financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Mkuu mbona umeniganda na huu wimbo jamani, haya ntasikiliza👏Good girl sikiliza Na huu wa
Baila by Diamond my favorite
Thank you darling, you're missed too from this sidee, hamjambo huko?Mekumiss mno bae [emoji3590][emoji3590][emoji3590], lol
[emoji23][emoji23]aya bana natulia si uzi umesema What you like to do in everyday life?Mkuu mbona umeniganda na huu wimbo jamani, haya ntasikiliza[emoji122]
Sawa enjoy Zaga[emoji23][emoji23]aya bana natulia si uzi umesema What you like to do in everyday life?
Umeniita vizuri dah!kumbe Tanzania tunapendana nimeaminiSawa enjoy Zaga
Bia gani unapenda mkuu?
aina gani ya wanawake wanaojuvutia?
Kwanini umechagua kusoma mambo yanayofanywa na Israel na sio urusi,North Korea’s,marekani wala China??
[/QUOTEThanks]bia ni Safari tuuu wanawake sura hata iwe Kama big g iliyonata kwenye Kochi ila Kama ana mapaja mazuri hapo ndo mi hufia.
Tumie no in boboAtakuwa hana bundle pengine..
Nini lol[emoji848][emoji848][emoji848][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
Hatujambo bae, [emoji7][emoji7]Thank you darling, you're missed too from this sidee, hamjambo huko?
Kama tujuavyo ugali wa Dona huwa unachagua mboga sana..Napenda kitu ya dona iliyochanganywa na unga wa muhogo..
Za kipelelezi haswa huwa nawaza ufundi wa wahusika kutokana na walivyochezeshwa hunipa unajasiri kwenye baadhi ya matukio,pia naichukulia ni sehemu ya kujifunza haswa nikiwa nasoma hadithi ya muandishi anaefanya tafiti kabla ya kuandika so huwa kuna tumbinu fulani unaweza kutupata.. kuhusu kutamani huwa natamani mpangilio wa uliotukuka,simulizi iwe na kutiana mashaka visa na mikasa,mbinu zakijasusi ufundi wa lugha kwa muandishi..nk
Umri wako tafadhali 😅Yaani siku nikioa nafikiria tu jinsi ntakavyo kuwa romantic kwa wife wangu nahisi haijawahi tokea dunia hii
Ile akiwa anapika jikoni nishafika kumpa kampani kiunoni kono la kumbato la kweli..
Ile akishaiingia sebuleni I love you za kutosha na kiss nyingi za faragha
Sokoni sharti twende wote asije pata shida za barabarani
Vinyimbo vya kubembeleza vyangu mwenyewe hatovikosa...
Tukigombana tunaelewana simpigi kofi bali nampa surprise ya kwenda ulaya tupunguze hasira.
Yaani ntajitahidi nitunze tabasamu lake na kujimwaya Kama kote
Sare za nguo za kufikia mtaani
Chakorii yani mpaka I'm out of Point.
Unapenda kula kula nini madam?ni aina gani ya chakula kinachoufurahisha moyo wako?!Mi napenda
Kula kula
Kusikiliza na kucheza mziki
Kulala
Toilet (ayaaa huwa naimba hadi mapambio huko😀)
😅😅😅anaweza akakukubalia wewe kwa sababu ya kitu,,,halafu zagarinojo akapendwa kwa dhati 🤭🤭😃😃😃Kaa pembeni ndugu hayo maneno yako ya huruma siwezi kukuonea huruma! Chakufanya tupambane atakae mbeba ndo huyohuyo..😜