Vituko nilivyowahi kuviona kwenye sahili (interviews) vya kukatisha tamaa

Hapo kwenye uraia tu ndio ujinga wake. Hana faida kwa nchi, amepunguza vipaji vya nchi; bora tu ange dhulumiwa.
 
Haya mauza uza ya hivi kwenye interviews huwa mara nyingi hayawakuti waliosoma Engineering, MD, Pharmacy na sciences nyingine, balaa liko kwa ngwini na biashara.
Nao sio muda itakuwa itakuwa kama biashara na sheria tu.
 
Duu,aisee.
 
Inauma sana,kuna haja ya kubuni mfumo wa utoaji haki kwa wasahiliwa,japo sio rahisi.
 
Inauma sana mkuu.
 
Hili nalo ni neno,kuna huo uhitaji mapema sana ili kuokoa kizazi.
 
Daa!Mungu alikuwa pamoja naye,hatakuja amsahau huyo mzungu,wazungu pamoja na madhaifu yao lakini wapo fair sana na hawana kona kona kama waswahili.
 
Hhhhh nimecheka sana
 
Bongo bila pesa au connection utalia na kusaga meno,labda iwe bahati yako tu.
 
Iyo marine and nautical engineer kwa hapa tz ni chuo kipi wanatoa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…