T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Maskini hawafanyi sana ngono sababu utongoza na kuzunguka sana, utakiwa kushawishi na kutesekea penzi na hawana hela nyingi ya kuzinia. Tajiri ni simu moja tu na hela demu huyu hapa.Masikini ndio ufanya sana ngono kuliko matajiri kwa sababu wana mda mwingi wa kupoteza.
Ukiwa bize na maisha huwezi waza ngono au kuchepuka
Nina rafiki yangu agemate ananizidi hela, yupo abroad for some weeks anarudi soon. Uko ameishaandaa booking ya mademu watatu, mmoja kashalipia air ticket kutoka mkoani, mwingine anamfuata mkoani mwenyewe na mwingine yupo jijini. Hao sio mademu zake wote, na bado kuna atakaochukua akifika na bado ana mademu zake.
Huyo rafiki yangu ananizidi mtaji, uzoefu na connection. Na wala mimi kutokuwa mzinzi hakuniongezei competitive advantage kwake. Na wala uzinzi haumpotezei muda.
Kwanza tajiri gani hana muda? Maskini anaishi Chanika asipofanya kazi hali, anaamka saa kumi kuwahi foleni ndani anarudi saa nne usiku, ndio huyo ana muda mwingi wa uzinzi? Wakati tajiri ana wafanyakazi anaweza amua wiki nzima hatokei kazini na mambo yakaenda.
