Vitu tuvipendavyo katika maisha yetu ya killa siku

Vizuri.

Unapenda kupika nini sasa mkuu..

Utakuwa mwana uchumi maana sio kwa kumaliza huko pesa kwenye fastfood unakokusemea..

Wakati uko nyumbni imekaa peke yako,,ni nini hupenda kujishughulisha nacho ?
 
Napenda kusikiliza ngoma za Beres Hammond huku nikiwa nafanya kazi zangu kwenye pc,Kazi zikinizingua kama sasa hivi napita na kuzugazuga JF,Nakupenda Chakorii.
Ohoooo vizuri mkuu na pole kwa majukumu ya kazi.

๐Ÿ˜Šsafi.

Asante kwa kunipenda mkuu๐Ÿฅ‚๐Ÿฅ‚
 
Umenizid kupitisha siku bila kukunywa aiseh..

Uko kinywaji cha ngapi mpka sasa huko ulipo..
Nilikunywa sparkling apple punch mbili mchana na jioni, after dinner nikakunywa ka glass ka red wine inaitwa Mohans ๐Ÿ˜›
 
Usiseme Ginger ale tu, sema Ginga ale baridiiiiii๐Ÿ˜‹
 
Nilikunywa sparkling apple punch mbili mchana na jioni, after dinner nikakunywa ka glass ka red wine inaitwa Mohans ๐Ÿ˜›
Wacha weee...natumai Ijumaa yako ili kwenda vizuri kabisa
 
Una uhanga wewe si bure, unachokitafuta utakipata
 
Hayo ya Dona tuachanenayo maana si mtaalum kivile kujua inalika na mboga hii au hii!.. mi ni twanga ilale na nachojua toka nimeanza kula hakuna chakula kilichonilitea mzio!..

Napenda kuwa muandishi lkn akili yangu haijatulia!.. muandishi makini lzm uwe umetulia maana swala sio kuandika tu,Bali kuandika kilicho kizuri chenye matukio mujarabu,lugha tamu na mbinu yakinifu.. I can try to write but sio kazi nyepesi na inakula muda sana..!๐Ÿ˜…

Haha hizo mbinu sijawahi tumia maana mi si mtu wa maugomvi tofauti na vile wengi wanavyodhania hapa jf!.. ila siku nikibananika nikakumbuka najivika ujasiri wa joram kiango au Willy gamba..๐Ÿ˜‚ japo si rahisi lkn ikibidi imebidi.. ๐Ÿ˜‰

Kuhusu kupenda hiyo idara nilishawahi kuipenda tena Sanaa na kutamani kuwa Kama wao!.. lkn kadri niliposoma makala nyingi kuhusu hiyo idara na kuyajua mengi na namna yao wanavyochuka watu.. mawazo ya kuwa mmoja wao yakafutika sahivi sina hata matamanio.. hata ikitokea bahati ya mkenge wakinifata kuwakubalia wasifikiri!!.. kule Mambo si kama muvi tunavyofikiria! It needs more intelligent people,taff people na sifa fulani.. Sasa hizo mi naziokotea wapi.. hata ikitokea ugomvi tu mbaliga nnazotoka najua mimi.. mi nachojua Kama kuna ndugu yangu kwenye ugomvi husika ntahakikisha namtoa au anakuwa safe halafu mimi huyo..๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kaoga ila nikikuamulia lzm uipatepate..

Kusema kweli hiyo idara ya upelelezi sahivi hata siiwazi Kama naweza kuwa mmoja wao!.. sahivi nimebakiza kufatilia ulinzi wa rais unavyofanya kazi na kuangalia utendaji wao basi tu..
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…anaweza akakukubalia wewe kwa sababu ya kitu,,,halafu zagarinojo akapendwa kwa dhati ๐Ÿคญ๐Ÿคญ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Ambacho hukijui dada nina wivu mpk kero!! Hapo tu huto tu maneno twako tumeshaulalua moyo!.. bahati nzuri mi introvert so i can handle that..๐Ÿ˜œ

Pamoja na kwamba ninawivu lkn najua kushika na kuachia!.. mi nimwepesi kuachia hata Kama nitaumia lkn nikishajua mtu hanipendi njia nyeupe kabisa!.. ila huwa sipendi mtu aende hivihivi lzm nipandikize kitu moyoni mwake ili nae hata Kama ataenda badi lzm akumbuke kugeuka nyuma tu!!..๐Ÿ˜œ
Ubaya wangu wivu wangu huishia ndani kwa ndani!.. ila nawe hata Kama utaondoka kwakuwa ulishawahi kukakaa karibu nami basi lzm kakitu fulani kakutafune..๐Ÿ˜œ
 
Unabalaa wewe sijui ukojeee...
๐Ÿคฎ๐Ÿคฎ๐Ÿคฎ
Tumewazoea akinamama wanaoanzisha sredi kama hizi ni nini wanatafuta wakishapata, huwaoni tena wanatulia tuli. Sasa nakuona wiki hii, kwa bibi kunataka na pengine mkunaji hayupo! Wanakuja akina
 
Tumewazoea akinamama wanaoanzisha sredi kama hizi ni nini wanatafuta wakishapata, huwaoni tena wanatulia tuli. Sasa nakuona wiki hii, kwa bibi kunataka na pengine mkunaji hayupo! Wanakuja akina
Ulivyo na akili ya kipuuzi kama boga kiangazi unafikiri mimi ni wa leo JF..ukielewa maana ya chitchat hutoleta upoyoyo wako

Hivi unafikiri kila mwanamke huku JF a nategemea mwanaume wa kutoka huku?kama wewe ukiwa na hizo nyege mshindo zako hukimbilia JF kupata vipoozeo basi ni wewe..huwa nakuona za sana kwenye nyuzi za watu ukileta miyeyusho ๐Ÿ‘Ž

Hey...nilitaka kusahau...hapa nilipo mr yuko hoi kalala kwa uchovu kutokana na kishindo cha usiku mzima..
Unaakili fupi sana..stupid.

hivi kwanza nakujibu wa nini!!nikiendelea kukujibu nitaonekana ninaakili za kipuuzi kama zako.
๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ๐Ÿฅ‚๐Ÿฅ‚๐Ÿฅ‚๐Ÿฅ‚๐Ÿฅ‚๐Ÿฅ‚๐Ÿฅ‚๐Ÿฅ‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ