Vitu tuvipendavyo katika maisha yetu ya killa siku

Pole sana ni khali ya kawaida kuwa na uhanga, si ugonjwa ujue
 
napenda sana ibada japo kuna nyakati shetani hunitenza nguvu na kunipeleka kwenye ulabu na wanawake, changamoto hii inanisumbua japo naamini ipo siku ntaishinda
 
Vipi tena madam kichwa kimeanza kuuma baada ya kusikia mimba๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…kaza mtoto wa kike tule ubwabwa wa sendiofu
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ubwabwa mtakula ila apo kwenye mimba apo๐Ÿ˜‚
 
Unapenda kuniiga dada.๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Hapo kwenye kukaa bila nguo umenitisha sana...๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†nimejaribu kukupatia picha nimeshindwa...
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚na huwez kunipatia picha
 
Pesa-za kwako au za kupewa
Kupika-unapenda kupika nini/aina gani ya chakula
Kula-aina gani ya chakula unapenda
Music-music gani una upendo /kukuvutia
hela zozote tu ziwe zangu mwenyewe, za kupewa ata zikiwa za mtu mwengine mi nazipenda.
kupika any kind of food as long as napika mi napenda na ndio kazi ambayo hainichoshi yaaani hata uniambie kuanzia asubuhi mpaka jioni niwe napika tu am very okay kabisa na naenjoy
napenda kula nyama sana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
apo kwenye music inategemea na mood ya siku tho kuna baadhi ya nyimbo sipitishi siku sijazisikiliza
 
Vizuri.

Unapenda kupika nini sasa mkuu..

Utakuwa mwana uchumi maana sio kwa kumaliza huko pesa kwenye fastfood unakokusemea..

Wakati uko nyumbni imekaa peke yako,,ni nini hupenda kujishughulisha nacho ?
vyakula vya kitanzania asilimia kubwa natoa mwenyewe na nafurahia sana
Sio mwanauchumi ila nafurahia zaidi chakula cha nyumbani maana bajeti yake sio kubwa na unashiba safiiiii kabisa + usalama wake ni 100%
mimi ni mraibu wa Rubrics cube kuliko kitu chochote
 
Ohoooo sasa nimekuelewa mkuuu
 
๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š kaka umeeleza kile ambacho nilitaka kusikia..safi!๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ

Unawashauri nini vijana ambao wanandoto za kujiingiza katika hiyo idara mkuu
 
Kaka wivu uliokuwa nao hata nyenyere hana..๐Ÿ˜†

Angalia tu usije ukaenda na maji๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿคญ๐Ÿคญ๐Ÿคญ
 
napenda sana ibada japo kuna nyakati shetani hunitenza nguvu na kunipeleka kwenye ulabu na wanawake, changamoto hii inanisumbua japo naamini ipo siku ntaishinda
Amen..
Cha msingi India he kusali..hata kama unataka enda club sali,,sijui unataka kufanya nini sali,,Mungu anakusudi lake kunipandikiza hiyo Hofu ndani yako
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ubwabwa mtakula ila apo kwenye mimba apo๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…usije ukashangaa mimba kwanza na ubwabwa tusiule๐Ÿ˜†unawajua binadamu wewe
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚na huwez kunipatia picha
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†chizi sana we dada..muone kwanza ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Safiiiiii๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…nilijua unapenda kupika maji๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Kumbe unakaa kuolewa๐Ÿคญ๐Ÿฅ‚๐Ÿฅ‚๐Ÿฅ‚๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ๐Ÿงšโ€โ™€๏ธ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ