BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 1,568
- 1,923
ββNakubaliana na wewe....
Ndio maana nikasema kanipiga kijembe maana anajua fika si kweli na pia hajanizoea hivi. Kazoea shopping zinawahusu wao tuuuuMkuu si ulisema ilijikita katika familia,mbona huyo wife wako anasema tena wanao umewasahau.
Wanawake.
Wanawake akili yenu ni kuwamanipulate wanaume kwa akili zenu kama hzi...oooh tafuta hela, oooh matunzo,ooh mwanaume atakula kwa jasho, ooh gentleman na nyoko zingine..... we umeona wapi jamaa kaona anapoteza kujali watoto wake???......kuamua na yeye kujijali ndo unaona nongwaKazi kweli kweli, yani mtu anazaa watoto mwenyewe halafu suala la kuwajali nalo anaanza kuona kama anapoteza, yani imefikia hatua wanaume wanaona kama kujali watoto wao ni kuwafanyia favour
Za kuambiwa changanya na zakoMabibi na Mabwana habari zenu.
Sio kitu muhimu sana but kimenifanya nijione maisha kuna muda mwingine yanaweza kupoteza vitu flan maishani mwako ambavyo japo unavichukulia kama minor issues but in real sense they are not.
Kwanza kabisa fahamu kuwa;
Ni muhimu sana kuwa makini na mambo yanayoshauriwa mitandaoni. Yapo yenye manufaa japo yana sura ya ukawaida au ubaya. Na yapo mabaya japo yanashauriwa kwa uzuri na ushawishi mkubwa.
Nirudi kwenye mada:
Mfano mimi na utu uzima wangu huu, ni mtu ambaye nimekua najali sana family kuliko hata ninavyojijali mimi.
Mimi honestly sikuwah ona kama kwangu ni muhimu sana mambo ya kuvaa na muonekano, kuliko kujali wanangu wale na wavae vizuri. Japo zamani wakati wa ujana huko nilikua najali kidogo hizi mambo but baada ya kuoa Nikawa najichukulia aah ile less than average yan, kwangu kipaumbele ni family.
Sikuajua kitu nilichokua nakipoteza, the value..
Sasa siku moja nikakutana na uzi wa mdogo angu Natafuta Ajira kuwa unapopambania familia na kuandaa future yao usijisahau na wewe pia, jipe kipaumbele kwanza π.
(Nimeshindwa kukumbuka exactly jina la ule uzi).
Sasa mimi at 35 now, nikawa najichukulia aahh nishazeeka tayari haya mambo ya kujali mjonekano na mavazi ninya vijana zaid, acha nifanye mambo ya msingi zaidi.
Honestly ndio hiv karibuni nimekuja kugundua kumbe nina viatu pair 2 tu, jinsi 2 na suarual 2 tu, shati chachee hazifiki 4 na tshirt hazifiki 3 π π . Haya yote nikikua naona normal tu, hata sijali, mimi najali family...wale vizur, wavae vizuri.. punda afe mzigo ufike.
Si nikajaribu bwana huu ushauri wa bwana Natafuta Ajira ππ. Nikajikumbuka na kujaribu kujirudisha enz zangu za 20's, every time doing simple shopping for myself, nikiingia town, nunua nguo mbili tatu kali kila napopata fursa ya kuzunguka mjini, after every sometime kuji sop sop salon, weka kichwa safi (nina uwaraza so napendeleaga kunyoa dongo/upara wa wembe), weka ndevu fresh, marashi ya hapa na pale, vitu ambavyo nilishaachaga kufanya japo vyote viko ndani ya uwezo wangu, nikawa najifanya niko busy kupambania familia.
Doohhh!! Kiukwel nimeanza ku experience huge changes, kuanzia namna watu wanavyonitzama now, wanavyonichangamkia mpaka mabinti na mishangazi age mates wangu naona like i send attraction signals to them bila kusema neno and they are trully affected tofauti na hapo kabla.
Na kubwa zaid , am feeling veery good far better that before.
Najisikia raha kabisa.
KUbwa zaid mpaka wife juzi kaamua kunipiga kijembe maana hajanizoea hivi toka tumeoana for 10 years sasa, so naohisi kavumilia mwisho kachoka, akanambia " naona mwenyewe siku hizi unapendeeeeza , huku wanao unawasahau" ππππππ.
Nikajua hapa tayari dozi imeshakaa mahala pake....πππ
Uzi tayari.
Ahahahahah. Nami nimemuuliza hilo swali akatoka ndukiWanawake akili yenu ni kuwamanipulate wanaume kwa akili zenu kama hzi...oooh tafuta hela, oooh matunzo,ooh mwanaume atakula kwa jasho, ooh gentleman na nyoko zingine..... we umeona wapi jamaa kaona anapoteza kujali watoto wake???......kuamua na yeye kujijali ndo unaona nongwa
Hata ukifa hao wanaokutegemea wataendelea kuishi na ukifirisika pia itakuwa hivyo hivyo! (Labda familia yako) Muda fulani tunajipa stress Kwa mambo ambayo nature tayari imeshaamua.When you are 35, priority inakuwa kuboresha muhimu vikutegemeavyo na vinavyokuzunguka vilivyo muhimu kwa ajili ya maisha yako (family, wazAzi, kazi yako, kujenga, afya, etc)
Ndio maana at 35 kama ni mtu timamu hauwez kukuta anafukuzana na mademu au fashion.
Sawa. Ahsante kwa ushauri.Ulichokifanya wewe ndicho anachokifanya Msigwa sasa hivi, unaamua kusupport ujinga uliolua ukiupuuza mwanzo kwa sababu zisizo na msingi.
Sikia, Ukiteka attention ya watu watakuja maishani mwako amini hawatoondoka bure.
Soon utaanza kuona pesa uliyoitumia kuwafurahisha mkeo na watoto sasa unaitumia kwa malaya na kuwapa offer wana na wapiga vizinga wengine.
Sawa basic needs kwa familia utaprovide lakin kasi yako ya maendeleo itadumaa kidogo kwa maana umeamua kua mtu wa kuzingatia watu nje ya familia yako.
Hili umekula tango poli la jf.
Sipandi kwa kweli labda kwa dharula Tena sio kwenye Rami.Boda boda kwasasa unaziona nuksi π
Ukijupenda sana lazima wife atoe milio ila jua kuwa ule uzi hata mimi niliufuata.Mabibi na Mabwana habari zenu.
Sio kitu muhimu sana but kimenifanya nijione maisha kuna muda mwingine yanaweza kupoteza vitu flan maishani mwako ambavyo japo unavichukulia kama minor issues but in real sense they are not.
Kwanza kabisa fahamu kuwa;
Ni muhimu sana kuwa makini na mambo yanayoshauriwa mitandaoni. Yapo yenye manufaa japo yana sura ya ukawaida au ubaya. Na yapo mabaya japo yanashauriwa kwa uzuri na ushawishi mkubwa.
Nirudi kwenye mada:
Mfano mimi na utu uzima wangu huu, ni mtu ambaye nimekua najali sana family kuliko hata ninavyojijali mimi.
Mimi honestly sikuwah ona kama kwangu ni muhimu sana mambo ya kuvaa na muonekano, kuliko kujali wanangu wale na wavae vizuri. Japo zamani wakati wa ujana huko nilikua najali kidogo hizi mambo but baada ya kuoa Nikawa najichukulia aah ile less than average yan, kwangu kipaumbele ni family.
Sikuajua kitu nilichokua nakipoteza, the value..
Sasa siku moja nikakutana na uzi wa mdogo angu Natafuta Ajira kuwa unapopambania familia na kuandaa future yao usijisahau na wewe pia, jipe kipaumbele kwanza π.
(Nimeshindwa kukumbuka exactly jina la ule uzi).
Sasa mimi at 35 now, nikawa najichukulia aahh nishazeeka tayari haya mambo ya kujali mjonekano na mavazi ninya vijana zaid, acha nifanye mambo ya msingi zaidi.
Honestly ndio hiv karibuni nimekuja kugundua kumbe nina viatu pair 2 tu, jinsi 2 na suarual 2 tu, shati chachee hazifiki 4 na tshirt hazifiki 3 π π . Haya yote nikikua naona normal tu, hata sijali, mimi najali family...wale vizur, wavae vizuri.. punda afe mzigo ufike.
Si nikajaribu bwana huu ushauri wa bwana Natafuta Ajira ππ. Nikajikumbuka na kujaribu kujirudisha enz zangu za 20's, every time doing simple shopping for myself, nikiingia town, nunua nguo mbili tatu kali kila napopata fursa ya kuzunguka mjini, after every sometime kuji sop sop salon, weka kichwa safi (nina uwaraza so napendeleaga kunyoa dongo/upara wa wembe), weka ndevu fresh, marashi ya hapa na pale, vitu ambavyo nilishaachaga kufanya japo vyote viko ndani ya uwezo wangu, nikawa najifanya niko busy kupambania familia.
Doohhh!! Kiukwel nimeanza ku experience huge changes, kuanzia namna watu wanavyonitzama now, wanavyonichangamkia mpaka mabinti na mishangazi age mates wangu naona like i send attraction signals to them bila kusema neno and they are trully affected tofauti na hapo kabla.
Na kubwa zaid , am feeling veery good far better that before.
Najisikia raha kabisa.
KUbwa zaid mpaka wife juzi kaamua kunipiga kijembe maana hajanizoea hivi toka tumeoana for 10 years sasa, so naohisi kavumilia mwisho kachoka, akanambia " naona mwenyewe siku hizi unapendeeeeza , huku wanao unawasahau" ππππππ.
Nikajua hapa tayari dozi imeshakaa mahala pake....πππ
Uzi tayari.
We jamaa ni kwamba sijakuelewa au?Ndio maana at 35 kama ni mtu timamu hauwez kukuta anafukuzana na mademu au fashion.
Nguo zote hizi unataka kufungua duka mkuu?Honestly ndio hiv karibuni nimekuja kugundua kumbe nina viatu pair 2 tu, jinsi 2 na suarual 2 tu, shati chachee hazifiki 4 na tshirt hazifiki 3 π π . Haya yote nikikua naona normal tu, hata sijali, mimi najali family...wale vizur, wavae vizuri.. punda afe mzigo ufike.