Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Hahahahaahahahahahahahahahahaha daha nimecheka kwa sauti huyu jamaa alikuwa anaenda pale kwa wahaya mbele ya hospital bas aikuwa na zigo lake la kudumu....yaani alikuwa anakuja maskani hapa kona kules club tunapiga story mpaka mida ya 7 hivi sisi tunaingia kulala yeye ananyooka na road la mwananyamala hosp kumbe alikuwa anaenda kwa muhaya wake inasemekana kuna siku alienda akapiga show ya uhakika mpaka muhaya akampa ofa kuwa awe anakuja usiku kulala amsuuze baada ya kuguswaguswa mchana kutwa na hii ilikuwa free entry kwake ila kwanza lazma apitie kamanyola kuvutia hisia
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hio stor nilisikia mkuu na ile ya mjomba bojo kwenda hapo kwa wahaya mjomba bojo alikuwa mansahllah BIG DICK balaa nasikia mama alipiga " eeh iwe bojoo ili lote unataka kuliweka wapi" mjomba bojo alipewa chake maana malipo yalikuwa mwanzo
 
Mm hilo dogo, kuna mahala wanasimlia wakora kwamba kuna mshikaki wa govi.yaa I tohara ikifanyika zile govi huchomwa na mafuta halafu huuzwa kama vipande vya utumbo wa kuku na wa mbuzi. Jiangalie usikutane na vipande hivyo.
 
Mkuu hilo gogo ukikalia ukanyanyuka mwenzako anakimbilia nafasi, na ukirudi unalianzisha unataka sehemu yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inaonyesha mlikua mnafaidi sana
 
Daaah umenikumbusha mbali sana kk
 
Lol. Nilikua nakaa mitaa ya kwa manjunju. Siku moja kama saa sita nimekaa nje naongea na mtu ikapita daladala sijui yule mtu alijificha pale kwenye ule mti mkubwa makaburini maana nilishtuka anaingiza mkono amuibie simu dada alikua kwenye daladala.
 
Officially wezi huanzia pale,wale vijana kama wana sumaku.
 

Haha!!, unawakuta wamasai wamejikunyata pale nje wanauza sigara na vipipi pipi, usiku ni mimi na ID yngu tu, nimekula sana pesa za kamata kamata mitaa ile.

Hivi adi leo wapo?
 
Kwahy ulivyojichunguza ukakuta nn?? Hitimishaa basii!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Ukikaa na abiria mwema anakwambia kuwa "weka vizur simu yako hapa pana wezi wa simu"

Lakini kuna abiria anasubir upokonywe ndio anakwambia "mie nilijua tu utaibiwa hapa pabaya sana,nimekuona mda mrefu unaweka simu hadharani,hapa pabaya sana hapa"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahahahaaaa
 
Reactions: SDG
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…