Vituko nilivyowahi kuviona kwenye sahili (interviews) vya kukatisha tamaa

Sasa kula kimsasihara na ukosefu wa ajira vina uhusiano gani braza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kazi ngumu sana,alitaka kimasihala ukakwepa na huenda ndio tabia yake.
 
Point ni kwamba Liziki ya mtu hakuna wakuizuwia Mwenyezi mungu anaipitisha popote kwa yeyote aidha awe ameridhia au hajataka. Ko ilikuwa imeandikwa hivyo hata ningefanyaje dogo angepita tu
Naunga mkono hoja
 
Mungu ni mwema mkuu,ipo siku utapata ni marufuku kukata tamaa.
 
๐Ÿคฃ๐ŸคฃWaliozidi hao ndio walikuwa wenye kazi.
 
๐Ÿคฃ๐ŸคฃWaliozidi hao ndio walikuwa wenye kazi.
 
Wenzetu hawapindishi mambo kama waswahili,anakuchekea kumbe moyoni anakukejeri.
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃWatu mnatuvunja mbavu,kwahiyo karani alitaka akutie nguvuni?.๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Inahuzunisha sana,tena usikute hata nauli wameunga unga tu.
 
Huyo bahati alichezea mwenyewe.
 
Hiyo mikozi ya kibabe sanaa. Masikin akisoma hizi bado atasota tu.. Labda awe genius
 
Allah ukuzidishie kuepukana na maovu
 
Aisee huenda usemacho kinaukweli kiasi.
 
Pole sana kilichobaki ni kusubiri teuzi tu maana hakuna namna ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ