stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Ulitegemea kumuoana Tajiri mkubwa, Mbnge au Wziri ananunua DEM barabarani duuuh. Tafuta job description ya " Chawa " ...Niliwahi kusomq shule ya Secondary iliyokuwa katikati ya jiji. Usiku mamia ya wanawake wanajiuza wateja wao wakubwa ni wamachinga, na masikini baada ya kazi nzito.
Pia mfano mzuri ulioutoa huyo tunamuita tajiri wa kati au kuuelekea. Hilo ndilo kundi linaloongoza kwa ngono,
Wanasiasa sio matajiri, labda wale matajiri walioingia kwenye siasa ili kuweka grisi kwenye michongo yao.Ulitegemea kumuoana Tajiri mkubwa, Mbnge au Wziri ananunua DEM barabarani duuuh. Tafuta job description ya " Chawa " ...
Hivi hiyo pesa ni kitu gan kwamba kina utambuz na uchaguz kias iko? Habar gan kwa Mfalme Suleiman?Kwenye ngono pia
Pesa haikai kwa mtu ambae anakutana na watu wengi kimwili
Haipendi uchafu wa zinaaa
Suleiman moja ya majuto yake ni hao wakina mama. Maana aliambiwa watamgeuza moyo aka mindset.Hivi hiyo pesa ni kitu gan kwamba kina utambuz na uchaguz kias iko? Habar gan kwa Mfalme Suleiman?
Mzee wangu alikua na wake 8 wa ndoa na Michepuko isiyo na idadi lakin wanae wote mpaka leo hakuna aliemfikia pesa licha ya kua na mke mmoja mmoja na wengine kukataa ndoa kabisa, mfano mimi hata demu sina ila na ukwasi sina🤣
wazaramoNipe ushahidi ya kwamba zinaa iko karibu na unasikini.
Kweli walimgeuza sasa?Suleiman moja ya majuto yake ni hao wakina mama. Maana aliambiwa watamgeuza moyo aka mindset.
Ni sahihiKweli walimgeuza sasa?
Uzi mzuri sana lakini hapa tu ndio umeharibuTena ukiweza chukua tu kiasi kikubwa tembea nacho mtaani bila kukitumia.
Ndio mkuu unatakiwa uzizoee. Yaani ukiwa na Pesa na usipokuwa nazo mindset yako ibaki sawa.Uzi mzuri sana lakini hapa tu ndio umeharibu
Tembea na account usitembee na cashNdio mkuu unatakiwa uzizoee. Yaani ukiwa na Pesa na usipokuwa nazo mindset yako ibaki sawa.
Hahaha ndio maana yakePesa bwana ni kama mavi tu hayana hiyari ya kukupata hivyo acheni methali na vinubi hapa ,gongesha glasi tu ikiwa ipo basi itakuwepo tu ila kama haipo haipo tu .
Ahsante baba
Baadhi ya watu wasio na hela hudhani matajiri sio wazinzi na hawapendi ngono. Sasa kwa taarifa yako maskini hana uwezo wowote wa kuwa mzinzi zaidi ya tajiri.
Huwezi muona Dangote kafumaniwa sababu sio mjinga, sifa kuu ya tajiri ni kutokuwa mjinga awe amesoma au hajasoma. Dangote ana mademu Marekani na kwingineko, katoa taraka mara mbili kashaoa wake watatu au wanne. Anakwepa kuwa na michepuko Nigeria.
Matajiri ndio wanaenda kwenye orgies, threesomes na ndio wengine wana sexual trafficking kama kesi ya Epstein. Muuza mihogo atolee wapi hizo mambo.