Vitu vingine ni kama vya kijinga ila vina matokeo. Nimejaribu kufuata ushauri wa huyu Member, nimeona utofauti

Vitu vingine ni kama vya kijinga ila vina matokeo. Nimejaribu kufuata ushauri wa huyu Member, nimeona utofauti

Kazi kweli kweli, yani mtu anazaa watoto mwenyewe halafu suala la kuwajali nalo anaanza kuona kama anapoteza, yani imefikia hatua wanaume wanaona kama kujali watoto wao ni kuwafanyia favour
Wanawake akili yenu ni kuwamanipulate wanaume kwa akili zenu kama hzi...oooh tafuta hela, oooh matunzo,ooh mwanaume atakula kwa jasho, ooh gentleman na nyoko zingine..... we umeona wapi jamaa kaona anapoteza kujali watoto wake???......kuamua na yeye kujijali ndo unaona nongwa
 
Ulichokifanya wewe ndicho anachokifanya Msigwa sasa hivi, unaamua kusupport ujinga uliolua ukiupuuza mwanzo kwa sababu zisizo na msingi.
Sikia, Ukiteka attention ya watu watakuja maishani mwako amini hawatoondoka bure.
Soon utaanza kuona pesa uliyoitumia kuwafurahisha mkeo na watoto sasa unaitumia kwa malaya na kuwapa offer wana na wapiga vizinga wengine.
Sawa basic needs kwa familia utaprovide lakin kasi yako ya maendeleo itadumaa kidogo kwa maana umeamua kua mtu wa kuzingatia watu nje ya familia yako.

Hili umekula tango poli la jf.
 
Mabibi na Mabwana habari zenu.

Sio kitu muhimu sana but kimenifanya nijione maisha kuna muda mwingine yanaweza kupoteza vitu flan maishani mwako ambavyo japo unavichukulia kama minor issues but in real sense they are not.

Kwanza kabisa fahamu kuwa;
Ni muhimu sana kuwa makini na mambo yanayoshauriwa mitandaoni. Yapo yenye manufaa japo yana sura ya ukawaida au ubaya. Na yapo mabaya japo yanashauriwa kwa uzuri na ushawishi mkubwa.

Nirudi kwenye mada:

Mfano mimi na utu uzima wangu huu, ni mtu ambaye nimekua najali sana family kuliko hata ninavyojijali mimi.

Mimi honestly sikuwah ona kama kwangu ni muhimu sana mambo ya kuvaa na muonekano, kuliko kujali wanangu wale na wavae vizuri. Japo zamani wakati wa ujana huko nilikua najali kidogo hizi mambo but baada ya kuoa Nikawa najichukulia aah ile less than average yan, kwangu kipaumbele ni family.

Sikuajua kitu nilichokua nakipoteza, the value..

Sasa siku moja nikakutana na uzi wa mdogo angu Natafuta Ajira kuwa unapopambania familia na kuandaa future yao usijisahau na wewe pia, jipe kipaumbele kwanza 😂.
(Nimeshindwa kukumbuka exactly jina la ule uzi).

Sasa mimi at 35 now, nikawa najichukulia aahh nishazeeka tayari haya mambo ya kujali mjonekano na mavazi ninya vijana zaid, acha nifanye mambo ya msingi zaidi.

Honestly ndio hiv karibuni nimekuja kugundua kumbe nina viatu pair 2 tu, jinsi 2 na suarual 2 tu, shati chachee hazifiki 4 na tshirt hazifiki 3 😅😅. Haya yote nikikua naona normal tu, hata sijali, mimi najali family...wale vizur, wavae vizuri.. punda afe mzigo ufike.

Si nikajaribu bwana huu ushauri wa bwana Natafuta Ajira 😂😂. Nikajikumbuka na kujaribu kujirudisha enz zangu za 20's, every time doing simple shopping for myself, nikiingia town, nunua nguo mbili tatu kali kila napopata fursa ya kuzunguka mjini, after every sometime kuji sop sop salon, weka kichwa safi (nina uwaraza so napendeleaga kunyoa dongo/upara wa wembe), weka ndevu fresh, marashi ya hapa na pale, vitu ambavyo nilishaachaga kufanya japo vyote viko ndani ya uwezo wangu, nikawa najifanya niko busy kupambania familia.

Doohhh!! Kiukwel nimeanza ku experience huge changes, kuanzia namna watu wanavyonitzama now, wanavyonichangamkia mpaka mabinti na mishangazi age mates wangu naona like i send attraction signals to them bila kusema neno and they are trully affected tofauti na hapo kabla.

Na kubwa zaid , am feeling veery good far better that before.

Najisikia raha kabisa.

KUbwa zaid mpaka wife juzi kaamua kunipiga kijembe maana hajanizoea hivi toka tumeoana for 10 years sasa, so naohisi kavumilia mwisho kachoka, akanambia " naona mwenyewe siku hizi unapendeeeeza , huku wanao unawasahau" 😂😂😂😂😂😂.

Nikajua hapa tayari dozi imeshakaa mahala pake....😆😆😆

Uzi tayari.
Za kuambiwa changanya na zako
 
Wanawake akili yenu ni kuwamanipulate wanaume kwa akili zenu kama hzi...oooh tafuta hela, oooh matunzo,ooh mwanaume atakula kwa jasho, ooh gentleman na nyoko zingine..... we umeona wapi jamaa kaona anapoteza kujali watoto wake???......kuamua na yeye kujijali ndo unaona nongwa
Ahahahahah. Nami nimemuuliza hilo swali akatoka nduki
 
When you are 35, priority inakuwa kuboresha muhimu vikutegemeavyo na vinavyokuzunguka vilivyo muhimu kwa ajili ya maisha yako (family, wazAzi, kazi yako, kujenga, afya, etc)

Ndio maana at 35 kama ni mtu timamu hauwez kukuta anafukuzana na mademu au fashion.
Hata ukifa hao wanaokutegemea wataendelea kuishi na ukifirisika pia itakuwa hivyo hivyo! (Labda familia yako) Muda fulani tunajipa stress Kwa mambo ambayo nature tayari imeshaamua.
Furahia maisha uwe na afya njema uzeeni.Tafsiri ya utimamu sio kujipa stress na mizigo.
 
Mi kila tukinuniana na Mama watoto Hasira zangu naamishia mwilini mwangu nitanunua marashi ya bei mbaya pamba za kufa Mtu mpaka utamsikia mama watoto anaanza 'Naona demu wako amekwambia unyoe hivyo'Najua tayari dokta anakamua dawa sndano Takoni.
 
Ulichokifanya wewe ndicho anachokifanya Msigwa sasa hivi, unaamua kusupport ujinga uliolua ukiupuuza mwanzo kwa sababu zisizo na msingi.
Sikia, Ukiteka attention ya watu watakuja maishani mwako amini hawatoondoka bure.
Soon utaanza kuona pesa uliyoitumia kuwafurahisha mkeo na watoto sasa unaitumia kwa malaya na kuwapa offer wana na wapiga vizinga wengine.
Sawa basic needs kwa familia utaprovide lakin kasi yako ya maendeleo itadumaa kidogo kwa maana umeamua kua mtu wa kuzingatia watu nje ya familia yako.

Hili umekula tango poli la jf.
Sawa. Ahsante kwa ushauri.
 
Mabibi na Mabwana habari zenu.

Sio kitu muhimu sana but kimenifanya nijione maisha kuna muda mwingine yanaweza kupoteza vitu flan maishani mwako ambavyo japo unavichukulia kama minor issues but in real sense they are not.

Kwanza kabisa fahamu kuwa;
Ni muhimu sana kuwa makini na mambo yanayoshauriwa mitandaoni. Yapo yenye manufaa japo yana sura ya ukawaida au ubaya. Na yapo mabaya japo yanashauriwa kwa uzuri na ushawishi mkubwa.

Nirudi kwenye mada:

Mfano mimi na utu uzima wangu huu, ni mtu ambaye nimekua najali sana family kuliko hata ninavyojijali mimi.

Mimi honestly sikuwah ona kama kwangu ni muhimu sana mambo ya kuvaa na muonekano, kuliko kujali wanangu wale na wavae vizuri. Japo zamani wakati wa ujana huko nilikua najali kidogo hizi mambo but baada ya kuoa Nikawa najichukulia aah ile less than average yan, kwangu kipaumbele ni family.

Sikuajua kitu nilichokua nakipoteza, the value..

Sasa siku moja nikakutana na uzi wa mdogo angu Natafuta Ajira kuwa unapopambania familia na kuandaa future yao usijisahau na wewe pia, jipe kipaumbele kwanza 😂.
(Nimeshindwa kukumbuka exactly jina la ule uzi).

Sasa mimi at 35 now, nikawa najichukulia aahh nishazeeka tayari haya mambo ya kujali mjonekano na mavazi ninya vijana zaid, acha nifanye mambo ya msingi zaidi.

Honestly ndio hiv karibuni nimekuja kugundua kumbe nina viatu pair 2 tu, jinsi 2 na suarual 2 tu, shati chachee hazifiki 4 na tshirt hazifiki 3 😅😅. Haya yote nikikua naona normal tu, hata sijali, mimi najali family...wale vizur, wavae vizuri.. punda afe mzigo ufike.

Si nikajaribu bwana huu ushauri wa bwana Natafuta Ajira 😂😂. Nikajikumbuka na kujaribu kujirudisha enz zangu za 20's, every time doing simple shopping for myself, nikiingia town, nunua nguo mbili tatu kali kila napopata fursa ya kuzunguka mjini, after every sometime kuji sop sop salon, weka kichwa safi (nina uwaraza so napendeleaga kunyoa dongo/upara wa wembe), weka ndevu fresh, marashi ya hapa na pale, vitu ambavyo nilishaachaga kufanya japo vyote viko ndani ya uwezo wangu, nikawa najifanya niko busy kupambania familia.

Doohhh!! Kiukwel nimeanza ku experience huge changes, kuanzia namna watu wanavyonitzama now, wanavyonichangamkia mpaka mabinti na mishangazi age mates wangu naona like i send attraction signals to them bila kusema neno and they are trully affected tofauti na hapo kabla.

Na kubwa zaid , am feeling veery good far better that before.

Najisikia raha kabisa.

KUbwa zaid mpaka wife juzi kaamua kunipiga kijembe maana hajanizoea hivi toka tumeoana for 10 years sasa, so naohisi kavumilia mwisho kachoka, akanambia " naona mwenyewe siku hizi unapendeeeeza , huku wanao unawasahau" 😂😂😂😂😂😂.

Nikajua hapa tayari dozi imeshakaa mahala pake....😆😆😆

Uzi tayari.
Ukijupenda sana lazima wife atoe milio ila jua kuwa ule uzi hata mimi niliufuata.
Imagine account inaweza kuwa na balance zaidi ya M ila nilikua na pair moja ya kiatu. Ila familia niliiweka mbele sana
 
Ndio maana at 35 kama ni mtu timamu hauwez kukuta anafukuzana na mademu au fashion.
We jamaa ni kwamba sijakuelewa au?

Nyie ndio wale ambao "Kwenye kabati kumejaa nguo za wake zenu halafu wewe una ka sehemu kimoja kwenye shelf kina jinzi mbili tuu""

Mzee JIKUMBUKE, Kufa ni MARA MOJA.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Honestly ndio hiv karibuni nimekuja kugundua kumbe nina viatu pair 2 tu, jinsi 2 na suarual 2 tu, shati chachee hazifiki 4 na tshirt hazifiki 3 😅😅. Haya yote nikikua naona normal tu, hata sijali, mimi najali family...wale vizur, wavae vizuri.. punda afe mzigo ufike.
Nguo zote hizi unataka kufungua duka mkuu?
Mwanaume halisi hatulingishiani nguo bali maendeleo yako. Kikubwa usito tako nje tu.
Hizo pigo za nguo waachie wanawake.

Mimi pamoja na miaka yangu hii 37 nguo huwa nanunuliwa na baba yangu. muda mwingine naomba kabisaa
Hivyo nami nafanya kama baba anavyofanya kwangu nanunulia sana watoto wangu na mke wangu.

mzee hana kazi na kila mwisho wa mwezi lazima nimtumie300k hadi 500k kama kuna bonus. akiipata tu lazima akanunue nguo aniletee au atume.
 
Back
Top Bottom