Ubavu
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 2,790
- 3,263
Maeneo ya Caba cabana..!Mkuu Mshana Jr. Hapo namba 3 kwenye matapeli hapooooo. Koma koma na mwananyamala kisiwani kuna matapeli wa kufa MTU,, jina LA mjini wanajulikana kama wabeshi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maeneo ya Caba cabana..!Mkuu Mshana Jr. Hapo namba 3 kwenye matapeli hapooooo. Koma koma na mwananyamala kisiwani kuna matapeli wa kufa MTU,, jina LA mjini wanajulikana kama wabeshi
HUYO ALIKUWEKEA MADAWA NADHANI SIO MEMBER WA JF! ANGEJUA UNASIFIKA KWA NINI HUMU! ANGETUBU!Zimebaki story... Mk Grand nilishawahi kuwekewa madawa ya kulevya kwenye ginyagi ila nikasurvive
MaaaweeeeeeeeMzee Mbilinga huyo mkuu
Wananchi wa kwa kopa ni mazombie
MaaaweeeeeeeeMzee Mbilinga huyo mkuu
Wananchi wa kwa kopa ni mazombie
MaaaweeeeeeeeMzee Mbilinga huyo mkuu
Wananchi wa kwa kopa ni mazombie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.
Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.
Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
Bedui alikuwa anapiga sana draft. Anafahamika kwenye vijiwe vyote vya draft kuanzia Mwananyamala, Temeke, Chang'ombe mpaka Keko.Kile kijiwe kuna akina Bedui, Beka, kuna mzee mmoja anafanana na Mizengo Pinda, mzee Jose, Kobelo sijui, kuna mzee mmoja mpemba ana matusi sana nk
Niko naandika thread kukuhusu yenye udadavuzi murua kukuhusu,ulivyosaidia wengi(nikiwemo),na kasoro chache kidogo, na ukweli nilioubaini.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndeka ameshafariki bana toka mwaka 2012Me nimezaliwa A nimesoma mwananyamala B ile ya mwalimu Ndeka ninachokumbuka Ni mishkaki ile ya mia na kingine hapo minazini kuna nyumba pembeni inauza unga toka nipo mdogo mpaka leo halaf mbele kidogo kama unataka kwenda sokoni kushoto kulikua kuna nyumba imejaa mashoga wakina zungu yaan tukipita tukitoka shule tunawashangaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nikiwa maeneo fulani nikaitwa baa kufika nikaagiza soda baada ya muda washkaji wakajua natokea mwananyamala, wakaniambia umeishi Mwananyamala halafu haunywi pombe?
Nikajibu ndiyo.
Wala hauvuti sigara wala bangi?
Nikajibu ndiyo.
Mshkaji akamalizia 'Ms.nge unajifanyisha siyo kweli'
Nilisikia mwalimu ndeka jaman Mungu ampumzishe mahali pema peponiNdeka ameshafariki bana toka mwaka 2012
Kete moja? Yule jamaa alikua anakutolea hata kete nne.Bedui alikuwa anapiga sana draft. Anafahamika kwenye vijiwe vyote vya draft kuanzia Mwananyamala, Temeke, Chang'ombe mpaka Keko.
Alikuja kwenye kijiwe chetu siku moja akatupiga sana, halafu alivyo mjinga akasema game inayofuata anatoa kete moja. Mjinga sana Bedui
Chama la wana. Mwananyamala ina wadau wengi sana apa jamii forum. Haha haha unanikumbusha kuna mshkaji alikuwa anakaa mwananyamala alafu akawa anawazuga masela wake pale Makongo Secondary kwamba anakaa kijitonyama, sasa siku iyo tunatoka pindi la tuition pale mapambano kalibia na Nakiette pharmacy wakatokea makonda wa daladala wa kitaa kwao na anko yake teja pale mwenge akaanza kumuita ankoo chukua izi kandambili peleka apo mwananyamala nyumbani sasa washkaji zake ambao walikuwa wakishua walicheka mbaya kwamba jamaaa ana anko yake TEJANitakuwa nakufahamu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]Mkuu hilo gogo ukikalia ukanyanyuka mwenzako anakimbilia nafasi, na ukirudi unalianzisha unataka sehemu yako.
Mkuu hapo hakuna usalama kwenye marindaNa ww pia utakuwa wa Mwananyamala....unacheka mpaka unajamba?