Vitoto vya nyoka nyumbani kwangu

Kwamba mlinzi akasonya huku anawasha kiredio chake na kuondoka[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aise umejua kunichekesha..nimwcheka hadi machozi..how come unaogopa nyoka🥵🙌
How come naogopa nyoka mkuu?
We are talking about nyoka mkuu!NYOKA yule anatembea kwa waves!Mmmhh.

Ameuliwa nikaonyeshwa huyu hapa,nikaona amekufa ndio nikaenda kujisaidia.Na jana ndo nimejua kibofu changu kiko imara🤣
 
How come naogopa nyoka mkuu?
We are talking about nyoka mkuu!NYOKA yule anatembea kwa waves!Mmmhh.

Ameuliwa nikaonyeshwa huyu hapa,nikaona amekufa ndio nikaenda kujisaidia.Na jana ndo nimejua kibofu changu kiko imara🤣
🤣🤣🤣🤣 kweli tumepishana kuogopa vitu .mimi chura, washawasha🙌🙌🥵🥵..nyoka hata awe mkubwa vipi napambana had namuua...wananishangaaga .ila sio chura au washawasha🙌
 
🤣🤣🤣🤣 kweli tumepishana kuogopa vitu .mimi chura, washawasha🙌🙌🥵🥵..nyoka hata awe mkubwa vipi napambana had namuua...wananishangaaga .ila sio chura au washawasha🙌
Hongera sana dear ila usije ukaleta ubabe wako kwa black mambo mkuu.
Huyo lazima akutoe nishai
 
Hhhhhh mkuu Jeep rubicon you made me laugh like a little kid

Sweet innocent you 😂
 
Huyu ndo nyoka alosababisha nisioge jana,nisipate usingizi na nibane haja kwa zaidi ya saa 4.
Najua kuna watakaonicheka ila mi najua mtoto wa nyoka ni nyoka na kuna sehemu nilisoma kuna vitoto vya nyoka vina sumu kali kama za nyoka wakubwa.

Mkuu Carica_papaya minyoo unayoiongelea iko kama.hivi ?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hao wazazi wake watakuwa hawatumii kondomu....haiwezekani wawe wana zaliana haraka harak hivo...hata matanga ya kitoto cha kwanza hayajaisha
 
Hivi angekuwa Snake Xenzia ungelala kweli ? .
Ngoja nije PM mrembo nikupigie voko.
 
Umezunguka sana, najua ulitaka tujue kuwa una watoto mapacha na wanasoma engilish mediam
 
Unaweza Kuwasiliana na Mimi.
Ninapuliza Dawa maalumu ya kuangamiza na Kufukuza wadudu waharibifu Kama Vile
Popo, Mchwa, Mende, Mijusi Panya Na Nyoka. Karibu Sana Bei Nafuu Huduma ya Uhakika
 
Unaweza Kuwasiliana na Mimi.
Ninapuliza Dawa maalumu ya kuangamiza na Kufukuza wadudu waharibifu Kama Vile
Popo, Mchwa, Mende, Mijusi Panya Na Nyoka. Karibu Sana Bei Nafuu Huduma ya Uhakika
Wasipotokea nilioongea nao nitakucheki mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…