Sniper shooter
Senior Member
- Jan 3, 2016
- 178
- 128
Non sense!Uhenga sasa huo
Hahahaha niache banaImebid nikusake kwenye comment kwanza ili uone uwepo wanguuu
Umeamua kumwaibisha shetani...hongera sana utakiwa huru sasaUhenga sasa huo
Kuiba popote ni dhambi yenye uzito sawa na Watanzania 99.99 ni wezi tu sema twatofautiana mazingira, escrow, EPA, 10% ya mikataba, manunuzi kazini, ulanguzi wa kuongeza bei kwa madalali nkMmh!. Shame on U
Unajivunia kuiba zaka kanisani?!
Unakiri kuzidiwa nguvu Na ibilisi?
Ungetubia dhambi zako kuliko kuwapa mbinu vibaka nao wajaribu
Hata yeye ni mwizi tu kasoro tofauti ya mazingiraMshaanza kuhukumu, hajajivunia, amefanya confession, sasa nyie mnaojidai mna haki mmeanza kuhukumu, na yeye keshatubu, wewe unaanza kujotengenezea dhambi kwa kuhukumu, na mijitu kama nyie mnakuwa watenda dhambi kama kawaida..... hakuna aliyekamilika ila Mungu peke yake!
hahahahaaa id sijabadiliNipeee ubuyu basi walikwambiaje rafiki hahahahaha au umebadili id
Nko uku Kwa makonda ila ntakuja huko Kula wali wako wanazi na kuka niwekee kabisaHahahaha uko wapi kwanza uje kula wali nazi na kuku
Ntafrah mwenyej WangNipo tayar kukupokeaaaaa
Kiingereza cha mama ntilieStay tune