Kwa staili hii ya maarifa ndo utaielewa Gearbox?๐๐๐๐๐๐Nashukuru sana fundi!HATA hapa siungi mkono acha mtu afanye anavyoweza, Maofisiini wanajaziwa Full Tank na unapewa safari hawapitii vituo vya Binafsi hata siku moja
Hakuna Ofisi inajaza robo Tank
Mkuu hapo ndipo nilipokataa kabisaKwa hiyo hata kutoa D kuweka R wakati gari inatembea ni sawa tu Ukwaju
Km Mwl ni wewe bora hii leseni yangu nitairudisha kabisa, nakushauri Kaka kaagize magari nitakuelewa lkn kwa hapa duhh nisameheTafuta maarifa kwa bidii kwanza kaka!
mbona kuna engine brake, (stop engine) retarder (redota) nkKIMOMWEMOTORS, Kwanza lazima tujue why hatupaswi kuweka Neutral kwenye mteremko na ni gear ipi sahihi kushukia nayo mlima in an automatic car.
First, gari linakuwa na uwezekano mkubwa sana wa kupoteza steering wheel control;unapeleka stress kubwa ya kucontrol gari kwenye brake pads hivyo kulika mno na kuoverheat,engine inapokuwa ina run huwa inatoa braking function ambayo inazipunguzia brake shida ya kuoverheat.
Sasa fundi mpaka gari imefika speed 180km/hr manake si ipo D automatically?au unadhan ipo gear gan kwenye auto unayoisemea?Mkuu hapo ndipo nilipokataa kabisa
siku hizi kuna Gari zina Automatic na Manual
ukileta mchezo huo gear box utaikaanga
simama kwanza peleka gear km ni ya mbele au ni ya nyuma
Na gari km ipo mwendo speed 180 huna ubavu wa kuitoa ukatafute 40km/h bora urudi D uanze upya
au tumia breki
jamani labda mm siielewi Mada hasa Post #1 point 1-4
Nikishawazaga mafundi wengi wa kibongo wa staili yako;bora hata nibaki na miguu yangu nisipate presha๐๐๐!Tatizo mafundi wengi wa kibongo mnapenda sana ujuaji,hampendi kujifunza na kuelewa kazi;sasa unanipa ukakasi,wewe ni fundi wa kutibu gari au kuongeza magonjwa kwenye gari?manake wengine wanapelekaga magari garage na tatizo moja Ila likirudi matatizo kumi;hamna namna zaid ya kulipaki kwa hayo kumi mapya๐๐Km Mwl ni wewe bora hii leseni yangu nitairudisha kabisa, nakushauri Kaka kaagize magari nitakuelewa lkn kwa hapa duhh nisamehe
mbona kuna engine brake, (stop engine) retarder (redota) nk
maana yangu ikisha kuwa speed iwe 10km/h au 180km/h usiitoe gea km ni AutomaticSasa fundi mpaka gari imefika speed 180km/hr manake si ipo D automatically?au unadhan ipo gear gan kwenye auto unayoisemea?
hii sio AUTO ni manual bado ni Makosa na tumeshayajadili sana humu Jukwaa la Magari1. Kushuka kwenye mteremko gari ikiwa neutral, hii inasababisha kuzuia oil kusambaa na kusababisha msuguano kukosa kilainishi hicho na kupelekea kusagika kwa baadhi ya sehemu.
3. Kubadilisha gear wakati gari bado inatembea, hakikisha unakamata brake kwanza ndipo ubadilishe gear.
Imetolewa na Kimomwe Motors (T) Ltd, waagizaji wa magari. 0746267740
Mguu weka kwenye breki au breki za kudunki (kanyaga achi kanyaga) km mteremko itasimama tena kigari kidogo unapata preshaNikishawazaga wafundi wengi wa kibongo wa staili yako;bora hata nibaki na mguu yangu nisipate presha๐๐๐
Hapa naona na ww umejibu kulingana na yale unayoyawaza kichwani mwako lakini siyo uhalisia. Hahahah yaani eti kwa sababu ofisini hawajazi full tank ndio inakuwa justification ya kwamba ukijaza full tank hakuna athari. Hapo umepotosha.Hata hapa siungi mkono acha mtu afanye anavyoweza, Maofisini wanajaziwa full tank na unapewa safari hawapitii vituo vya binafsi hata siku moja. Hakuna ofisi inajaza robo tank
Kama nilisema kila mtu anacomment hapa anauza magari basi nawaomba msamaha
Ila sipendi mtu asiyekuwa na uzoefu akaingilia kazi za wengine, kwani kama ni Dereva au Fundi, au muuza magari tushauriane wote lakini sio member aje aseme gari lisijazwe Full Tank, au Gear ya automatic unaweza ichomoa popote, rudi Post #1 soma vizuri
Kwa staili hii ya maarifa ndo utaielewa Gearbox?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Nashukuru sana fundi!
Hajasema gari lisijazwe full tank. Ameshauri kujaza full tank kama anaenda safari za mbali. Ila kama ni route za kawaida kashauri uweke half tank... Na katika hili yupo sahihi. Uzito wa gari ikiwa full tank na uzito wa gari ikiwa half tank ni vitu viwili tofauti. Hata performance zake haziwezi kuwa sawa. Mbna hili lipo wazi.
Humu ndani watu hujitoa utu uzima nakujiweka kuwa watoto siku zote mtu akileta ushauli flani watu huanza kuleta utoto wao nakuhalibu story nzima iliyokuja mimi kama mimi uzi huu nimeulelewa sana katoa angalizo sasa nyinyi mnaojiona mnajuwa sana mlikuwa wapi kutuletea uzi kama huu acheji ujinga
Kuna watu kama hawa kina chilubi wanakosoa na wapo tayari kukosolewa lakini kusema usiweke Full tank ukitoka Dodoma utafika nalo Dar dah jamani mtaniwia radhi Uongo hapa hautapitaHuu ndio utamu wa JF.
Ukionyesha ujuzi wa mambo wanajitokeza wajuzi zaidi yako na mwisho wa siku unaonekana mwanafunzi tu.
Hahahah we jamaa kushinda gereji siyo kuyajua magari. hiyo license uliyonayo nadhani ndio zile za kulipia then unapewa license. Huyo aliyekushauri ukajielimishe wala hajakosea.Km Mwl ni wewe bora hii leseni yangu nitairudisha kabisa, nakushauri Kaka kaagize magari nitakuelewa lkn kwa hapa duhh nisamehe
mbona kuna engine brake, (stop engine) retarder (redota) nk
unajibu post mojamoja tena za kumshambulia mlengwa wakati mm nimeielezea tofauti kati ya magari hayo makubwa na madogoHahahah we jamaa kushinda gereji siyo kuyajua magari. hiyo license uliyonayo nadhani ndio zile za kulipia then unapewa license. Huyo aliyekushauri ukajielimishe wala hajakosea.
Eti kwa sababu tu gari ina Exhaust brake na Retarder ndio utie neutral mteremkoni. Hizo ni akili za wapi??? Ukitia neutral mteremkoni unaweza shindwa kuicontrol hiyo gari.
Halafu hizo retarder na exhaust brake most zinapatikana kwenye magari makubwa.
samahani nimejua sasa kuwa kuna Mada zinajirudia zilishakuwepo mwaka jana 2018 na hamkuwepo hivyo mnaziona mpya, ni vizuri tukakosoana na kuelimishana mmsilazimishe kuwa mna LeseniMguu weka kwenye breki au breki za kudunki (kanyaga achi kanyaga) km mteremko itasimama tena kigari kidogo unapata presha
Malori vipo vitu vyake vya kutumia