Vitu gani vizuri uliwafanyia wakwe lakini ukaachwa?

Vitu gani vizuri uliwafanyia wakwe lakini ukaachwa?

Nilioa binti yake akiwa na mimba ya miezi mi5. lakini bado tukaachana kutwa kuchwa wazazi wanapiga kupeleleza kama namnyanyasa binti yao.

na bado wanadai mahari kwa nguvu

mwanamke mwenyewe kaniugulia ndani toka afike na kibendi chake mpaka kinafikisha miezi tisa ni kuugua tu.

niliuguza wee huku nimewekewa VAR na wazazi kubabake🥵🥵🥵

nikaona ya nini mimi, nikamuacha december 4 2022, akiwa anakaribia kujifungua. akarudi kwao baada ya two weeks akajifungua

wazazi wanamwambia binti yao anipigie simu kuomba matumizi dadek🖕🖕

Hii ni picha ya Ultra Sound, tulifikishana hadi huko maana kila siku tumbo limekaza kama chungu.
IMG_20221103_150401_794.jpg
 
Njooo kwangu mimi, chochote utakacho nitakupa!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna uzi humu bibi aliuza hadi nyumba ya urithi ili kumtibu mama mkwe maradhi ila alifariki,binti akampa mtaji wa biashara jamaa biashara iliponoga jamaa akamsaliti ati kisa alimuoa bibie akiwa na mtoto mmoja wakaja kuzaa mwingine lakini akasikiliza maneno ya watu ati utaanzaje mechi 1-0. Hivyo akatafuta ka binti kanakoendana na pesa alizokua anapata
Watu wana mapito aisee
 
Mapenzi hayajawahi kumwacha binadamu salama.

Nilimkuta akiwa hana mbele wala nyuma, anakaa kwa wazazi, nikampangia na nyumba, baadaye nikamtafutia kazi, akaanza kunawiri na uzinzi na ufuska vikaja juu.

Nikamsema akajirekebisha. Wazazi wake wakikuwa wanakaa kwenye nyumba ya tope, nikawajengea nyumba ya kisasa, ilipo kamilika wakasema nataka kumtoa kafara mtoto wao ili nikuze biashara zangu, kumbe kuna msichana mwingine wamemtafutia mtoto wao.
Nilitoa Figo 😁😁
Screenshot_20230222-152134.jpg
 
Nilioa binti yake akiwa na mimba ya miezi mi5. lakini bado tukaachana kutwa kuchwa wazazi wanapiga kupeleleza kama namnyanyasa binti yao.

na bado wanadai mahari kwa nguvu

mwanamke mwenyewe kaniugulia ndani toka afike na kibendi chake mpaka kinafikisha miezi tisa ni kuugua tu.

niliuguza wee huku nimewekewa VAR na wazazi kubabake🥵🥵🥵

nikaona ya nini mimi, nikamuacha december 4 2022, akiwa anakaribia kujifungua. akarudi kwao baada ya two weeks akajifungua

wazazi wanamwambia binti yao anipigie simu kuomba matumizi dadek🖕🖕

Hii ni picha ya Ultra Sound, tulifikishana hadi huko maana kila siku tumbo limekaza kama chungu.
View attachment 2528468
Wee jasiri, unaoaje binti mwenye mimba ya mtu mwingine? Au ndio roho ya huruma?
 
Mapenzi hayajawahi kumwacha binadamu salama.

Nilimkuta akiwa hana mbele wala nyuma, anakaa kwa wazazi, nikampangia na nyumba, baadaye nikamtafutia kazi, akaanza kunawiri na uzinzi na ufuska vikaja juu.

Nikamsema akajirekebisha. Wazazi wake wakikuwa wanakaa kwenye nyumba ya tope, nikawajengea nyumba ya kisasa, ilipo kamilika wakasema nataka kumtoa kafara mtoto wao ili nikuze biashara zangu, kumbe kuna msichana mwingine wamemtafutia mtoto wao.
kutunywesha chai yenye tangawizi mchana jamani sikututesa jamani.

Mwanamke hata akimnunulia mwanaume socks tu utamsikia "Bila mimi usingefika hapa" leo hii ati mwanamke akamjengea nyumba wazazi wa mwanaume ?!!

Punguza kidogo tangawizi mkuu chai imekua kali sana.
 
Mapenzi hayajawahi kumwacha binadamu salama.

Nilimkuta akiwa hana mbele wala nyuma, anakaa kwa wazazi, nikampangia na nyumba, baadaye nikamtafutia kazi, akaanza kunawiri na uzinzi na ufuska vikaja juu.

Nikamsema akajirekebisha. Wazazi wake wakikuwa wanakaa kwenye nyumba ya tope, nikawajengea nyumba ya kisasa, ilipo kamilika wakasema nataka kumtoa kafara mtoto wao ili nikuze biashara zangu, kumbe kuna msichana mwingine wamemtafutia mtoto wao.
Nikki ali-msupport Mama mkwe lakini wapi.
 
Mapenzi hayajawahi kumwacha binadamu salama.

Nilimkuta akiwa hana mbele wala nyuma, anakaa kwa wazazi, nikampangia na nyumba, baadaye nikamtafutia kazi, akaanza kunawiri na uzinzi na ufuska vikaja juu.

Nikamsema akajirekebisha. Wazazi wake wakikuwa wanakaa kwenye nyumba ya tope, nikawajengea nyumba ya kisasa, ilipo kamilika wakasema nataka kumtoa kafara mtoto wao ili nikuze biashara zangu, kumbe kuna msichana mwingine wamemtafutia mtoto wao.
One thing, unajua kupenda.
 
Mapenzi hayajawahi kumwacha binadamu salama.

Nilimkuta akiwa hana mbele wala nyuma, anakaa kwa wazazi, nikampangia na nyumba, baadaye nikamtafutia kazi, akaanza kunawiri na uzinzi na ufuska vikaja juu.

Nikamsema akajirekebisha. Wazazi wake wakikuwa wanakaa kwenye nyumba ya tope, nikawajengea nyumba ya kisasa, ilipo kamilika wakasema nataka kumtoa kafara mtoto wao ili nikuze biashara zangu, kumbe kuna msichana mwingine wamemtafutia mtoto wao.
I wish ningepata mwanamke kama wewe.

Walaai Tungekuwa matajiri.

Napenda sana wanawake wenye tabia kama yako

Japo mnakuwa na madhaifu yenu na nyie
 
Nilioa binti yake akiwa na mimba ya miezi mi5. lakini bado tukaachana kutwa kuchwa wazazi wanapiga kupeleleza kama namnyanyasa binti yao.

na bado wanadai mahari kwa nguvu

mwanamke mwenyewe kaniugulia ndani toka afike na kibendi chake mpaka kinafikisha miezi tisa ni kuugua tu.

niliuguza wee huku nimewekewa VAR na wazazi kubabake[emoji3062][emoji3062][emoji3062]

nikaona ya nini mimi, nikamuacha december 4 2022, akiwa anakaribia kujifungua. akarudi kwao baada ya two weeks akajifungua

wazazi wanamwambia binti yao anipigie simu kuomba matumizi dadek[emoji867][emoji867]

Hii ni picha ya Ultra Sound, tulifikishana hadi huko maana kila siku tumbo limekaza kama chungu.
View attachment 2528468

Mimba ilikuwa yako?
 
Back
Top Bottom