Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Nilioa binti yake akiwa na mimba ya miezi mi5. lakini bado tukaachana kutwa kuchwa wazazi wanapiga kupeleleza kama namnyanyasa binti yao.
na bado wanadai mahari kwa nguvu
mwanamke mwenyewe kaniugulia ndani toka afike na kibendi chake mpaka kinafikisha miezi tisa ni kuugua tu.
niliuguza wee huku nimewekewa VAR na wazazi kubabake🥵🥵🥵
nikaona ya nini mimi, nikamuacha december 4 2022, akiwa anakaribia kujifungua. akarudi kwao baada ya two weeks akajifungua
wazazi wanamwambia binti yao anipigie simu kuomba matumizi dadek🖕🖕
Hii ni picha ya Ultra Sound, tulifikishana hadi huko maana kila siku tumbo limekaza kama chungu.
na bado wanadai mahari kwa nguvu
mwanamke mwenyewe kaniugulia ndani toka afike na kibendi chake mpaka kinafikisha miezi tisa ni kuugua tu.
niliuguza wee huku nimewekewa VAR na wazazi kubabake🥵🥵🥵
nikaona ya nini mimi, nikamuacha december 4 2022, akiwa anakaribia kujifungua. akarudi kwao baada ya two weeks akajifungua
wazazi wanamwambia binti yao anipigie simu kuomba matumizi dadek🖕🖕
Hii ni picha ya Ultra Sound, tulifikishana hadi huko maana kila siku tumbo limekaza kama chungu.