macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Ina maana hukuwa unaridhika na kazi ulizokuwa unapata hivyo hata ukifaulu interview ya kwanza una-apply tena kazi nyingine, na nyingine?Mimi sina cv ,sina sponsor ila namshukuru mwenyezi mungu yaani kila interview niliyowahi kufanya nilichaguliwa...
Nilishafanya interview kama tatu na kuna baadhi ya interview sikuwa na sifa kabisa ila inatokea tu wamenipitisha.
Sina mengi zaidi ya kumshukuru sana mungu muweza wa yote.
Huwezi kuniamini nitakachosema lakini ndiyo ukweli. Hata nikiwa na shida ya kazi namna gani bado kwenye mazingira kama haya wakati wa kusubiri interview nitakuwa najisikia vibaya sana kuona wenzangu anavyohangaika na kitu ambacho ni hewa. Kuna interview fulani nilienda nilipoangalia wahudhuriaji nikapiga story ya msahiliwa mmoja nikaonahuruma kweli kweli. Jamaa hata shati alilovaa aliazima kwa sababu hakuwa na shati lililo kwenye hali nzuri. Viatu maskini vilikuwa vimeisha lakini alijitahidi sana kuvingarisha kwa kiwi, da. Kweli dunia ni kubwa.Hakuna raha kama unaenda kwenye saili unajua umepita ila unaamua kujichanganya na walala hoi mnakazana kupeana possible huku ukisubiri zamu yako ifike uende hakuna wanachojua kinachoendelea
Vijana WA sasa hivi wako radhi kuandamana kudai haki za zali au diamond na sio kudai haki zao za Ajira.Kizazi cha vijana cha sasa ni magoigoi wala siwaonei huruma. Mijadala yao yote ni ''jinsi ya kula tunda kimasihara'' au Yanga na Simba. Kwa nini hawaongozi kudai mabadiliko ya mfumo na serikali kuwajibika. Ndiyo maana hata serikali inawadharau na kuwaita kwenye interview eg watu elfu tano wakati nafasi zinazotakiwa ni mbili tu.
Itakuwa KAZI ya mtandao WA tigo maana nasikia Vifurushi vyao ni cheaperPoleni sana, hayo mambo kweli yapo...
Mimi binafsi kwenye interview za kazi hua siulizwagi chochote na kazi napata na siendi...
Nakubaliana na wewe 100%. Ila kadiri siku zinavyosonga mbele ndiyo mtaani kunazidi kufurika na itafikia hatua watajielewa.Vijana WA sasa hivi wako radhi kuandamana kudai haki za zali au diamond na sio kudai haki zao za Ajira.
Sasa hivi huwa hatasiumii kuona kijana WA kitanzania anaumia
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Acha wateseke kila MTU avune alichopandaNakubaliana na wewe 100%. Ila kadiri siku zinavyosonga mbele ndiyo mtaani kunazidi kufurika na itafikia hatua watajielewa.
kuandaliwa mkuuUshatembelea mashuleni vijana wana uwezo wa kusoma hzo course weng wanataka arts na biashara matokeo yake nn...
Una umri juu ya miaka 55 mzee wangu?Pilot
Aircraft engineer
Marine and nautical engineer
Drilling Engineer
Well completion engineer
Fishing engineer
Mining Engineer
Robotic and Automation engineer.
Cyber security expert.
Software developer.
Artificial Intelligence expert.
Reliability and Mechanical Engineer.
ROV operator.
Automation engineer.
Instrumentatio engineer
Electric Engineer.
Mechanical Engineer.
Civil Engineer
nk, nk, nk.
Taifa halitoi direction kwa vijana wasome nini, matokeo yake vijana huishia kutia huruma na kunyenyekea wapumbavu.
Una umri juu ya miaka 55 mzee wangu?
Mwanangu kwa uungwana ulioufanya utalipwa pakubwa na hutoamini. Hongera sana kwa kuwa na moyo wa ubinadamu.2008 kuna jamaa tulikutana kwenye usaili wa JKT . Dogo kwa muonekano alitokea familia flani ivi duni afu za kidini sana mana alikuwa mnyenyekevu mpaka anaboa . Mimi tayari uhakika wa kupita ulikuwepo japo sikupenda kuwa mjeshi hivyo nilifata maelekezo tu.
Basi dogo umefika muda wakuhojiwa akatumwa sigara ile anarudi anaambiwa kachelewa dogo alilia mpaka makamasi kumbe ashaliwa pesa kibao toka wilayani then mkoani anakaziwa kijinga afu bosi mmoja akamwambia amepunguwa urefu fut3 wakati toka mwanzo ashapimwa na akapita. Dah! Ile hali ilinigusa sana nikajaribu kumshauri na kumpa moyo ndo akanambia kuwa mama yake kawekeza Sana ili ye aende jeshi mpaka kauza baadhi ya vitu vyake kuweka mazingira sawa. Basi nilichokifanya nikaongea na wakubwa walotamani niende jeshi kuwa me sivutiwi kwenda jeshi ila nafasi yangu kuna mtoto wamsaidie, basi wakanielewa wakampitisha ,aisee dogo hajaniangusha kapambana mpaka akapata nafasi na leo ni miongoni mwa connection zangu zinazonifanya nivimbe mjini apa.
My point : kama ipo ipo tu msikate tamaa ukiona umekosa ujue sio liziki yako ila kama ni liziki yako itakuja kwa njia yyt ile
Zaidi ya story za hapa na pale...Nikawaida haya mambo kama unatokea kwenye elite family
Hahahah sawa kabisa, nipe mchongo mzee maana una upepo nao mabossZaidi ya story za hapa na pale...
Tatizo watu ni wabishi sana.Poleni sana, hayo mambo kweli yapo...
Mimi binafsi kwenye interview za kazi hua siulizwagi chochote na kazi napata na siendi...
Atasota kivipi?Hiyo mikozi ya kibabe sanaa. Masikin akisoma hizi bado atasota tu.. Labda awe genius
So wewe siyo mlala hoi kama wao?Hakuna raha kama unaenda kwenye saili unajua umepita ila unaamua kujichanganya na walala hoi mnakazana kupeana possible huku ukisubiri zamu yako ifike uende hakuna wanachojua kinachoendelea
Elite family ni ipi?Nikawaida haya mambo kama unatokea kwenye elite family
So, wewe siyo mlala hoi?Huwezi kuniamini nitakachosema lakini ndiyo ukweli. Hata nikiwa na shida ya kazi namna gani bado kwenye mazingira kama haya wakati wa kusubiri interview nitakuwa najisikia vibaya sana kuona wenzangu anavyohangaika na kitu ambacho ni hewa. Kuna interview fulani nilienda nilipoangalia wahudhuriaji nikapiga story ya msahiliwa mmoja nikaonahuruma kweli kweli. Jamaa hata shati alilovaa aliazima kwa sababu hakuwa na shati lililo kwenye hali nzuri. Viatu maskini vilikuwa vimeisha lakini alijitahidi sana kuvingarisha kwa kiwi, da. Kweli dunia ni kubwa.
[emoji23]Itakuwa KAZI ya mtandao WA tigo maana nasikia Vifurushi vyao ni cheaper
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ahsante kwa ushauri, na huruma yako ya dhati kwa vijana wa Tanzania.Yes, nimevuka huko.