Vitu vya uongo tunavyoonyeshwa kwenye muvi za kizungu

Duuuh hii muvi sio ya kuangalia kama mambo yenyewe ndio hayo 😁
 

Kwenye muvi jambazi akishampiga star kabla hajammalizia, anaanza kumsimulia mpango wote ambao majambazi wamepanga na jinsi watakavyoutekeleza. Baada ya hapo star anapata nguvu na kumzidi jambazi kisha anamuua na anakua ameshajua kila kitu. Hapo unakuta eti huyo jambazi ni mafia na ameshawasumbua polisi miaka mingi 🤣🤣🤣🤣
 
Hizi nazo ni wale wale tu mtu anaruka kutoka chini hadi ghorofa ya pili au anatembea kwenye ukuta kama mjusi hapo kuna ukweli gani? Ila bora hizi kuliko za wahindi [emoji23][emoji23]
Hahahahaaa... Mkuu wahindi ndo waongo kinoma...yelewiii...
 
5.kuwasha gari hata baba yangu anaweza.anaunga moto halafu ana uunga ule wa starter.
 
Hii pia nimeiona sana. Yaani imefika mahali nikiona mwafrika kwenye muvi najua tu huyu atakufa mda si mrefu [emoji3]
Mkuu hii sio kweli mbona movie ya will smith nilimuona mpaka mwisho wala hakufa mniga yule
 
Eti adui kashafanikisha vizuri kumnyooshea bastola sterling lakini badala ya kumaliza mchezo ataanza maongezi hapo na tambo mpaka sterling akibetue kibastola chake na amuue halafu unakuta ni jambazi katili lenye matukio ya kutisha
 
Nishaiona ule jamaa anamwaga shaba anapiga mkono risas na mkono nao unafyatua risas
 
Mtabisha sn lkn huu ndio ukwel wazungu kabla hawajatunga movie yyote lazima kuna watu wakae chin watunhe stpr au wachukue real story wailete kwenye movie

Sasa hapo ndio huwa yanachukuliwa matukio meng ila kaa ukijua every myth has foundation in reality

Mfano kuna movie inaitwa medusa hii movie waweza kusema ni uongo mtupu lkn real story ilitokea miaka ya zaman na kuna mtu huko alikuwa anazichapa

Movie km spartcus jumong.wrong turn .titanic ni real stor ila zinaongezewa tu vionjo

Pia kuhusu swala la mtu mmoja kutandika kijiji kizima hii kitu ipo kwa mtu aliebobea karate kuna maeneo akikuchapa huinuki

Kupigana juu ya tren ni possible sema nyiny mliozoea kula chips kuku hamuwez wenzenu wanakula funza ili kukomaza misuli hata kitambaa kinaweza kukuchana km akikitumia mtu mwenye uzoefu na mambo ya karate

Bomu kuwa na alam hivo vitu vipo
 
Ukitaka movie ya ukweli angalia porn tu(x)
 
Hii pia nimeiona sana. Yaani imefika mahali nikiona mwafrika kwenye muvi najua tu huyu atakufa mda si mrefu [emoji3]
Movies za kibongo mtu anazikwa na Sanda anafufuka na jersey ya arsenal
Ha-ha-ha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…