Vitu gani 'vidogo lakini vikubwa sana' unavyovijua lakini watu wengi hawavijui? Share kwa kifupi sana....!

Vitu gani 'vidogo lakini vikubwa sana' unavyovijua lakini watu wengi hawavijui? Share kwa kifupi sana....!

system hacker

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2022
Posts
426
Reaction score
709
Kila mtu ana vitu vyake fulani hivi anavyovijua lakini watu wengi hawavijui.

Inaweza kuonekana kama vidogo lakini ni vikubwa mno kwa tafakuri ya kina. Au pengine watu wanajua lakini hawaipi kipaumbele stahiki. Hebu share nasi kwa kifupi sana!

Naanza mimi:

- Serikali halisi ni familia. Hizi Serikali za kisiasa ni kusanyiko la wapigaji tu. Kama viongozi wangetokana na maadili ya kifamilia kila Taifa lingekuwa bora kupita kawaida.

- Huwa hakuna kitu kinachoitwa bahati mbaya ama bahati nzuri. Kila kitu kimekuwa programmed mapema tu labda na Mungu ama shetani; lakini hakuna kitu kinachotokea kwa bahati mbaya ama kwa bahati nzuri.

Yaani vile ilivyo Tanzania ama Ulaya ama USA ni programmed years back. There is no way you can make Tanzania kuwa kama Ulaya ama USA kuwa kama Tanzania.

Dunia ina external force ambayo ni kubwa mara milioni kadhaa zaidi ya utashi wa mtu ama watu. Force hii ndio inaweka Dunia kwenye mstari wake. Ndio maana watu huzaliwa bila ridhaa yao hufa pia bila ridhaa yao.

- Sheria zozote ni kwa ajili ya kulinda maslahi ya wakubwa. Wakubwa mara zote ni wachache ila wana nguvu. Wanyonge ni wengi ila hawana nguvu. Hakuna sheria ya kuwalinda watu wanyonge. Isipokuwa wakubwa wanaweka sheria ili kujilinda na wanyonge. Ndio maana wanaohubiri amani zaidi ni wakubwa sio wanyonge. Wanyonge hawana cha kupoteza, wakubwa wanachakupoteza. Na hii ndio hofu kuu ya wakubwa.

Tuendeleze hapo chini kama unavutiwa na mada kama hii.....
 
Kila mtu ana vitu vyake fulani hivi anavyovijua lakini watu wengi hawavijui.

Inaweza kuonekana kama vidogo lakini ni vikubwa mno kwa tafakuri ya kina. Au pengine watu wanajua lakini hawaipi kipaumbele stahiki. Hebu share nasi kwa kifupi sana!

Naanza mimi:

- Serikali halisi ni familia. Hizi Serikali za kisiasa ni kusanyiko la wapigaji tu. Kama viongozi wangetokana na maadili ya kifamilia kila Taifa lingekuwa bora kupita kawaida.

- Huwa hakuna kitu kinachoitwa bahati mbaya ama bahati nzuri. Kila kitu kimekuwa programmed mapema tu labda na Mungu ama shetani; lakini hakuna kitu kinachotokea kwa bahati mbaya ama kwa bahati nzuri.

Yaani vile ilivyo Tanzania ama Ulaya ama USA ni programmed years back. There is no way you can make Tanzania kuwa kama Ulaya ama USA kuwa kama Tanzania.

Dunia ina external force ambayo ni kubwa mara milioni kadhaa zaidi ya utashi wa mtu ama watu. Force hii ndio inaweka Dunia kwenye mstari wake. Ndio maana watu huzaliwa bila ridhaa yao hufa pia bila ridhaa yao.

- Sheria zozote ni kwa ajili ya kulinda maslahi ya wakubwa. Wakubwa mara zote ni wachache ila wana nguvu. Wanyonge ni wengi ila hawana nguvu. Hakuna sheria ya kuwalinda watu wanyonge. Isipokuwa wakubwa wanaweka sheria ili kujilinda na wanyonge. Ndio maana wanaohubiri amani zaidi ni wakubwa sio wanyonge. Wanyonge hawana cha kupoteza, wakubwa wanachakupoteza. Na hii ndio hofu kuu ya wakubwa.

Tuendeleze hapo chini kama unavutiwa na mada kama hii.....
Kumgegeda mke wa mwigulu nchemba na ni mtamu hasa
 
We are all underlined what is written
skeleton-1.gif


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekua nikipitia picha nyingi zilizopigwa eneo la mamlaka ya hifadhi Ngorongoro na nashangaa watu wengi huwa wanaweka location kwamba ni Ngorongoro National Park wengine ni wasanii wakubwa na watu wengi Maarufu.
 
Ubaya au uzuri wa jambo flani ni kukariri maisha watu hutenda wanavyoona inafaa kulingangana na nyakati walizopo na fursa walizonazo hivyo jambo huonekana baya Kwa kua linatafsirika hivyo Kwa watu flani ila ni jema Kwa anaelitafsiri tofauti pia,hivyo ndivyo tunavyotengeneza mitazamo mipya kwenye jamii
 
Kila mtu ana vitu vyake fulani hivi anavyovijua lakini watu wengi hawavijui.

Inaweza kuonekana kama vidogo lakini ni vikubwa mno kwa tafakuri ya kina. Au pengine watu wanajua lakini hawaipi kipaumbele stahiki. Hebu share nasi kwa kifupi sana!

Naanza mimi:

- Serikali halisi ni familia. Hizi Serikali za kisiasa ni kusanyiko la wapigaji tu. Kama viongozi wangetokana na maadili ya kifamilia kila Taifa lingekuwa bora kupita kawaida.

- Huwa hakuna kitu kinachoitwa bahati mbaya ama bahati nzuri. Kila kitu kimekuwa programmed mapema tu labda na Mungu ama shetani; lakini hakuna kitu kinachotokea kwa bahati mbaya ama kwa bahati nzuri.

Yaani vile ilivyo Tanzania ama Ulaya ama USA ni programmed years back. There is no way you can make Tanzania kuwa kama Ulaya ama USA kuwa kama Tanzania.

Dunia ina external force ambayo ni kubwa mara milioni kadhaa zaidi ya utashi wa mtu ama watu. Force hii ndio inaweka Dunia kwenye mstari wake. Ndio maana watu huzaliwa bila ridhaa yao hufa pia bila ridhaa yao.

- Sheria zozote ni kwa ajili ya kulinda maslahi ya wakubwa. Wakubwa mara zote ni wachache ila wana nguvu. Wanyonge ni wengi ila hawana nguvu. Hakuna sheria ya kuwalinda watu wanyonge. Isipokuwa wakubwa wanaweka sheria ili kujilinda na wanyonge. Ndio maana wanaohubiri amani zaidi ni wakubwa sio wanyonge. Wanyonge hawana cha kupoteza, wakubwa wanachakupoteza. Na hii ndio hofu kuu ya wakubwa.

Tuendeleze hapo chini kama unavutiwa na mada kama hii.....
Alien ni malaika walioasi
 
Kila mtu ana vitu vyake fulani hivi anavyovijua lakini watu wengi hawavijui.

Inaweza kuonekana kama vidogo lakini ni vikubwa mno kwa tafakuri ya kina. Au pengine watu wanajua lakini hawaipi kipaumbele stahiki. Hebu share nasi kwa kifupi sana!

Naanza mimi:

- Serikali halisi ni familia. Hizi Serikali za kisiasa ni kusanyiko la wapigaji tu. Kama viongozi wangetokana na maadili ya kifamilia kila Taifa lingekuwa bora kupita kawaida.

- Huwa hakuna kitu kinachoitwa bahati mbaya ama bahati nzuri. Kila kitu kimekuwa programmed mapema tu labda na Mungu ama shetani; lakini hakuna kitu kinachotokea kwa bahati mbaya ama kwa bahati nzuri.

Yaani vile ilivyo Tanzania ama Ulaya ama USA ni programmed years back. There is no way you can make Tanzania kuwa kama Ulaya ama USA kuwa kama Tanzania.

Dunia ina external force ambayo ni kubwa mara milioni kadhaa zaidi ya utashi wa mtu ama watu. Force hii ndio inaweka Dunia kwenye mstari wake. Ndio maana watu huzaliwa bila ridhaa yao hufa pia bila ridhaa yao.

- Sheria zozote ni kwa ajili ya kulinda maslahi ya wakubwa. Wakubwa mara zote ni wachache ila wana nguvu. Wanyonge ni wengi ila hawana nguvu. Hakuna sheria ya kuwalinda watu wanyonge. Isipokuwa wakubwa wanaweka sheria ili kujilinda na wanyonge. Ndio maana wanaohubiri amani zaidi ni wakubwa sio wanyonge. Wanyonge hawana cha kupoteza, wakubwa wanachakupoteza. Na hii ndio hofu kuu ya wakubwa.

Tuendeleze hapo chini kama unavutiwa na mada kama hii.....
Kuwa na nia na kitu
Na ndoto yake mara nyingi hutimia
Mfano ulio hali vyote navyomilili niliviwish sana
May be 2 years back na nikapata
So weka nia .work hard
Utakipata
 
Mkuu kama hutojali unaweza tupa mifano ya vitu kama 3 hivi ulivyovipata
Nilikuwa nataka strong marriage, na nikaamua kujifunza how not to be a boring wife...same time nika neglect shortcomings zote za jamaa.... seriously ime work..

Mbili nilikuwa nataka strong business...for the two years...ime work, nimejifunza zaidi, and I think I'm good on that...namshukuru Mungu.

Tatu unaweza kuona ni kitu kidogo...lakini kwangu namshukuru Mungu, I wanted to ride a big toy...nilichoka baby walker Kwa mwaka mzima nikawa nafanya utafiti wa gari ninalotaka..., The price..NK.. mwaka juzi nikafanikiwa kununua....in proud of myself...
Sasa hivi Nina business naifikiria , my friend na mume wangu wanasema In crazy...sitaweza coz it's huge..But I'm dreaming on it daily...naifanyia utafiti na nimeshaa Anza plan... Nimeipa timeframe ya 3 yrs...naamin ita work..naifikiria day and night😄😄
 
DUNIANI KUNA KITU KINAITWA LAYMAN HAKUNA MTU ANAYEJUA KILA KITU LAYMAN WAPO WENGI MIMI NI MMOJA WAO KWAIYO LAYMAN CAN BE ANYONE SO TAKE ITNTO YOUR MIND
 
Back
Top Bottom