mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Unaamka kufanya ibada.Hahaha haha,sio ndio unaongeza ufundi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaamka kufanya ibada.Hahaha haha,sio ndio unaongeza ufundi
Ukiwa mwepesi kabisaUnaamka kufanya ibada.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiwa mwepesi kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiwa mwepesi kabisa
Ukiwa mwepesi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ee wakiwa wepesi[emoji16]
Jamaa angu umeniwahi, nikipata uongozi katika hii nchi, ntaruhusu azana pekeyake, mambo mengine watumie speaker za ndani,
Sasa mtu ameshatoa azana bado anasema maneno kibao utadhani wote wanaomsikia ni waislam, af wengi ni wazee wanamaneno ya ajabu sana.
Kuna mmoja aliwahi sema eti hiyo boda yako, ni kaburi unaweza anguka nayo. Khaaa inahusu?
Sa si uhame tu, Bangi za chooni zinasumbua SanaManeno hasi ya Azana yananifanya nisilale kila ifikapo alfajiri.
Kwa mbali naskia "Swalah Swalah
Kitanda chako ndio kaburi lako
Usingizi wako ndio kifo chako" na maneno mengine ya kukutoa kitandani.
Oya hz Mambo Kama wangeweza kupigiana simu waambiane muda wa kuswali umefika ingependeza zaidi
Mana tunaosikia hivyo vitisho ni wengi hasa ss tunaolala nusu nusu
Najua Sehem ya wahusika mnasoma na isiishie hapo mkaambiane huko uongozini Mana hw wa mtaani kwang wanajitia viziwi
Maneno hasi ya Azana yananifanya nisilale kila ifikapo alfajiri.
Kwa mbali naskia "Swalah Swalah
Kitanda chako ndio kaburi lako
Usingizi wako ndio kifo chako" na maneno mengine ya kukutoa kitandani.
Oya hz Mambo Kama wangeweza kupigiana simu waambiane muda wa kuswali umefika ingependeza zaidi
Mana tunaosikia hivyo vitisho ni wengi hasa ss tunaolala nusu nusu
Najua Sehem ya wahusika mnasoma na isiishie hapo mkaambiane huko uongozini Mana hw wa mtaani kwang wanajitia viziwi
Jamaa angu umeniwahi, nikipata uongozi katika hii nchi, ntaruhusu azana pekeyake, mambo mengine watumie speaker za ndani,
Sasa mtu ameshatoa azana bado anasema maneno kibao utadhani wote wanaomsikia ni waislam, af wengi ni wazee wanamaneno ya ajabu sana.
Kuna mmoja aliwahi sema eti hiyo boda yako, ni kaburi unaweza anguka nayo. Khaaa inahusu?
Acha uvivu. Amka. Hupachi chcht ukiwa umelala.
Kimsingi binadamu tunapaswa kulala masaa 4 tu.
Mbona una expose uhalisia wako mzeeWanakupigia makelele uKiwa unasikilizia ,.....b .oo ya matta core
We acha tu na Siku hizi vijana wadogo wanajifanya kuswali Sana na kuwachatisha dada za watu wamoAnayekupigia hizo kelele unakuta ametoka kulala na mke wa mtu. Siku ya kiama sijui itakuwaje aisee
Huwa ni mtu anayaongeza kwa utashi wake ama ni vipi mn Hy nimeyasikia nikiwa maeneo tofautiMkuu hayo maneno sio sehemu ya adhana. Wala hayahusiani na adhana.