Vituko nilivyowahi kuviona kwenye sahili (interviews) vya kukatisha tamaa

Ina maana hukuwa unaridhika na kazi ulizokuwa unapata hivyo hata ukifaulu interview ya kwanza una-apply tena kazi nyingine, na nyingine?
 
Hakuna raha kama unaenda kwenye saili unajua umepita ila unaamua kujichanganya na walala hoi mnakazana kupeana possible huku ukisubiri zamu yako ifike uende hakuna wanachojua kinachoendelea
Huwezi kuniamini nitakachosema lakini ndiyo ukweli. Hata nikiwa na shida ya kazi namna gani bado kwenye mazingira kama haya wakati wa kusubiri interview nitakuwa najisikia vibaya sana kuona wenzangu anavyohangaika na kitu ambacho ni hewa. Kuna interview fulani nilienda nilipoangalia wahudhuriaji nikapiga story ya msahiliwa mmoja nikaonahuruma kweli kweli. Jamaa hata shati alilovaa aliazima kwa sababu hakuwa na shati lililo kwenye hali nzuri. Viatu maskini vilikuwa vimeisha lakini alijitahidi sana kuvingarisha kwa kiwi, da. Kweli dunia ni kubwa.
 
Vijana WA sasa hivi wako radhi kuandamana kudai haki za zali au diamond na sio kudai haki zao za Ajira.


Sasa hivi huwa hatasiumii kuona kijana WA kitanzania anaumia

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Vijana WA sasa hivi wako radhi kuandamana kudai haki za zali au diamond na sio kudai haki zao za Ajira.


Sasa hivi huwa hatasiumii kuona kijana WA kitanzania anaumia

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Nakubaliana na wewe 100%. Ila kadiri siku zinavyosonga mbele ndiyo mtaani kunazidi kufurika na itafikia hatua watajielewa.
 
Una umri juu ya miaka 55 mzee wangu?
 
Mwanangu kwa uungwana ulioufanya utalipwa pakubwa na hutoamini. Hongera sana kwa kuwa na moyo wa ubinadamu.
 
So, wewe siyo mlala hoi?

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…