Vitu gani 'vidogo lakini vikubwa sana' unavyovijua lakini watu wengi hawavijui? Share kwa kifupi sana....!

Vitu gani 'vidogo lakini vikubwa sana' unavyovijua lakini watu wengi hawavijui? Share kwa kifupi sana....!

Nilikuwa nataka strong marriage, na nikaamua kujifunza how not to be a boring wife...same time nika neglect shortcomings zote za jamaa.... seriously ime work..

Mbili nilikuwa nataka strong business...for the two years...ime work, nimejifunza zaidi, and I think I'm good on that...namshukuru Mungu.

Tatu unaweza kuona ni kitu kidogo...lakini kwangu namshukuru Mungu, I wanted to ride a big toy...nilichoka baby walker Kwa mwaka mzima nikawa nafanya utafiti wa gari ninalotaka..., The price..NK.. mwaka juzi nikafanikiwa kununua....in proud of myself...
Sasa hivi Nina business naifikiria , my friend na mume wangu wanasema In crazy...sitaweza coz it's huge..But I'm dreaming on it daily...naifanyia utafiti na nimeshaa Anza plan... Nimeipa timeframe ya 3 yrs...naamin ita work..naifikiria day and night[emoji1][emoji1]

Umetisha mkuu shukran kwa kutupa moyo
 
Back
Top Bottom