Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Kile kijiwe kuna akina Bedui, Beka, kuna mzee mmoja anafanana na Mizengo Pinda, mzee Jose, Kobelo sijui, kuna mzee mmoja mpemba ana matusi sana nk
kweli jf ni kiboko, unawez kukuta tunafahamiana hata kunywa pamoja ila hizi id full kutukanana te teh... bedui, beka et al nawafahamu sana. beka ni mstaarabu, ila bedui mzee wa gongo sana hahahaha
 
Mazee...
Kuna ile Guest House iko mkabala na uwanja wa Mwananyamala B kama unatokea zilipo Ofisi za CHADEMA kwa sasa (Masana Dispensary).
Kuna geti pale kama vile linaingia nyumba ya mtu binafsi kumbe ni njia watu wanapita, unatokezea sokoni Magengeni.
Hiyo Guest inaitwaje??? Hivi inafanya kazi???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo Guest naifaham,hapo nimepita sana ni boda la waenda kwa miguu hilo kwa wanaotoka Makumbusho,ila jina lake silijui,ni uchochoro mreeefu sana
 
Kama haikukuua tuonjeshe uzoefu wa utamu wake tuchangamkie fursa, mijibwa ya kutosha kitaa kazi ya kutung'atia watoto na kutupa hasara ya matibabu.
Mboni mie kuna anko wangu alikuwa muuza supu maarufu sana alikuwaga na wateja wengi sana lakini alikuwa anamix nyama ya mbwa kwenye mbuzi then anauza supu watu walikuja kustuka siku moja kulikuwa na mbwa amegongwa na gari kuna madogo wakamleta huyo mbwa kwenye gunia maana anko alikuwa ananunua mbwa waliogongwa na gari kwa elfu 10
Sasa siku hiyo sijui nini kilisababisha watu kustukia na kuingia jikoni kwa nguvu wakakuta kuna ngozi za mbwa na vichwa na miguu!
Anko alichezea kichapo cha nguvu mpaka alipookolewa na polisi mpaka sasa ni miaka kama 6 alishaacha biashara hizo anamiliki miradi mikubwa mikoani
 
Ninachowakubali wahuni wa mwananyamala wakikujua hawakukabi utaombwa ya fegi tuu..***** sasa uwe wa kuja shughuri utaipata...

Alafu watu wanajuana Kwa aina ya wizi utasikia furani huwa havunji Ila kama dirisha limekatwa nyavu huyu atakuwa flani tuu basi wananzengo wanamfata arudishe alichoiba kwa amani kabisa.
 
He he usikute tunajuana kuna mdada tulisoma nae alifariki mwaka jana alikua anakaa huko msisiri Amina ridhiwani masikini
We kwetu huwa unakuja kutembelea misiba tu..?! Njoo na siku za kawaida bana..
 
Daaah kwenye huo uchochoro ndio ilikuwa njia ya kanisani kwetu
Nyuma ya hilo kanisa lenu ndio nyumba yetu mkuu....hilo kanisa ilikuwa nyumba ya mzee mmoja ambaye alikuwa politics zamani anaitwa mwinyi juma sasa hivi hana akili timamu aliuza hiyo nyumba kwa bei cheeeeeee ili afund movement zake za kisiasa likajengwa kanisa sasa hivi anapokaa kajaza magogo nyumba nzima anaishi peke yake
 
Ninachowakubali wahuni wa mwananyamala wakikujua hawakukabi utaombwa ya fegi tuu..***** sasa uwe wa kuja shughuri utaipata...

Alafu watu wanajuana Kwa aina ya wizi utasikia furani huwa havunji Ila kama dirisha limekatwa nyavu huyu atakuwa flani tuu basi wananzengo wanamfata arudishe alichoiba kwa amani kabisa.
Wahuni wa mitaa yote wako hivyo mzawa ,anayejulikana hawamgusi
 
Mazee...
Kuna ile Guest House iko mkabala na uwanja wa Mwananyamala B kama unatokea zilipo Ofisi za CHADEMA kwa sasa (Masana Dispensary).
Kuna geti pale kama vile linaingia nyumba ya mtu binafsi kumbe ni njia watu wanapita, unatokezea sokoni Magengeni.
Hiyo Guest inaitwaje??? Hivi inafanya kazi???
Daaah kale kamlango watu wamelizwa sana,mtu anamwita muuza nguo alafu anamtel ngoja nikajaribishe ndani,dah akichoma getini brek ya kwanza kwa mama zakaria machinga anasubiri pesa mpk jioni,
 
Na buguruni pia, sijajua kwa sasa hali ikoje, sewa na kimboka zilikuwa zikifungwa saa 7 root kwa zero pub till kuchee, niliwahi kuopoa ma.laya akanywa safari 4 nikalala nae na kumuibia 120k, nikasepa akastuka alinifata stend na chupi tu! sitasahau!
......umetisha Kamanda !!!
 
Mimi nilikuwa sikosi kwenye kijiwe cha daraft pale A kwa Ngapu. Kuna dogo mmoja alikuwa anaitwa Shaban katoto alikuwa anapiga draft ile mbaya.
 
Ninachowakubali wahuni wa mwananyamala wakikujua hawakukabi utaombwa ya fegi tuu..***** sasa uwe wa kuja shughuri utaipata...

Alafu watu wanajuana Kwa aina ya wizi utasikia furani huwa havunji Ila kama dirisha limekatwa nyavu huyu atakuwa flani tuu basi wananzengo wanamfata arudishe alichoiba kwa amani kabisa.
Kuna siku bado nipo mdogo nipo form two nimekatisha makaburini mwananyamala mda km saa mbili usk nakwenda CAMP (kujisomea na wanafunzi wenzangu ili uingie form three kuna wastani) nakatisha pale makaburin wametoka jamaa moja mbele yangu gafra tu mara huku nyuma wametokea jamaa wawili nikawa nipo katikat flani hivi ila bado kuna distance yanii awajanifikia wala sijawafika ila nishagundua hawa ni wandewa...sasa kwa mbali kunasikaka sauti ya mnanda(mchiriku) maeneo ya kwa kina mbamba huko chaukucha..nikaona dah leo nimekwisha sina simu, sina pesa ila wahuni awawezi kunielewa km mimi denti tu. fasta nikajitia kuimba wimbo wa mnada " washa shideo eeh shideo washa shideo eeh shideo huku naelekea mbele alipo yule mmoja wahuni wakabaki pending kama vile wanajiuliza huyu ng'ombe au mwenzetu??huyu muhuni mwenzetu au?? Wakiwa wamestuck nilikatisha katikati yao kama air force one[emoji125] [emoji125] [emoji125] vitendo vyote vilifanyika sekunde kadha kuwasoma na kuwaact na kutoka speed
 
Wajinga wale nilipanda gari za gombs kupitia mwananyamala, tumefika kituo cha MAKOKA nadhani wakapa njemba 2, tumejaa hatari, jamaa wamenisogelea balaa kumbe wanavuta simu yangu, kosa kubwa gari ilidunda kwenye bamsi ikarudi kwa kishindo simu mfukoni nikashituka, nikasema WIZI NYIE MNANIIBIA SIMU kwa sauti wakashuka kituo kinachofata
 
Nyuma ya hilo kanisa lenu ndio nyumba yetu mkuu....hilo kanisa ilikuwa nyumba ya mzee mmoja ambaye alikuwa politics zamani anaitwa mwinyi juma sasa hivi hana akili timamu aliuza hiyo nyumba kwa bei cheeeeeee ili afund movement zake za kisiasa likajengwa kanisa sasa hivi anapokaa kajaza magogo nyumba nzima anaishi peke yake
Ha ha dah Mwinyijuma mtata sana mjomba wa mwizi mmoja marehemu anaitwa Gege
 
Back
Top Bottom