Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Bahati nae ana kanisa?Bahati Buku katalakiana na mumewe, kaanzisha kanisa Tabata Segerea, Chama
Halafu huko Arusha ndio yamejaa makanisa ya ajabu ajabu kweli....itakuwa wameona waarusha wengi Ni manzwanzwa tu ndio maana machungaji mengi ya uongo yanakimbilia hukoo
Tena kwa kiwango Cha juu tuu Mkuu.Huwa najiuliza hawa jsmaa huwa wanafanya hadi zile huduma sensitive? Mfano Ndoa au Maziko?
Na kuwatenga WENZAO pia! Ambao huwa ona eti Wana dhambi sana!😂😂😂Wanafungisha hadi ndoa?
Mbona shehe yahaya majini anauza vichupa vya maji ya baraka kutoka uarabuni.Siku asimame shekhe msikitini aseme kaoteshwa na mungu kwa hiyo kuna maji ya upako anauza kikombe Jero, huyo shekhe kama akitoka salama humo msikitini sijui,,,, lkn upande huu pili sijui kwanini mnaongopewa kizembe, yani masanja nae mchungaji achilia mbali yule wa kuitwa nabii frola😄
irudiwe irudiwe
kimeumanaBaba mmoja mkewe alikuwa anasali kanisa moja la kilokole ,ulokole ukamuingia kweli kweli yule mama,jumatatu hadi jumapili yeye ni kanisani akikosa kanisani anaenda nyumbani kwa mchungaji asubuhi anadamka anapika chakula cha kushinda nacho mpaka jioni muda ataokuwa kanisani,baba mwenye nyumba ile tabia ikamchomsha jumapili akaamka akaenda kanisani akawakuta wako kwenye maombi mchungaji yuko mbele,akamchukua mke wake mpaka mbele akawa anawagonganisha vichwa na mchungaji anawaambia eti "oaneni sasa"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Makanisa yote ni wapiga deal, sio walokole sio wakatoliki sio walutheri, wote ni wezi.Wapiga dili tu hao
Acha kujisahaulisha...Siku asimame shekhe msikitini aseme kaoteshwa na mungu kwa hiyo kuna maji ya upako anauza kikombe Jero, huyo shekhe kama akitoka salama humo msikitini sijui,,,, lkn upande huu pili sijui kwanini mnaongopewa kizembe, yani masanja nae mchungaji achilia mbali yule wa kuitwa nabii frola😄
...Kumbe walitalakiana na Mumewe? Mbona inakuwaga hivi kwa Waimbaji wetu walio wengi wa nyimbo za dini??Analo mkuu tena maeneo ys Tiptop hapo, anawaumini wa Jinsia zote.
[emoji23][emoji23][emoji23] zote kali.. Kinachoniacha hoi ni nabii mzinzi akilamatwa ugoni waumini wanamlinda na kumuombea eti ni vita!Wakuu, ni dhahiri kuwa kuna makanisa yanaibuka sasa kama uyoga. Sioni shida kuibuka kwa makanisa kila kukicha, kwasababu hata baa mpya zinaibuka kila siku.
Pamoja na yote, haya makanisa kuna baadhi yana vituko sana, yaani Mtumishi anaweza kuwa Mtume, Nabii au Mchungaji lakini mambo wanayofanya ni vituko na ajabu! Cha kushangaza bado waumini wapo.
Nianze mimi.
1. Hichi kituko kinaendelea kutokea kanisa moja Arusha, mtumishi kaacha familia Dar, kaenda kutumika Arusha kapachika muumini mimba, mke Kaenda Arusha, kulalamikia kanisa kuwa amefunga ndoa na huyo mtumishi, kituko Kanisa linamtetea Mtumishi kuwa wao hawakujua kama ameoa. Hivyo ataendelea kutoa huduma kanisani, can you imagine!!
2. Jamaa yangu huyu kaanzisha kanisa lake, kapata waumini wakutosha! Kaoa mke November, February mwaka unaofuata mke anaondoka na kila kitu, kwa madai mume wake ni mzinzi, shutuma zinafika kanisani, waumini wanaungana na mchungaji wao kukemea [emoji23][emoji23][emoji23]. hii ni Kilimanjaro.
3. Christina Shusho anaanzisha kanisa baada ya kutalakiana na Mume wake na ana waumini wakutosha. Ya kujifunza ni mengi hapa.
Tuendeleze vituko vingine....
Toa utapeli wako hapa.Nmegundua, wote waliochangia hili bandiko hawajasikiliza wala kuangakia Video iliyowekqa. Leo ndo nmeamini bando limepanda bei.
Kuna watu wakilisikiliza hiyo Video, watafuta Post zao. Wakurupukaji wanaitwa.
Hata mleta mada hajaaangalia Video yote. Ajabu
Dar ndio Ma mogul yamejazana huku.
1. Gwaji
2. Buldoza(Mwamposa)
3. Mzee wa Upako-mlevi mlevi huyu sikumbuki vizuri jina lake.