Sleeping pills
Member
- Feb 23, 2023
- 77
- 77
Sawa mkuu nime edit post yangu.Tu stick na nyoka mkuu.
No hiden agenda ila honestly nilitaman kuwe na dume humu adeal na hii situation.
Una shida gani huja pata mpaka sasaSawa mkuu nime edit post yangu.Tu stick na nyoka mkuu.
No hiden agenda ila honestly nilitaman kuwe na dume humu adeal na hii situation.
Sitaacha kumtegemea Yesu ila asante sana kwa ushauri na somo.Wacha kumtegemea Yesu. Weka mafuta ya taa, hakikisha una dawa ya anti venom karibu ukiumwa na nyoka, hakikisha una mabaka ya mkorosho karibu yanasaidia ukiumwa unayanyonya yaliyolowekwa katika maji.
Hakikisha unakata machaka kuzunguka nyumba yako.
Tungezitumia akili zetu kwa ugunduzi hakika tungewapiku ChinaWanawazaga mbali kweli
Naombea uwe sahihi mkuu.Jirizishe... mimi hiyo hali ilinipata...kuna kijanA msongo ndio akawa amekua selected F5 PCB mdogo wangu.. nikamshirikishA... tukajadili... tukapata majibu kuwa sio Vinyoka bali ni Earth Worms... Earth worms wanafanana sana Na VinyokA... jaribu kuchunguzA vizuri...
😭Una moyo mpendwa mimi nisingalala humo ndani
Hamna nilikoandika sijaolewa mkuuWengine watachangia na kutoa mawazo yao kuhusu nyoka. Mimi nitadeal na jambo jingine;
Kumbe hujaolewa bado? 🤔
Sijawaajiri mimi mkuu.Wa kuwalipa mshahara si wewe uliewaajiri?
Watumie hao hao walinzi ndivyo walivyo.
Uandishi mzuri sana uliotukuka, umepangilia vizuri sana.
Anioe awe mume wa pili?Afadhali umuoe tu anakaaje pekeyake ndani ona sasa kalala bila kujisaidia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Okay ongea nao watakusaidiaSijawaajiri mimi mkuu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣daah🤣🤣🤣🤣Pole
Acha kununua vitanda Orca deco ndio wanaipenda Sana hizo style za uvunguless
Sijapata nin mkuu?Una shida gani huja pata mpaka sasa
Umuhimu wa kuishi na mume ndo huo hapo. Ungekuwa na jamaa usinge kuja kutupigia makelele uku. Sisi hatuna cha kukusaidia.Hello people.
Naandika hapa nikiwa natetemeka jamani niko ndani ya neti naogopa kushusha miguu chini na nimebanwa na haja lakini naogopa kwenda chooni.😭
Ni hivi,nilikua naenda kuoga bafuni ile kuwasha taa nikaona kitoto cha nyoka cheusi kinatembea kwenye maungio ya tiles.
Nilivyokiona tu kile kinyoka akili ikanambia mama yake hayuko mbali.Nikajikuta natengeneza picha ya mama yake na kwa jinsi ninavyoogopa nyoka nikajikuta napiga yowe moja kali nikageuka fasta kurud chumban na ku dive kitandani na kuchomekea neti.Moyo unadunda nataman kulia na sitapata usingizi leo.
Two weeks ago niliona tena kitoto cha nyoka kama hichi cha leo ila kilikua kimekufa na kwa vile mazingira yalisafishwa na kilikua kimekufa sikujali.
Hichi cha leo kimenitia presha sikuwahi kuwaza nitaona nyoka ndani ya nyumba yangu.Yesu nitetee mimi jamani😭.
Nahisi tu kuna wazazi wao somewhere nyumban kwangu wanazaliana tu jamani😭.Sijui wako mvunguni,sijui wako chini ya bathtub,sijui wako kabatin,sijui wako kwenye moja ya mapoch yangu.
Sitakua tena na amani na hii nyumba,ingekua ugenin kesho ningeaga ila hapa ni kwangu na mbaya nyumba ni kubwa na kila room imejaa vitu.Hata nikitafute mtu anisaidie kuwatafuta awaue ataanzia wapi aishie wapi?
Mlinzi kaja dirishan anauliza madam vp mbona mayowe?Namwambia kuna nyoka bafuni kwangu.Anauliza mkubwa kias gani?Namwambia ni kitoto kama kile tulichoona kimekufa siku ile.Baada ya kumjibu hivyo namsikia anafyonza huko nje then anawasha kiredio chake anaondoka.Namwambia sasa unanisaidiaje?Anasema huyo ni kama mjusi tu we lala then namsikia mwenzie anacheka hlf anamwambia mwambie ni kama mnyoo huyo alishavunja mguu kwa kuogopa mjusi.
Anyways.Wakuu naomba mnisaidie mawazo ya nini kifanyike kuhakikisha hawa viumbe kama wanaishi humu ndani wanatoka na kufa kabisa.
Hivi hakuna dawa ya ku spray nipulize nyumba nzima kama wapo wafe?
Pia naomba kujuzwa,hivi ukiona vitoto si ni ishara kuwa wazazi wao wapo around eeh?
Tizama hao nyoka hufuata mahitaji yao ndani, jiwekee utaratibu wa kuweka maji nje kwenye chombo wakija hawatohangaika kuingia ndani watakunywa na kuondoka.Hivi kwanin wabongo kila kitu lazima wakihusishe na mambo ya ngono?
Mume kasafiri.Umuhimu wa kuishi na mume ndo huo hapo. Ungekuwa na jamaa usinge kuja kutupigia makelele uku. Sisi hatuna cha kukusaidia.
Nimejifunza jambo.Tizama hao nyoka hufuata mahitaji yao ndani, jiwekee utaratibu wa kuweka maji nje kwenye chombo wakija hawatohangaika kuingia ndani watakunywa na kuondoka.
Kila la kheri.