ndukulusudicho
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 501
- 768
Hebu jiangalie we Dogo acha ufalaNa ww pia utakuwa wa Mwananyamala....unacheka mpaka unajamba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu jiangalie we Dogo acha ufalaNa ww pia utakuwa wa Mwananyamala....unacheka mpaka unajamba?
Alioa NorahHuyu matunge alikuwa mtu mkubwa ee?
Niliwahi ona ofisi yake mkoani shy
Ila sometime alikuwa anashinda kwa maneno. Ana maneno ya karaha sana.Kete moja? Yule jamaa alikua anakutolea hata kete nne.
Mwenzake Mangolele ndiyo alikua ametengeneza draft la ngozi anatembea nalo yeye moto mnauwasha popote.
Same to me mkuuMe nimezaliwa A nimesoma mwananyamala B ile ya mwalimu Ndeka ninachokumbuka Ni mishkaki ile ya mia na kingine hapo minazini kuna nyumba pembeni inauza unga toka nipo mdogo mpaka leo halaf mbele kidogo kama unataka kwenda sokoni kushoto kulikua kuna nyumba imejaa mashoga wakina zungu yaan tukipita tukitoka shule tunawashangaa
AahahahahChama la wana. Mwananyamala ina wadau wengi sana apa jamii forum. Haha haha unanikumbusha kuna mshkaji alikuwa anakaa mwananyamala alafu akawa anawazuga masela wake pale Makongo Secondary kwamba anakaa kijitonyama, sasa siku iyo tunatoka pindi la tuition pale mapambano kalibia na Nakiette pharmacy wakatokea makonda wa daladala wa kitaa kwao na anko yake teja pale mwenge akaanza kumuita ankoo chukua izi kandambili peleka apo mwananyamala nyumbani sasa washkaji zake ambao walikuwa wakishua walicheka mbaya kwamba jamaaa ana anko yake TEJA
Namkumbuka sanaaaaaa jamani daaahUnamkumbuka yule mzee aliyekuwa anauza chipsi A mpaka anakesha sasa hivi marehemu mzee sewando chipsi zake tamu
He he usikute tunajuana kuna mdada tulisoma nae alifariki mwaka jana alikua anakaa huko msisiri Amina ridhiwani masikiniSame to me mkuu
Nimezaliwa msisiri nimesoma mwananyamala b primary na kino sec yaani mwananyamala ni kitaa changu haswaaaaaa
Chipsi za mia mbili rundooo daah utoto rahaNamkumbuka sanaaaaaa jamani daaah
Kopa ground hii chaukucha area wazee wa kuchoma
Wacheza draft 80% wana maneno ya shombo. Na hiyo ni Tanzania nzima nafikiri, nimezunguka mikoa minne na wacheza draft wote wana maneno ya shomboIla sometime alikuwa anashinda kwa maneno. Ana maneno ya karaha sana.
Kuna Mzee wetu mmoja tulikuwa tunamuaminia sana halafu akapigwa. Fikiria wengine kisaikolojia tuliathirika kiasi gani!
Kumbe wanakukimbiza Mkuu...ongeza spidi kdgNitarudi mkuu....ngoja tukimbizane na TRA
Utamu wake vipi?Daahh nshalishwa nyama ya mbwa mwananyamala nikijua mbuzi
Mkuu hiyo ni kweli kabisa mie niliwahi kuishi mwananyamala hilo gogo lilikuwepo kwa mzee mmoja anaitwa mzee kindekileJamani chumvi punguzeni kidogo mbavu zetu zipone
[emoji23] [emoji23] daily lazima tukimbizane mkuu ndio sehem ya maisha ila wanatubana sana wafanyabiashara wa znbr to Dar..Kumbe wanakukimbiza Mkuu...ongeza spidi kdg
Bro pm nakujua kabisa yanPale maeneo ya msufini palikuwa na uwanja mkubwa sana unatumika ktk maswala mbali mbali km siasa, maulid ( madras)...jioni unakuta kuna cha ndimu gemu za ligi ya mbuzi unakuta vibinti micharuko na wakina mama na watoto mgongoni unasikia "usiniumizie uyoooo" hizo ligi wanacheza watu na ndevu zao ila mpira wa cha ndimu (sio gozi) hapa ndio alipotokea bondia CHEKA alikuwa golikipa kipaji chake cha ngumu kilikuja kuoneka kinondoni mahakamani(kambangwa) kuna kitu kinaitwa MTU BEE....gemu zikiisha huo uwanja unageuka sehem ya biashara samaki, vitumbua, chai n.k....biashara zikimalizia wanaingia wazee wa kazi NGETA hapo kuna kila aina ya wizi usije kukatisha eneo ilo msufini kuanzia saa tano usku UMEKWISHA
Daaah mshana umenikumbusha mbali enzi hizo nasali kanisa la wasabato mwananyamala,ilikuwa lazima nipite hapo kwenye uchochoro hili nifike kanisa lilipomshana jr you have made my day. Hilo la chapo kulipiwa ni kali kuliko. Ila ni kweli kwani uswazi kuna mengi. Nashangaa wana bongo movie wanaigiza vitu vya upeo wa juu vilivyowashinda uwezo wakati uswazi kumejaa kila aina ya hazina. Hata watunzi wa vitabu. BTW hata wewe ninahisi una kipaji cha kuandika kizuri sana
Mkuu nibeep no chukua jukwani kule ktk biashara zetu...nacheck game ya man u nazima simu..baadae tuwasiliane mkuuBro pm nakujua kabisa yan
Yani! dah nikiangaliaga avatar yako! UNANIKANGAROO! NA MIMI KWENYE BOKSA NGA NGA NGA!Nilisikia mwalimu ndeka jaman Mungu ampumzishe mahali pema peponi