KING 360
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,002
- 5,192
Basi tusaidie mkuu [emoji23] [emoji23] huo Uzi nahisi unaitaji mda kidogoHahah mbona mnategeana jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi tusaidie mkuu [emoji23] [emoji23] huo Uzi nahisi unaitaji mda kidogoHahah mbona mnategeana jamani
Imebidi nitoke nilipokuwa watu wasije dhani nimechizika siku yangu imeenda vizuri sana leoHahaha acha kabisa yan leo nmecheka hakika[emoji23] [emoji23] nlikua namheshim san
na tena huyo ambae uzi wake umeungwa na wangu haitwi impog anaitwa SHITUGO haya wew mbea Palantir njoo huku
Acha wogaHehehehe hii JF ina vituko sana kwakweli dah. I will have to zero my circle, ntaendelea kuwajua wale ambao nimeshawajua.
Muhimu kuwa makini aise sio woga.Acha woga
Asante sanaPole sana Mama.
Unaogopa nini sasa wakati ni vituko vya humu tu sio vya nje.Muhimu kuwa makini aise sio woga.
kaa mbali kabisa jf ni sayari ingine maanHehehehe hii JF ina vituko sana kwakweli dah. I will have to zero my circle, ntaendelea kuwajua wale ambao nimeshawajua.
kaa mbali kabisa jf ni sayari ingine maan
[emoji23] [emoji23] [emoji23]kama nawaona walivyojimaliza maskin wee ndoa naiheshimiwe loohHuoni ile angle mimi naona. Imagine kitu alichokifanya Hornet, it wasn't fair coz I believe kuna watu walienda kujieleza kwake and after that ni kama anakuwa kawavua nguo.
Ndo mjifunze kucontrol njaa zenu. Mbona gilesi nae kuna wanaume lazima walitaka kushika kalio mtetemo.Huoni ile angle mimi naona. Imagine kitu alichokifanya Hornet, it wasn't fair coz I believe kuna watu walienda kujieleza kwake and after that ni kama anakuwa kawavua nguo.
Akyanani kumbe walimwanzishia hadi uzi wanamsifia mzee eti kaumbika balaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila jf banakaa mbali kabisa jf ni sayari ingine maan
Uko wapi huo uzi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akyanani kumbe walimwanzishia hadi uzi wanamsifia mzee eti kaumbika balaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila jf bana
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Akyanani kumbe walimwanzishia hadi uzi wanamsifia mzee eti kaumbika balaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila jf bana
Speaking of njaa 😀😀😀😀Ndo mjifunze kucontrol njaa zenu. Mbona gilesi nae kuna wanaume lazima walitaka kushika kalio mtetemo.
Sema tu pm za wanaotafuta waume/wake wengine wanafanya mchezo tu.