stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
4. Namba nne ni sahihi sana, kwenye maisha ukisha fahamu kuwa huwezi kumaliza matamanio yako yote na kila unapotimiza moja linakuja lingine. Utaanza kuishi kwa nidhamu, humble, utaridhika na kuongeza juhudi zaidi.
Tafuta watu maskini na wasio na kesho… kila siku watukuwa wanashindana simu nzuri, nguo mpya, kutembea na mashangazi, yaani discussions zao ni vitu pity
Tafuta watu maskini na wasio na kesho… kila siku watukuwa wanashindana simu nzuri, nguo mpya, kutembea na mashangazi, yaani discussions zao ni vitu pity