Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,831
- 5,489
Habari za siku mbili tatu wakuu na wananzengo hapa jukwaani?
Hi video ni ile ya uchaguzi Mkuu 2020 nimeitumia hapa kutaka kusema kitu kuhusu hizi chaguzi
Unajua kwa kawaida kabisa ni wazi Majeshi yetu hayatakiwi kuchagua upande, majeshi yetu hayatakiwi kuonesha hisia zao wazi kisiasa.
Askari wetu n majeshi yetu kwa ujumla wanatakiwa kuzingatia mambo yafuatayo wakati huu wa uchaguzi ili uchaguzi uwe wa HAKI Na Amani.
1. Impartiality - Jeshi ama Askari hatakiwi kuchukua upande Na kuuweka wazi,Ni Hatari sana Kwa Askari kuuonesha umma Kuwa yupo upande gani,bahati mbaya Askari huyu kaonesha upande wake Ni upi (Partial)
2. Objectivity - Askari ama Jeshi hatakiwi kuonesha Na kuweka hisia zake pale anapokuwa Kwenye shughuli zake,bahati mbaya sana Askari huyu kaweka hisia Kwa kuhukumu,hakutakiwa kufanya hivyo.(Subjectivity).
3. Fairness - Askari anatakiwa Kutenda HAKI bila upendeleo.
4. Rule of Law - Katika kila anachofanya Askari Ni sharti afanye Kwa mujibu wa sheria Na siyo Kwa matakwa yake ama kadri anavyoona.
5. Human rights - Askari katika kutimiza wajibu wake anatakiwa kuhakikisha analinda Na kuheshimu HAKI za binadamu.
Wito wangu
Jeshi la Polisi Na Askari wake wajitenge Na mtego huu wa kuchukua upande, matokeo yake huwa hayana Afya Kwa ustawi na Amani ya nchi.
Hi video ni ile ya uchaguzi Mkuu 2020 nimeitumia hapa kutaka kusema kitu kuhusu hizi chaguzi
Unajua kwa kawaida kabisa ni wazi Majeshi yetu hayatakiwi kuchagua upande, majeshi yetu hayatakiwi kuonesha hisia zao wazi kisiasa.
Askari wetu n majeshi yetu kwa ujumla wanatakiwa kuzingatia mambo yafuatayo wakati huu wa uchaguzi ili uchaguzi uwe wa HAKI Na Amani.
1. Impartiality - Jeshi ama Askari hatakiwi kuchukua upande Na kuuweka wazi,Ni Hatari sana Kwa Askari kuuonesha umma Kuwa yupo upande gani,bahati mbaya Askari huyu kaonesha upande wake Ni upi (Partial)
2. Objectivity - Askari ama Jeshi hatakiwi kuonesha Na kuweka hisia zake pale anapokuwa Kwenye shughuli zake,bahati mbaya sana Askari huyu kaweka hisia Kwa kuhukumu,hakutakiwa kufanya hivyo.(Subjectivity).
3. Fairness - Askari anatakiwa Kutenda HAKI bila upendeleo.
4. Rule of Law - Katika kila anachofanya Askari Ni sharti afanye Kwa mujibu wa sheria Na siyo Kwa matakwa yake ama kadri anavyoona.
5. Human rights - Askari katika kutimiza wajibu wake anatakiwa kuhakikisha analinda Na kuheshimu HAKI za binadamu.
Wito wangu
Jeshi la Polisi Na Askari wake wajitenge Na mtego huu wa kuchukua upande, matokeo yake huwa hayana Afya Kwa ustawi na Amani ya nchi.