Hivi PM maana yake nini Prime Minster au Parliamentarian??We jichekeshe tu[emoji28][emoji28][emoji28]
Are you still lonely till now[emoji4][emoji932]
Watching [emoji2427]
loneliness
[emoji505]
Najikuta nakosa cha kukuuliza CONTROLA haki tena umemaliza kila kitu aiseh π1.Kupika
2.Kuzurura online,mara nipo huku mara kule,nimesoma hiki mara kile,nk
3.kulala
4.Kupiga story na mtu yeyote anipe idea za biashara mpya,tusimuliane kuhusu maisha,anipe mbinu mpya,nimshauri,nk
5.Kusikiliza/kuangalia nyimbo za DINI ila ziwe za kuabudu TU, (sio zile za kusifu,hizo hapana)
6.Nikae kwa kochi maza mjengo akae chini,nianze fumua nywele zake au anipe kazi yyte kwenye nywele zake,daaah napenda.
7.Kupga/kushika mawowowo ya maza mjengo nikipta hivi nimegusa,nikirud nimegusa,yani ivyo siwez yaangalia tu mimi kama picha.
8.Cotton buds kuziptisha masikioni,i swear napataga ka feeling flani kama nakojoa bao la kwanza,naztumia for fun siku hzi maana sina hata uchafu ninaotoa huko maskioni basi tu naskia utamu kuzptsha kwa maskio yangu.
9.kula ICE CUBES yani zpo tu pale kwa fridge nkiwa home napenda zitafuna tafuna,sa zingine nazchukua naenda mdumbukizia maza mjengo kwenye Bra,basi full kumkera tu Japo nikimkutaga kwenye mood mbaya ananizibuaga sema sku zngine anachekelea.
10.Kuimba nyimbo zote za mwimbieni bwana ninazojua sauti yake,Nakaa seblen/chumban nashka Mwimbieni Bwana yangu naanza imba nyimbo zote ninazojua sauti zake,ambazo sijui najitungiia sauti ilimradi tu siku iende (napenda sana).
11.Mwisho napenda kuandika andika kama hivi nimeshusha namba kibao as if naandika point sana kumbe mashudu tu sema ndio hivyo tena ndio kitu napenda,tuvumiliane.
zagarinojo njoo umpe mtoto kampani[emoji932]
Watching [emoji2427]
loneliness
[emoji505]
Amekuja? Ulivyomuita?Ndo mana nakushangaa unavyopoteza muda..na wakati alishakwambie uende nyumbani..we hayaπ π
Napenda kitu ya dona iliyochanganywa na unga wa muhogo..Kwenye mziki sina tatizo sana..
Ugali dona au sembe...
Ukisoma Hadith za kipelekezi huwa unawaza nini hasa..unatamani nini hasa punde usomapo
Yaani siku nikioa nafikiria tu jinsi ntakavyo kuwa romantic kwa wife wangu nahisi haijawahi tokea dunia hiizagarinojo njoo umpe mtoto kampani
YeaaaahAre you still lonely till now[emoji4]
Dea unaharibu sasa hapo lol, ujue sipend company mie? Ntamtoa nduki oooh [emoji23][emoji23][emoji23]zagarinojo njoo umpe mtoto kampani
Good girl sikiliza Na huu waMi napenda
Kula kula
Kusikiliza na kucheza mziki
Kulala
Toilet (ayaaa huwa naimba hadi mapambio huko[emoji3])
Kaa pembeni ndugu hayo maneno yako ya huruma siwezi kukuonea huruma! Chakufanya tupambane atakae mbeba ndo huyohuyo..πKenzy we unajua tumeongea nae nini uyo tumepanga mengi pamoja naye
Tunataka tubaki tukiwa single lakini katika mahusiano naye
Hua unankera Sana babeMi napenda
Kula kula
Kusikiliza na kucheza mziki
Kulala
Toilet (ayaaa huwa naimba hadi mapambio huko[emoji3])
Mekumiss mno bae [emoji3590][emoji3590][emoji3590], lolMi napenda
Kula kula
Kusikiliza na kucheza mziki
Kulala
Toilet (ayaaa huwa naimba hadi mapambio huko[emoji3])
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]Dea unaharibu sasa hapo lol, ujue sipend company mie? Ntamtoa nduki oooh [emoji23][emoji23][emoji23]