Vituko kutoka kwenye Makanisa ya Kilokole -Tupia chako

Halafu huko Arusha ndio yamejaa makanisa ya ajabu ajabu kweli....itakuwa wameona waarusha wengi Ni manzwanzwa tu ndio maana machungaji mengi ya uongo yanakimbilia hukoo
Wapo kila mahali mkuu.

Kuna kijiji kimoja kule Machame, hawaruhusu kabisa mahema, kwasababu wanatapeli watu.
Wao wameweza kuyadhibiti kabisa.
 
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii mbona km chai mkuu
Inaweza isiwe chai mkuu.
Hukumbuki ile iliyotrend sana Ya Jamaa alipeleka mke wake aolewe na Mchungaji wake.
 
😁😁😁Umenikumbuka nilivyopewa madongo kanisa Moja hivi lipo maili moja mbele kidogo ya kiluvya.
 
Ukiwaambia ukweli utaambiwa unamkufuru Mungu , na vifungu kazaa vya “ Ole Wake .....” utasomewa
Msela aliyeachana na mke tulikuwa tunaishi eneo moja, yaani ndani ya compound moja.
Ni vituko kwa kweli na wanafanya hadi mikesha ya maombi na kufunga.
 

[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bahati Buku katalakiana na mumewe, kaanzisha kanisa Tabata Segerea, Chama
 
Siku asimame shekhe msikitini aseme kaoteshwa na mungu kwa hiyo kuna maji ya upako anauza kikombe Jero, huyo shekhe kama akitoka salama humo msikitini sijui,,,, lkn upande huu pili sijui kwanini mnaongopewa kizembe, yani masanja nae mchungaji achilia mbali yule wa kuitwa nabii frola😄
 
Na mwingine yuko hapo Kimara anajiita Musa huyo ni noma balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…