Vitu vya kuanza navyo kuchochea safari ya kutajirika mapema

Vitu vya kuanza navyo kuchochea safari ya kutajirika mapema

Masikini ndio ufanya sana ngono kuliko matajiri kwa sababu wana mda mwingi wa kupoteza.
Ukiwa bize na maisha huwezi waza ngono au kuchepuka
Maskini hawafanyi sana ngono sababu utongoza na kuzunguka sana, utakiwa kushawishi na kutesekea penzi na hawana hela nyingi ya kuzinia. Tajiri ni simu moja tu na hela demu huyu hapa.

Nina rafiki yangu agemate ananizidi hela, yupo abroad for some weeks anarudi soon. Uko ameishaandaa booking ya mademu watatu, mmoja kashalipia air ticket kutoka mkoani, mwingine anamfuata mkoani mwenyewe na mwingine yupo jijini. Hao sio mademu zake wote, na bado kuna atakaochukua akifika na bado ana mademu zake.

Huyo rafiki yangu ananizidi mtaji, uzoefu na connection. Na wala mimi kutokuwa mzinzi hakuniongezei competitive advantage kwake. Na wala uzinzi haumpotezei muda.

Kwanza tajiri gani hana muda? Maskini anaishi Chanika asipofanya kazi hali, anaamka saa kumi kuwahi foleni ndani anarudi saa nne usiku, ndio huyo ana muda mwingi wa uzinzi? Wakati tajiri ana wafanyakazi anaweza amua wiki nzima hatokei kazini na mambo yakaenda.
 
Maskini hawafanyi sana ngono sababu hutongoza na kuzunguka sana, hutakiwa kushawishi na kutesekea penzi na hawana hela nyingi ya kuzinia. Tajiri ni simu moja tu na hela demu huyu hapa.

Nina rafiki yangu agemate ananizidi hela, yupo abroad for some weeks anarudi soon. Uko ameishaandaa booking ya mademu watatu, mmoja kashalipia air ticket kutoka mkoani, mwingine anamfuata mkoani mwenyewe na mwingine yupo jijini. Hao sio mademu zake wote, na bado kuna atakaochukua akifika na bado ana mademu zake.

Huyo rafiki yangu ananizidi mtaji, uzoefu na connection. Na wala mimi kutokuwa mzinzi hakuniongezei competitive advantage kwake. Na wala uzinzi haumpotezei muda.

Kwanza tajiri gani hana muda? Maskini anaishi Chanika asipofanya kazi hali, anaamka saa kumi kuwahi foleni ndani anarudi saa nne usiku, ndio huyo ana muda mwingi wa uzinzi? Wakati tajiri ana wafanyakazi anaweza amua wiki nzima hatokei kazini na mambo yakaenda.
Kabisa tajiri anauwezo wa kuwa mzinzi/kupata demu muda wowote na mamb yake yanaenda sisi pangu pakavu demu akiomba 20 tunalia wehee..
 
Maskini hawafanyi sana ngono sababu utongoza na kuzunguka sana, utakiwa kushawishi na kutesekea penzi na hawana hela nyingi ya kuzinia. Tajiri ni simu moja tu na hela demu huyu hapa.

Nina rafiki yangu agemate ananizidi hela, yupo abroad for some weeks anarudi soon. Uko ameishaandaa booking ya mademu watatu, mmoja kashalipia air ticket kutoka mkoani, mwingine anamfuata mkoani mwenyewe na mwingine yupo jijini. Hao sio mademu zake wote, na bado kuna atakaochukua akifika na bado ana mademu zake.

Huyo rafiki yangu ananizidi mtaji, uzoefu na connection. Na wala mimi kutokuwa mzinzi hakuniongezei competitive advantage kwake. Na wala uzinzi haumpotezei muda.

Kwanza tajiri gani hana muda? Maskini anaishi Chanika asipofanya kazi hali, anaamka saa kumi kuwahi foleni ndani anarudi saa nne usiku, ndio huyo ana muda mwingi wa uzinzi? Wakati tajiri ana wafanyakazi anaweza amua wiki nzima hatokei kazini na mambo yakaenda.
Ngono ufanyika zaidi uswahilini kuliko sehemu zenye kipato Kwan madanguro yote si yapo uswahilini,vijjini guest ni vichaka na mashamba ya watu usiku,nyumba za kupanga wapangaji wote ulana
 
Ngono ukwepe vipi sasa wakati naturally ni part ya mwili wako, mke mmoja hadi apatikane, testing lazima ufanye si chini ya 20, ndio unaoa mmoja, but ngono inategemea unatoa kiasi gani, kuna dada poa bei standard tu una plan kwa mwezi ila sio kufanya ngono na celebrities hawafai, wanajifanya expensive for nothing..!!
 
Pesa inayokutajirisha ni ile inayogeuka kama chambo ya kunasa pesa zaidi.

Kuna mambo unayotakiwa kuyadhibiti kabla hujakurupukia ndoto za utajiri. Mambo ambayo yatakusababisha kila kinachoingia kiingie ili kilete pesa zaidi

1: Chakula
Hakikisha una mfumo imara wa kula tena kula vizuri. Malizana na chakula kwanza. Usikimbilie kutajirika kwa kupuuza utajiri wa afya. Utakufa kabla ya utajiri wako. Masikini ndio wanakula mara tatu maana wao karibh 59% ya akili zao wanawaza kula. Ukidhibiti mfumo wa chakula hata ukila mara moja kwa siku huna wasiwasi maana unauhakika ukitaka kula muda wowote mfumo wako unakusuport.

2: Acha NGONO
Oa mke mmoja unayeendana naye. Safisha kitengo cha zinaa. Zinaa na pombe vinaukaribu sana na umasikini. Kuna takwimu hafifu sanaa za mabilionea wazinzi au mwenye kasha za uzinzi. Mo, Bakhresa, Bilgate, Slim, Dangote, Motsape, Katumbi huwezi kuwakuta kwenye magazeti ya udaku eti wamefumaniwa.

3: Dhibiti malalamiko ya familia
Hakikisha umeitulizq familia. Mama anakula vizuri, anavaa vizuri, watoto wanaamani. Pesa za maana hazikai kwenye magomvi. Utulivu wa familia unaambuiza hadi ubongo kitengo cha fedha.

4: Dhibiti mihemko ya fedha kwa kutokurupuka zinapoingia
Inashauriwa ukipata pesa yoyote angalau iache ipumue hata siku tatu ndio uanze kuitumia. Hii itakutolea wenge na uchu wa mikurupuko ya kifedha. Tena ukiweza chukua tu kiasi kikubwa tembea nacho mtaani bila kukitumia.

Mimi ni hayo tu,
Kama unanyongeza uwanja ni wako.
Perfect...shukrani
 
Maskini hawafanyi sana ngono sababu utongoza na kuzunguka sana, utakiwa kushawishi na kutesekea penzi na hawana hela nyingi ya kuzinia. Tajiri ni simu moja tu na hela demu huyu hapa.

Nina rafiki yangu agemate ananizidi hela, yupo abroad for some weeks anarudi soon. Uko ameishaandaa booking ya mademu watatu, mmoja kashalipia air ticket kutoka mkoani, mwingine anamfuata mkoani mwenyewe na mwingine yupo jijini. Hao sio mademu zake wote, na bado kuna atakaochukua akifika na bado ana mademu zake.

Huyo rafiki yangu ananizidi mtaji, uzoefu na connection. Na wala mimi kutokuwa mzinzi hakuniongezei competitive advantage kwake. Na wala uzinzi haumpotezei muda.

Kwanza tajiri gani hana muda? Maskini anaishi Chanika asipofanya kazi hali, anaamka saa kumi kuwahi foleni ndani anarudi saa nne usiku, ndio huyo ana muda mwingi wa uzinzi? Wakati tajiri ana wafanyakazi anaweza amua wiki nzima hatokei kazini na mambo yakaenda.
Niliwahi kusomq shule ya Secondary iliyokuwa katikati ya jiji. Usiku mamia ya wanawake wanajiuza wateja wao wakubwa ni wamachinga, na masikini baada ya kazi nzito.

Pia mfano mzuri ulioutoa huyo tunamuita tajiri wa kati au kuuelekea. Hilo ndilo kundi linaloongoza kwa ngono,
 
Pesa inayokutajirisha ni ile inayogeuka kama chambo ya kunasa pesa zaidi.

Kuna mambo unayotakiwa kuyadhibiti kabla hujakurupukia ndoto za utajiri. Mambo ambayo yatakusababisha kila kinachoingia kiingie ili kilete pesa zaidi

1: Chakula
Hakikisha una mfumo imara wa kula tena kula vizuri. Malizana na chakula kwanza. Usikimbilie kutajirika kwa kupuuza utajiri wa afya. Utakufa kabla ya utajiri wako. Masikini ndio wanakula mara tatu maana wao karibh 59% ya akili zao wanawaza kula. Ukidhibiti mfumo wa chakula hata ukila mara moja kwa siku huna wasiwasi maana unauhakika ukitaka kula muda wowote mfumo wako unakusuport.

2: Acha NGONO
Oa mke mmoja unayeendana naye. Safisha kitengo cha zinaa. Zinaa na pombe vinaukaribu sana na umasikini. Kuna takwimu hafifu sanaa za mabilionea wazinzi au mwenye kasha za uzinzi. Mo, Bakhresa, Bilgate, Slim, Dangote, Motsape, Katumbi huwezi kuwakuta kwenye magazeti ya udaku eti wamefumaniwa.

3: Dhibiti malalamiko ya familia
Hakikisha umeitulizq familia. Mama anakula vizuri, anavaa vizuri, watoto wanaamani. Pesa za maana hazikai kwenye magomvi. Utulivu wa familia unaambuiza hadi ubongo kitengo cha fedha.

4: Dhibiti mihemko ya fedha kwa kutokurupuka zinapoingia
Inashauriwa ukipata pesa yoyote angalau iache ipumue hata siku tatu ndio uanze kuitumia. Hii itakutolea wenge na uchu wa mikurupuko ya kifedha. Tena ukiweza chukua tu kiasi kikubwa tembea nacho mtaani bila kukitumia.

Mimi ni hayo tu,
Kama unanyongeza uwanja ni wako.
Hiyo namba 4 ni mimi kabisa! Yaani hela kidogo akili haitulii kabisa. Zikiisha ndio akili inarudi back to normal
 
Pesa inayokutajirisha ni ile inayogeuka kama chambo ya kunasa pesa zaidi.

Kuna mambo unayotakiwa kuyadhibiti kabla hujakurupukia ndoto za utajiri. Mambo ambayo yatakusababisha kila kinachoingia kiingie ili kilete pesa zaidi

1: Chakula
Hakikisha una mfumo imara wa kula tena kula vizuri. Malizana na chakula kwanza. Usikimbilie kutajirika kwa kupuuza utajiri wa afya. Utakufa kabla ya utajiri wako. Masikini ndio wanakula mara tatu maana wao karibh 59% ya akili zao wanawaza kula. Ukidhibiti mfumo wa chakula hata ukila mara moja kwa siku huna wasiwasi maana unauhakika ukitaka kula muda wowote mfumo wako unakusuport.

2: Acha NGONO
Oa mke mmoja unayeendana naye. Safisha kitengo cha zinaa. Zinaa na pombe vinaukaribu sana na umasikini. Kuna takwimu hafifu sanaa za mabilionea wazinzi au mwenye kashfa za uzinzi. Mo, Bakhresa, Bilgate, Slim, Dangote, Motsape, Katumbi huwezi kuwakuta kwenye magazeti ya udaku eti wamefumaniwa.

3: Dhibiti malalamiko ya familia
Hakikisha umeituliza familia. Mama anakula vizuri, anavaa vizuri, watoto wanaamani. Pesa za maana hazikai kwenye magomvi. Utulivu wa familia unaambukiza hadi ubongo kitengo cha fedha.

4: Dhibiti mihemko ya fedha kwa kutokurupuka zinapoingia
Inashauriwa ukipata pesa yoyote angalau iache ipumue hata siku tatu ndio uanze kuitumia. Hii itakutolea wenge na uchu wa mikurupuko ya kifedha. Tena ukiweza chukua tu kiasi kikubwa tembea nacho mtaani bila kukitumia.

Mimi ni hayo tu,
Kama unanyongeza uwanja ni wako.
KO kwa kufanya tu hayo mambo manne, na tena bila kufanya kazi kwa bidii nakuwa na iman unakuwa MO???. Ahsante mkuu wacha niwe tajiri
 
Back
Top Bottom