Vitu vya kuanza navyo kuchochea safari ya kutajirika mapema

Vitu vya kuanza navyo kuchochea safari ya kutajirika mapema

2: Acha NGONO
Oa mke mmoja unayeendana naye. Safisha kitengo cha zinaa. Zinaa na pombe vinaukaribu sana na umasikini. Kuna takwimu hafifu sanaa za mabilionea wazinzi au mwenye kasha za uzinzi. Mo, Bakhresa, Bilgate, Slim, Dangote, Motsape, Katumbi huwezi kuwakuta kwenye magazeti ya udaku eti wamefumaniwa.
Baadhi ya watu wasio na hela hudhani matajiri sio wazinzi na hawapendi ngono. Sasa kwa taarifa yako maskini hana uwezo wowote wa kuwa mzinzi zaidi ya tajiri.

Huwezi muona Dangote kafumaniwa sababu sio mjinga, sifa kuu ya tajiri ni kutokuwa mjinga awe amesoma au hajasoma. Dangote ana mademu Marekani na kwingineko, katoa taraka mara mbili kashaoa wake watatu au wanne. Anakwepa kuwa na michepuko Nigeria.

Matajiri ndio wanaenda kwenye orgies, threesomes na ndio wengine wana sexual trafficking kama kesi ya Epstein. Muuza mihogo atolee wapi hizo mambo.
 
Nipe ushahidi ya kwamba zinaa iko karibu na unasikini.
Zinaa usambaza roho za mikosi na laana
Umasikini ni laana.
Afanyae ngono hovyo mwenye pesa mpe miaka mitano kachek hali yake kama bado anazo hizo pesa au hio kazi.
Ukiona ana pesa na anafanya sana ngono wengi huwa ni pesa za kichawi anakuwa ametoa kafara mbegu zake au utumia ngono kuiba nyota za watu,mfano wale wasanii wakubwa wasiotaka kuoa
 
Nakuunga mkono mtoa mada kwenye baadhi ya pointi, ila umetudhalilisha sana sisi matajiri kuwa hatupendi ngono.
Hivi wale wasanii na wadada wanaojiita classic wanaliwa na masikini?
 
Baadhi ya watu wasio na hela hudhani matajiri sio wazinzi na hawapendi ngono. Sasa kwa taarifa yako maskini hana uwezo wowote wa kuwa mzinzi zaidi ya tajiri.

Huwezi muona Dangote kafumaniwa sababu sio mjinga, sifa kuu ya tajiri ni kutokuwa mjinga awe amesoma au hajasoma. Dangote ana mademu Marekani na kwingineko, katoa taraka mara mbili kashaoa wake watatu au wanne. Anakwepa kuwa na michepuko Nigeria.

Matajiri ndio wanaenda kwenye orgies, threesomes na ndio wengine wana sexual trafficking kama kesi ya Epstein. Muuza mihogo atolee wapi hizo mambo.
Masikini ndio ufanya sana ngono kuliko matajiri kwa sababu wana mda mwingi wa kupoteza.
Ukiwa bize na maisha huwezi waza ngono au kuchepuka
 
Baadhi ya watu wasio na hela hudhani matajiri sio wazinzi na hawapendi ngono. Sasa kwa taarifa yako maskini hana uwezo wowote wa kuwa mzinzi zaidi ya tajiri.

Huwezi muona Dangote kafumaniwa sababu sio mjinga, sifa kuu ya tajiri ni kutokuwa mjinga awe amesoma au hajasoma. Dangote ana mademu Marekani na kwingineko, katoa taraka mara mbili kashaoa wake watatu au wanne. Anakwepa kuwa na michepuko Nigeria.

Matajiri ndio wanaenda kwenye orgies, threesomes na ndio wengine wana sexual trafficking kama kesi ya Epstein. Muuza mihogo atolee wapi hizo mambo.
Wazinzi wengi ni matajiri wa kati.
 
Pesa inayokutajirisha ni ile inayogeuka kama chambo ya kunapa pesa zaidi.

Kuna mambo unayotakiwa kuyadhibiti kabla hujakurupukia ndoto za utajiri. Mambo ambayo yatakusababisha kila kinachoingia kiingie ili kilete pesa zaidi

1: Chakula
Hakikisha una mfumo imara wa kula tena kula vizuri. Malizana na chakula kwanza. Usikimbilie kutajirika kwa kupuuza utajiri wa afya. Utakufa kabla ya utajiri wako. Masikini ndio wanakula mara tatu maana wao karibh 59% ya akili zao wanawaza kula. Ukidhibiti mfumo wa chakula hata ukila mara moja kwa siku huna wasiwasi maana unauhakika ukitaka kula muda wowote mfumo wako unakusuport.

2: Acha NGONO
Oa mke mmoja unayeendana naye. Safisha kitengo cha zinaa. Zinaa na pombe vinaukaribu sana na umasikini. Kuna takwimu hafifu sanaa za mabilionea wazinzi au mwenye kasha za uzinzi. Mo, Bakhresa, Bilgate, Slim, Dangote, Motsape, Katumbi huwezi kuwakuta kwenye magazeti ya udaku eti wamefumaniwa.

3: Dhibiti malalamiko ya familia
Hakikisha umeitulizq familia. Mama anakula vizuri, anavaa vizuri, watoto wanaamani. Pesa za maana hazikai kwenye magomvi. Utulivu wa familia unaambuiza hadi ubongo kitengo cha fedha.

4: Dhibiti mihemko ya fedha kwa kutokurupuka zinapoingia
Inashauriwa ukipata pesa yoyote angalau iache ipumue hata siku tatu ndio uanze kuitumia. Hii itakutolea wenge na uchu wa mikurupuko ya kifedha. Tena ukiweza chukua tu kiasi kikubwa tembea nacho mtaani bila kukitumia.

Mimi ni hayo tu,
Kama unanyongeza uwanja ni wako.
Binafsi NIPENDE kukushukuru kwa ushauri mzuri
 
Back
Top Bottom