Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
Zinaa usambaza roho za mikosi na laana
Umasikini ni laana.
Afanyae ngono hovyo mwenye pesa mpe miaka mitano kachek hali yake kama bado anazo hizo pesa au hio kazi.
Ukiona ana pesa na anafanya sana ngono wengi huwa ni pesa za kichawi anakuwa ametoa kafara mbegu zake au utumia ngono kuiba nyota za watu,mfano wale wasanii wakubwa wasiotaka kuoa
Haya kweli ni mawazo ya kimasikini ngono unaelewa maana yake?2: Acha NGONO
Oa mke mmoja unayeendana naye. Safisha kitengo cha zinaa. Zinaa na pombe vinaukaribu sana na umasikini. Kuna takwimu hafifu sanaa za mabilionea wazinzi au mwenye kashfa za uzinzi. Mo, Bakhresa, Bilgate, Slim, Dangote, Motsape, Katumbi huwezi kuwakuta kwenye magazeti ya udaku eti wamefumaniwa.
Hongera sana ndugu kwa kumechisha Jina lako na comment yako.Nipe ushahidi ya kwamba zinaa iko karibu na unasikini.
Ndio wafuate kule ukawatombe sio unaishia kupiga punyeto wakati wapo kule wanasubiri kupigwa mashine
Negative sio kweli, mambo mengi hufanywa kwa usiri mkubwa mnoKwenye ngono pia
Pesa haikai kwa mtu ambae anakutana na watu wengi kimwili
Haipendi uchafu wa zinaaa
Epuka kujichukulia sheria mkononi
Maneno yote haya ni kutetea ngono tu au 😊Haya kweli ni mawazo ya kimasikini ngono unaelewa maana yake?
Ngono ni kufanya Mapenzi haijalishi umefumaniwa au haujafumaniwa hao uliowataja hapo Maisha yao yamegubikwa na usiri mkubwa Mno, Dangote ameacha Wanawake karibu wanne hao ni wale tunaowafahamu Ila kuna list ya tusiowafahamu means Jamaa anawapiga sana Pumbu anaoa anatomba anaacha hivyo hivyo, kwa hio Wewe unataka kusemaje?
Huyo namtumia km sample kwa hao wengine kwa hio katika kushauri kwenye hichi kifungu umepuyanga, kuoa mke mmoja sio suluhisho na sio kua Tajiri kuna Masikini wengi wameoa mke mmoja kwa hio kwenye hii formula umepuyanga.
Nitakupa Siri iliyojificha kwenye kufanya ngono au kungonoka au kufanya Mapenzi ambayo watu wengi hawaijui au ngoja niache
Maana ya Neno Masikini ni mtu Mjinga asiejua anataka nini, hio ndio maana haswa ya Neno Masikini
Kunywa tubia au tuwine tumoja kuna firisi nini. Acha tumwagilie mioyo yetu sisi. Haaah hamna jemaPesa inayokutajirisha ni ile inayogeuka kama chambo ya kunasa pesa zaidi.
Kuna mambo unayotakiwa kuyadhibiti kabla hujakurupukia ndoto za utajiri. Mambo ambayo yatakusababisha kila kinachoingia kiingie ili kilete pesa zaidi
1: Chakula
Hakikisha una mfumo imara wa kula tena kula vizuri. Malizana na chakula kwanza. Usikimbilie kutajirika kwa kupuuza utajiri wa afya. Utakufa kabla ya utajiri wako. Masikini ndio wanakula mara tatu maana wao karibh 59% ya akili zao wanawaza kula. Ukidhibiti mfumo wa chakula hata ukila mara moja kwa siku huna wasiwasi maana unauhakika ukitaka kula muda wowote mfumo wako unakusuport.
2: Acha NGONO
Oa mke mmoja unayeendana naye. Safisha kitengo cha zinaa. Zinaa na pombe vinaukaribu sana na umasikini. Kuna takwimu hafifu sanaa za mabilionea wazinzi au mwenye kashfa za uzinzi. Mo, Bakhresa, Bilgate, Slim, Dangote, Motsape, Katumbi huwezi kuwakuta kwenye magazeti ya udaku eti wamefumaniwa.
3: Dhibiti malalamiko ya familia
Hakikisha umeituliza familia. Mama anakula vizuri, anavaa vizuri, watoto wanaamani. Pesa za maana hazikai kwenye magomvi. Utulivu wa familia unaambukiza hadi ubongo kitengo cha fedha.
4: Dhibiti mihemko ya fedha kwa kutokurupuka zinapoingia
Inashauriwa ukipata pesa yoyote angalau iache ipumue hata siku tatu ndio uanze kuitumia. Hii itakutolea wenge na uchu wa mikurupuko ya kifedha. Tena ukiweza chukua tu kiasi kikubwa tembea nacho mtaani bila kukitumia.
Mimi ni hayo tu,
Kama unanyongeza uwanja ni wako.
Kwa hio unasemaje?Maneno yote haya ni kutetea ngono tu au 😊
Raha ya kukojoa bao uisikie tu ndio raha inayozidi raha zote Duniani yaan raha zote unazozijua zinazidiwa na raha ya kumwaga bao ambayo haizidi hata Dakika 1/2 yaan Ile raha hua inapita pale bao linapotoka aaah aaaah aaaah bao hilo linatoka raha yake sio ya Dunia hiiHapa watu wanachanganya kuzaliana Sana na kufanya ngono Sana. Maskini anazaa bila mpangilio ndo maana uswahilini watoto wengi Sana .. tajiri wengi wako smart Wana mpangilio nzuri WA uzazi, na hata akiwa na multiple women wanakua sio permanent anapita anaendelea na kupambana .. ila maskini utakuta ana mademu watano, bro unawamanage Vipi wote hao kuhusu mahitaji yao? Asee