Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.

Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.

Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
Nacheka kama mwehu humu dalaldalani
 
Kile kijiwe kuna akina Bedui, Beka, kuna mzee mmoja anafanana na Mizengo Pinda, mzee Jose, Kobelo sijui, kuna mzee mmoja mpemba ana matusi sana nk
Bedui alikuwa anapiga sana draft. Anafahamika kwenye vijiwe vyote vya draft kuanzia Mwananyamala, Temeke, Chang'ombe mpaka Keko.

Alikuja kwenye kijiwe chetu siku moja akatupiga sana, halafu alivyo mjinga akasema game inayofuata anatoa kete moja. Mjinga sana Bedui
 
Me nimezaliwa A nimesoma mwananyamala B ile ya mwalimu Ndeka ninachokumbuka Ni mishkaki ile ya mia na kingine hapo minazini kuna nyumba pembeni inauza unga toka nipo mdogo mpaka leo halaf mbele kidogo kama unataka kwenda sokoni kushoto kulikua kuna nyumba imejaa mashoga wakina zungu yaan tukipita tukitoka shule tunawashangaa
Ndeka ameshafariki bana toka mwaka 2012
 
Nikiwa maeneo fulani nikaitwa baa kufika nikaagiza soda baada ya muda washkaji wakajua natokea mwananyamala, wakaniambia umeishi Mwananyamala halafu haunywi pombe?

Nikajibu ndiyo.

Wala hauvuti sigara wala bangi?

Nikajibu ndiyo.

Mshkaji akamalizia 'Ms.nge unajifanyisha siyo kweli'
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Pale maeneo ya msufini palikuwa na uwanja mkubwa sana unatumika ktk maswala mbali mbali km siasa, maulid ( madras)...jioni unakuta kuna cha ndimu gemu za ligi ya mbuzi unakuta vibinti micharuko na wakina mama na watoto mgongoni unasikia "usiniumizie uyoooo" hizo ligi wanacheza watu na ndevu zao ila mpira wa cha ndimu (sio gozi) hapa ndio alipotokea bondia CHEKA alikuwa golikipa kipaji chake cha ngumu kilikuja kuoneka kinondoni mahakamani(kambangwa) kuna kitu kinaitwa MTU BEE....gemu zikiisha huo uwanja unageuka sehem ya biashara samaki, vitumbua, chai n.k....biashara zikimalizia wanaingia wazee wa kazi NGETA hapo kuna kila aina ya wizi usije kukatisha eneo ilo msufini kuanzia saa tano usku UMEKWISHA
 
Bedui alikuwa anapiga sana draft. Anafahamika kwenye vijiwe vyote vya draft kuanzia Mwananyamala, Temeke, Chang'ombe mpaka Keko.

Alikuja kwenye kijiwe chetu siku moja akatupiga sana, halafu alivyo mjinga akasema game inayofuata anatoa kete moja. Mjinga sana Bedui
Kete moja? Yule jamaa alikua anakutolea hata kete nne.

Mwenzake Mangolele ndiyo alikua ametengeneza draft la ngozi anatembea nalo yeye moto mnauwasha popote.
 
Niko naandika thread kukuhusu yenye udadavuzi murua kukuhusu,ulivyosaidia wengi(nikiwemo),na kasoro chache kidogo, na ukweli nilioubaini.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Nitakuwa nakufahamu
Chama la wana. Mwananyamala ina wadau wengi sana apa jamii forum. Haha haha unanikumbusha kuna mshkaji alikuwa anakaa mwananyamala alafu akawa anawazuga masela wake pale Makongo Secondary kwamba anakaa kijitonyama, sasa siku iyo tunatoka pindi la tuition pale mapambano kalibia na Nakiette pharmacy wakatokea makonda wa daladala wa kitaa kwao na anko yake teja pale mwenge akaanza kumuita ankoo chukua izi kandambili peleka apo mwananyamala nyumbani sasa washkaji zake ambao walikuwa wakishua walicheka mbaya kwamba jamaaa ana anko yake TEJA
 
Back
Top Bottom