Vitu mtoto wa Kiume hatakiwi kufanya


namba moja na mbili izo hatari.
 
1. Kutoboa sikio / masikio.
2. Kuchana nyusi .
3. Kufuga kucha moja .
4. Kupaka Lip Bam .
5. Kupaka poda.
6. Kujifutafuta kila dakika /
7. Kuoshwa miguu...
 

wangu, mpendwa hata mimi nakupa za uso
 
Dooh. Basi kama ni ivyo mbona wanaume wote watakuwa ovyo. Ila mimi piga ua napenda sana taarabu na hasa nyimbo za mzee yusuph. Ila ni mwanaume rijali. Asikwambie mtu taarab raha na hasa kama umekulia mikoa ya pwan kama dar.
 
Dooh. Basi kama ni ivyo mbona wanaume wote watakuwa ovyo. Ila mimi piga ua napenda sana taarabu na hasa nyimbo za mzee yusuph. Ila ni mwanaume rijali. Asikwambie mtu taarab raha na hasa kama umekulia mikoa ya pwan kama dar.

na vidole unaweka juu, huku umebetua midomo, unazungukazunguka huku unajiangalia makalio.. BASI UNATISHA SANA.
 
kuongea uku unanitikisatikisa kichwa na mabega...totally gay.
 
Jamaa kajaza mbaya bonge baunsa,anakuletea soo!
Mtoto wa kiume hapo ukimbie au mtandikane?
 
kuwa na kidaftari umeandika mashairi ya nyimbo za kina celine dion na shania twain alafu una imba imba kuonyesha unazijua sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…