 3011970View attachment 3011971View attachment 3011969
Mkuu mbona umemtag huyu