Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Watu wana mapito aiseeKuna uzi humu bibi aliuza hadi nyumba ya urithi ili kumtibu mama mkwe maradhi ila alifariki,binti akampa mtaji wa biashara jamaa biashara iliponoga jamaa akamsaliti ati kisa alimuoa bibie akiwa na mtoto mmoja wakaja kuzaa mwingine lakini akasikiliza maneno ya watu ati utaanzaje mechi 1-0. Hivyo akatafuta ka binti kanakoendana na pesa alizokua anapata
Nilitoa Figo ππMapenzi hayajawahi kumwacha binadamu salama.
Nilimkuta akiwa hana mbele wala nyuma, anakaa kwa wazazi, nikampangia na nyumba, baadaye nikamtafutia kazi, akaanza kunawiri na uzinzi na ufuska vikaja juu.
Nikamsema akajirekebisha. Wazazi wake wakikuwa wanakaa kwenye nyumba ya tope, nikawajengea nyumba ya kisasa, ilipo kamilika wakasema nataka kumtoa kafara mtoto wao ili nikuze biashara zangu, kumbe kuna msichana mwingine wamemtafutia mtoto wao.
Wee jasiri, unaoaje binti mwenye mimba ya mtu mwingine? Au ndio roho ya huruma?Nilioa binti yake akiwa na mimba ya miezi mi5. lakini bado tukaachana kutwa kuchwa wazazi wanapiga kupeleleza kama namnyanyasa binti yao.
na bado wanadai mahari kwa nguvu
mwanamke mwenyewe kaniugulia ndani toka afike na kibendi chake mpaka kinafikisha miezi tisa ni kuugua tu.
niliuguza wee huku nimewekewa VAR na wazazi kubabakeπ₯΅π₯΅π₯΅
nikaona ya nini mimi, nikamuacha december 4 2022, akiwa anakaribia kujifungua. akarudi kwao baada ya two weeks akajifungua
wazazi wanamwambia binti yao anipigie simu kuomba matumizi dadekππ
Hii ni picha ya Ultra Sound, tulifikishana hadi huko maana kila siku tumbo limekaza kama chungu.
View attachment 2528468
kutunywesha chai yenye tangawizi mchana jamani sikututesa jamani.Mapenzi hayajawahi kumwacha binadamu salama.
Nilimkuta akiwa hana mbele wala nyuma, anakaa kwa wazazi, nikampangia na nyumba, baadaye nikamtafutia kazi, akaanza kunawiri na uzinzi na ufuska vikaja juu.
Nikamsema akajirekebisha. Wazazi wake wakikuwa wanakaa kwenye nyumba ya tope, nikawajengea nyumba ya kisasa, ilipo kamilika wakasema nataka kumtoa kafara mtoto wao ili nikuze biashara zangu, kumbe kuna msichana mwingine wamemtafutia mtoto wao.
Nikki ali-msupport Mama mkwe lakini wapi.Mapenzi hayajawahi kumwacha binadamu salama.
Nilimkuta akiwa hana mbele wala nyuma, anakaa kwa wazazi, nikampangia na nyumba, baadaye nikamtafutia kazi, akaanza kunawiri na uzinzi na ufuska vikaja juu.
Nikamsema akajirekebisha. Wazazi wake wakikuwa wanakaa kwenye nyumba ya tope, nikawajengea nyumba ya kisasa, ilipo kamilika wakasema nataka kumtoa kafara mtoto wao ili nikuze biashara zangu, kumbe kuna msichana mwingine wamemtafutia mtoto wao.
One thing, unajua kupenda.Mapenzi hayajawahi kumwacha binadamu salama.
Nilimkuta akiwa hana mbele wala nyuma, anakaa kwa wazazi, nikampangia na nyumba, baadaye nikamtafutia kazi, akaanza kunawiri na uzinzi na ufuska vikaja juu.
Nikamsema akajirekebisha. Wazazi wake wakikuwa wanakaa kwenye nyumba ya tope, nikawajengea nyumba ya kisasa, ilipo kamilika wakasema nataka kumtoa kafara mtoto wao ili nikuze biashara zangu, kumbe kuna msichana mwingine wamemtafutia mtoto wao.
Mapenzi ukiweka huruma utalia kama NikkiWee jasiri, unaoaje binti mwenye mimba ya mtu mwingine? Au ndio roho ya huruma?
Vivulani ni sifuri kuliko nyie vibinti vinavyomiliki mabwawa ?!Vivulana vya siku hizi ni sifuri kabisa
Rola AlexanderWanawake design hii yako huwa wanapatika wapi wazee nimeamua kutongoza manzi aliye na Ajira na mpolempole niane kama naye atatokea Kama ninaowaonaga kwenye stori πππ nitampa penzi huyu mtoto mpaka siku asemw baby shika 100,000 ulipe kodi
I wish ningepata mwanamke kama wewe.Mapenzi hayajawahi kumwacha binadamu salama.
Nilimkuta akiwa hana mbele wala nyuma, anakaa kwa wazazi, nikampangia na nyumba, baadaye nikamtafutia kazi, akaanza kunawiri na uzinzi na ufuska vikaja juu.
Nikamsema akajirekebisha. Wazazi wake wakikuwa wanakaa kwenye nyumba ya tope, nikawajengea nyumba ya kisasa, ilipo kamilika wakasema nataka kumtoa kafara mtoto wao ili nikuze biashara zangu, kumbe kuna msichana mwingine wamemtafutia mtoto wao.
Siwapendi wanawake kama nyie wengi mnakuwa na Roho za mauaji.Malezi chini ya mzazi mmoja, ndio chimbuko la haya. Mara 100 kama baba au mama, mmoja wapo ameachiwa mtoto peke yake, basi ampeleke kwa Babu na Bibi kama wote wapo.
Vijana Bado tupo careless sana kwenye issue za msingi
Nilioa binti yake akiwa na mimba ya miezi mi5. lakini bado tukaachana kutwa kuchwa wazazi wanapiga kupeleleza kama namnyanyasa binti yao.
na bado wanadai mahari kwa nguvu
mwanamke mwenyewe kaniugulia ndani toka afike na kibendi chake mpaka kinafikisha miezi tisa ni kuugua tu.
niliuguza wee huku nimewekewa VAR na wazazi kubabake[emoji3062][emoji3062][emoji3062]
nikaona ya nini mimi, nikamuacha december 4 2022, akiwa anakaribia kujifungua. akarudi kwao baada ya two weeks akajifungua
wazazi wanamwambia binti yao anipigie simu kuomba matumizi dadek[emoji867][emoji867]
Hii ni picha ya Ultra Sound, tulifikishana hadi huko maana kila siku tumbo limekaza kama chungu.
View attachment 2528468
Huwa Nazjaz simuamini maana alishafuga mamba huko Bagamoyo etcDada ulijenga ukweni?
Mkuu mbona umeamua kunitusi bila sababu? π€·ββοΈπ€·ββοΈπ€·ββοΈSiwapendi wanawake kama nyie wengi mnakuwa na Roho za mauaji.
Maaamaae
Muulize mwenyewe au kama ilikuwa chai, kaishasahauπ π π Huyo mamba alimfuga vipi?
Hata zikukute bado ungezingua tu hata zaidi ya huyo, unajua binadamu ni kazi sana.Mbona hz bahati hazinikuti..pole sana.