Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Jamii tuliyonayo imeshaharibika hata itiwe ndimu haisaidii kitu, cha muhimu ninachokiona ambacho kitasaidia kupunguza (Sio kuondoa) tatizo tulilonalo ni kuwa kila mmoja wetu apaze sauti yake kuanzia ngazi ya familia, ukoo na hata jamaa zake katika kuwaelezea tatizo hili, nahisi kwa kiasi fulani itasaidia.
Kila mmoja wetu na atimize wajibu wake.​
 
Jamii tuliyonayo imeshaharibika hata itiwe ndimu haisaidii kitu, cha muhimu ninachokiona ambacho kitasaidia kupunguza (Sio kuondoa) tatizo tulilonalo ni kuwa kila mmoja wetu apaze sauti yake kuanzia ngazi ya familia, ukoo na hata jamaa zake katika kuwaelezea tatizo hili, nahisi kwa kiasi fulani itasaidia.
Kila mmoja wetu na atimize wajibu wake.​
Nakubali 100%
 
Mzee wa usafini ndio rolo modo WA vijana wenu hapo unatarajia nini anajisifia kabisa kwenda geto la pdidy eti alienda usiku na walifanya mambo mengi sana ambayo hawezi kuyaelezea kwenye sosho media. Vijana wanavaa mitelezo na anakaa na kuzunguka na magasho kila Kona Manona sawa tu. Ishakuwa mbwai wacha waliwe tu kizazi cha jezebeli.
 

Attachments

  • 20240918_111306.jpg
    20240918_111306.jpg
    141.4 KB · Views: 4
Tuwe wakweli juu ya ushoga
Kwa ilivyo juu ya rushwa ndivyo ilivyo ktk ushoga . Tunaimba kiila juu ushoga ni kitu kibaya lkn tunafunga maskio yetu kila siku yasikia wasanii wetu wakisema "kwa mpalange kwa mpalange" na wananchi hata kupiga marufuku maneno zinazo glorify ushoga .
Kwa sbb siasa imeingizwa kwenye rushwa,wanapiga rushwa kwa maneno tu ndio wala rushwa wakubwa.
Ushoga ni ttz kubwa, tuache kuimba nyimbo zinazotukuza ushoga. Hili ttz la ushoga ni balaaa kwa taifa. Wote tunajua kwamba hata ktk familia nyingi manaume wanaingilia hata wapenzi wao na pengine hata wake zao kinyume ncha maumbile.
Swali langu: Tutaacha lini unafiki wa kuingiza siasa ktk masuala muhimu kama haya. Kwanini hatupendi kutatua mattz yetu kulingana na uhalisia wake?
Ushoga ni utamaduni wa waarabu wao wanasema ni sunna za mtume.
 
Mzee wa usafini ndio rolo modo WA vijana wenu hapo unatarajia nini anajisifia kabisa kwenda geto la pdidy eti alienda usiku na walifanya mambo mengi sana ambayo hawezi kuyaelezea kwenye sosho media. Vijana wanavaa mitelezo na anakaa na kuzunguka na magasho kila Kona Manona sawa tu. Ishakuwa mbwai wacha waliwe tu kizazi cha jezebeli.
sinza pazuri
 
Back
Top Bottom