Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
🤣🤣🤣 Muache ndugu yangu Mbaga Jr . Au apige simu moja tu akuonyeshe anajuana na akina naniNaona wamegusa ya kwako ndio maana comment yangu imekuuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Muache ndugu yangu Mbaga Jr . Au apige simu moja tu akuonyeshe anajuana na akina naniNaona wamegusa ya kwako ndio maana comment yangu imekuuma
Siwez hiyo dhambi ni motoni directunawezekana si papai ila ni mteja wa mapapai
Dah nimelia sana 😭Naona wamegusa ya kwako ndio maana comment yangu imekuuma
Vipi wamegusa penyewe..Mods onganisheni hizi nyuzi!! Kila wiki watu wanapandisha halafu hazina maana ujinga mtupu
Kila wiki wanaleta hizi nyuzi, wanapinga au wanasambaza?Dah nimelia sana 😭
Awe makini tu asije kwenye bash, watambashiaHuyu hapingi ila kuleta mada kama h n kusambaza ugasho
Umekemea wapi?Vipi wamegusa penyewe..
Napata mashaka mambo ya kukemea hutaki tukemee?
🤣🤣🤣🤣Vipi wamegusa penyewe..
Napata mashaka mambo ya kukemea hutaki tukemee?
Hawa wapuuzi wanasambaza haya mambo aisee, bora iwe kimya kimyaKila wiki wanaleta hizi nyuzi, wanapinga au wanasambaza?
Zamani watu walikua hawaongelei hili na kasi yake ilikua ndogo
Vipi siku hizi watu wanaongelea sana na kasi inaongezeka!
Ana ajenda yake huyu! Anajichekesha hovyo😂😂😂 Mtoa Uzi ulikua unania Nzuri tu ila kumbe deep inside wataalam wa Cuba wamekuona kwa mbaaaali unavimichongo/ Shauku isiyoeleweka 🤣🤣🤣
Duuh mimi tena...😂Umekemea wapi?
Wewe ndiye wamekugusa penyewe ndio maana unasikia raha kusoma mambo yako
Watu wa D mbili wanatafsiri zao mm sijui alivyowaza mjuba😂😂😂 Mtoa Uzi ulikua unania Nzuri tu ila kumbe deep inside wataalam wa Cuba wamekuona kwa mbaaaali unavimichongo/ Shauku isiyoeleweka 🤣🤣🤣
Wamemshtukia 😂😂😂😂 Mtoa Uzi ulikua unania Nzuri tu ila kumbe deep inside wataalam wa Cuba wamekuona kwa mbaaaali unavimichongo/ Shauku isiyoeleweka 🤣🤣🤣
Kwa hiyo ulikuwa unajua uwezo wa shetani unaishia kwenye miji mikuu pekee?Wasalaam ndugu zangu.
Katika pitapita Whatsapp groups nimekutana na group la wasagaji na mashoga .Jamani Mungu ndio soluhisho kwetu kama ndugu yangu ni muislam au wewe ni mkristo kazana kusali na kuweka familia zetu jilani na Mungu.
Shetani amesambaza hii roho mpaka mikoani uko.
Yeah! Bora iwe kimyakimya lakini sio vibaya kufungua uzi kukemea inakua tunakumbushana njia nzuri ya kuenendaHawa wapuuzi wanasambaza haya mambo aisee, bora iwe kimya kimya
Aliulizwa uliingia kwenye grup kutafuta nini. Hata sijui amejibuje hebu nikumbushe.😂Ana ajenda yake huyu! Anajichekesha hovyo
Wewe fikiria id mpya kufika na kufika anatufungulia uzi wa mashoga na wasagaji
Na hata kama ana mambo yenye utata, atatatuliwa hapahapa😂😂😂 Mtoa Uzi ulikua unania Nzuri tu ila kumbe deep inside wataalam wa Cuba wamekuona kwa mbaaaali unavimichongo/ Shauku isiyoeleweka 🤣🤣🤣