Vituko Maishani na Demiss: Mbinu tuliyotumia kuiba sadaka Kanisani

Nashukuru kwa kusema ukweli kwamba huuu mchezo upo sana ndo maana yameletwa masanduku ya Chuma

Ila hapo kwenye kukodoa macho nimecheka sana
 
Umeshaambiwa akiwa form 3 mwaka 201 ... Halafu unamuuliza zile not I za zamani tena???Jamani mbona unataka kumzeesha mtoto wa watu??yaani hapo nashindwa tu kumalizia kuwa 2015 akiwa form 3.
Hahahahaha aisee Demiss kuanzia kesho naomba shikamoo yangu.
Shikamoo kaka jaman weeeeh usinizeeshe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…