Vituko nilivyowahi kuviona kwenye sahili (interviews) vya kukatisha tamaa

Kuna interview tulifanya pale Tambaza Sec. Tuli itwa interview na utumishi watu 98. B4 kuingia ilipaswa tukaguliwe vyeti na tuna saini mbele ya majina yetu.
Mm kwenda kusaini nika kuta tume fika 105. Daah. Bongo bhana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Watu hawakuitwa interview na Utumishi. Ila wame andika majina kwa mkono na kufanya Interview.
Matokeo ya Interview namuachia Haji Manara atangaze.
 
Mmoja wa delinquent member wa JF ni wewe, soma tena uelewe wapi nimeandika hayo uliyoyaandika?,mpumbavu na I can't help labda ungekua mjinga ningekuelewesha,uchunguzi wa tigo ni mmoja ya vigezo kabla hujapita kuwa jet fighter pilot cadet
Humu jf huwa kuna watu ni mashetani anataka akukere ili afurahi

Malezi mabovu waliyopata kutoka kwa mzazi wa hovyo ndo tatzo
 
Siji kuomba kazi taasisi binafsi Mimi nakomaa na ajila portal ukitaka kupoteza mda wako na pesa omba hizi taasisi.

Arusha city college mungu anawaona choma nauli mbeya to arusha na maladhi juu ila ata feed back amna dah maisha aya kama laki mbili imekatika. Mungu mwm ipo siku yangu inakuja.
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Katika life langu nimefanya sahili tatu tu na zote za kawaida tu ila moja nilienda kupiga usahili kampuni moja ya wa Israel, niliulizwa tu unajua nn kuhusu hiyo ishu niliyoenda kupga usahili hakuna cha umesoma wapi wala umezaliwa lini au leta sijui cv yako
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Niliwahi kuhudhuria interview moja miaka ya nyuma. Sasa nilipofika eneo la interview nilibahatika kubaini ya kwamba kuna watu tayari walishachaguliwa.

Sisi kumbe ilikuwa ni danganya toto. Nilishikwa na hasira sana.
Zamu yangu ilipofika nikaitwa kwenye panel kwa ajili ya kuulizwa maswali.

Baada ya utambulisho niliwachana live wale panelist. Niliwaambia hv nakumbuka "Samahani ndugu zangu nimekuja kimakosa hapa sikupaswa kuwepo kwasababu tayari mna watu wenu mifukoni" kisha nikatoka kwa speed. Kugeuka nyuma nikaona kuna karani amekaza mwendo kunifuata akiniita nikakaza mwendo nikapotelea kusikojilikana mpaka leo
 

ulifanya vizuri na ulipaswa kuwaambia live A,B,D zote waelewe ujinga wanaoufanya ni ujinga tu kama maujinga mengine.
 
Unaita mamia ya watu kwenye interview, watoto wa wenzio, huku ukijua kabisa ni formality tu mnafanya, ni dhambi kubwa sana.

Hizi kazi ambazo sio proffesional kiviile na zinahitaji hasa graduates au wenye uzoefu kidogo sana, huhitaji kuleta ujanjaujanja baadala yake wapime watu chukua wale wenye uwezo.
 
Hahahah! nimekumbuka kuna sehemu nilikuwa nafanya kazi kama "project coordinator" huu mradi ulikuwa unadhaminiwa na waitaliano....sasa kukawa kunahitajika mtu wa kufanya kazi ya kutoa elimu ya mazingira shule za msingi. Wale waitalianowakasema kuna jamaa walikuwa wanafanya nae kazi hapo kabla ila kwa muda huo alikuwa Dar aifundisha shule ya msingi, so walimemuita ili aje kufanya kazi hiyo, ila jamaa alikuwa anazingua kila akipigiwa simu anasema anakuja ila hatokei, basi wakaniomba nitangaza nafasi hiyo! basi ile nafasi nikaitangaza na siku ya Interview yule jamaa aliyekuwa akipigiwa simu mwanzo akatokea ( hiyo ni baada ya kumpigia tena simu). Sasa kumbe wakati wanasubiri kuingia kwenye chumba cha ushahili, huyu jamaa alikuwa akiwaambia wenzie kuwa ile kazi ni yake maana ameitwa kutoka Dar (walikuwa watu kama nane hivi), bahati mbaya siku ile usahili uliahirishwa! ila ukaendelea siku iliyofuata, sasa kutokana na tambao za yule jamaa siku ya pili walitokea watu wanne tu! Baada ya usahili aliajiriwa mtu mwingine na sio yule tuliyemuita kwa kumpigia simu! Kilichofuata sasa jamaa alinipigia simu na kuniwakia kinoma eti tumempotezea muda wake na nauli na kama vipi nimrudishie nauli yake! Mimi nilimmuliza tu kuwa kwani tulivyokupigia simu, tulikuambia tunakuja kukuajiri au kufanya usahili? jamaa kasema mlisema kuja kufanya usahili...nikamwambia basi umeharibu mwenyewe.....jamaa alinitukana na kukata simu!
 
Kaka yani umeenda kufanya interview ya public relations halafu kabla huja ingia kwenye oral uambiwe pasheni misuli kidogo kisha mrudi halafu wakati wakurudi ghafla wasaili wanasema walio rudi KWANZA ndio wameshinda usaili hiyo unaita fair?
Huo fair kabisa mkuu,kuliko mkimbie afu wengine wako ndani wametulia ndo wanapata kazi
 
Basi umekosea. Haukuwa ni usahili bali ya uswahili
 
Kizazi cha vijana cha sasa ni magoigoi wala siwaonei huruma. Mijadala yao yote ni ''jinsi ya kula tunda kimasihara'' au Yanga na Simba. Kwa nini hawaongozi kudai mabadiliko ya mfumo na serikali kuwajibika. Ndiyo maana hata serikali inawadharau na kuwaita kwenye interview eg watu elfu tano wakati nafasi zinazotakiwa ni mbili tu.
 
Wanajua kabisa mi-tanzania ni kama mi-nyumbu haiwezi kufanya chochote ndiyo maana hawajifichi. Trust me. Nchi ambayo vijana wanajitambua hakuna anayethubutu kufanya hivi. Patachimbika!
 
Umenena kweli mkuu na wakichezewa kule wanakimbilia huku kulalama
 
Mkuu naomba kupingana na wewe. 1. Kwa nini unadhani wafanyakazi wa KCB hawakuwa na haki ya kujaribu ku-apply? Kwani vigezo ni kuwa walitaka watu nje ya KCB tu? Hapa nadhani walikuwa sawa. 2. Pengine hiyo written Interview kuna waliofanya vizuri kushinda wewe. Unajua unaweza kudhani ulifanya vizuri sana kumbe kuna waliofanya vizuri zaidi. Uliona masahihisho ya mitihani ya wote ili uone wengine walivyojibu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…