Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Nilikua likizo ya two months pale kwa Manjunju, kwa bi mkubwa wangu 2006..

Ile miezi miwili narudi home nishakuwa mcharuko, ningekaa mwaka Sijui ingekuaje!! [emoji23][emoji23]

Mateja, vibaka, mashoga, vurugu, kelele yaan muda wote pako high..
 
[emoji23] [emoji23] daily lazima tukimbizane mkuu ndio sehem ya maisha ila wanatubana sana wafanyabiashara wa znbr to Dar..
Pole sana mkuu, tuvumilie tu maana lazima standard gauge ikamilike by 2019 ukijumlisha elimu bure, uboreshaji was huduma za afya, Maji, barabara...ni hizo hizo kodi zinafanya kazi hiyo mkuu
 
Huyu anapatikana maeneo ya mwananyamala kwa njunju.. Jamaa alikuwa genius..! Yaani hao jamaa wa dstv na star times ilibd wamuulize kwanza aliwezaje wezaje kutoa huduma mixer kwa raia zaidi ya 2000 bila ya kugundulika..! Alitumia sayansi gani..! [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hata Mimi nilijiulza maswali mengi sana Mkuu,jamaa alkuwa genius
 
Mada ya Mfahamu James Ngomero: Bingwa mtuhumiwa wa zile maiti 11 za watoto hospitali ya Mwananyamala imenikutanisha na watu wengi ambao kwa namna moja ama nyingine tunaweza kuwa tunafahamiana kabisa...

Si hilo tu bali nimegundua sehemu kubwa wanaJF Dar wengi ni wakazi wa Mwananyamala/Kinondoni katika ujumla wake...

Kuishi Mwananyamala pekee ni chuo tosha... Ikiwapendeza kwa uwingi wetu tunaweza kuwa na huu uzi wa vituko vya Mwananyamala mtaa kwa mtaa... Naamini kama umeishi Mwananyamala hutokosa cha kusimulia.

1. Madawa ya kulevya: Mwananyamala eneo lote la Mwananyamala A ni kituo na kitovu kikubwa cha madawa ya kulevya kuanzia wauzaji mapusha mpaka watumiaji... Hospital ya mwananyamala ina kituo cha kutoa tiba kwa mateja na nadhani ndio kituo kikubwa zaidi Tanzania.

2. Hospital ya mwananyamala: Ndio hospital maarufu zaidi yenye vituko na kashfa nyingi... Kuanzia kutoa mimba, kashfa ya vichanga 11, wizi wa maiti, rushwa... Maiti iliyofumuliwa na kutolewa madawa na madaktari kuiba hayo madawa,... Nk nk.

3. Matapeli: Hapo ndio kwake.. Mitaa maarufu ikiwa ni kuanzia kwa Kopa, A mpaka karibu na Kinondoni B, wale matapeli maarufu mmoja akijulikana kama doctor... Wale matapeli kiboko wa Jerry Muro, bar yao kubwa ilikuwa nyuma ya hospital ya Mwananyamala.

4. Ofisi na kampuni za mifukoni: Eneo lote la Kinondoni Mkwajuni mpaka Biafra ni hatari kwa shughuli hizo.. Utataka nini ukose.. Mihuri ya siri? Nyaraka za serikali? Mikataba mbalimbali, nyaraka za kusafisha mizigo.. Pesa bandia, madini bandia.. Kila kitu hukosi hapo. Mitaa hiyo ni maarufu kwa madaktari feki, Wanausalama, polisi, wanajeshi mahakimu, wanasheria, wabunge hata mawaziri nk

5. Machangudoa, wasagaji, mashoga, Mario nk... Mtaa wa wibu ndio kama kitovu cha mashoga.. Ukiwasikia kina anti abuu, anti Ali hiyo ndio ilikuwa mitaa yao.. Habari za Machangudoa na wasagaji zinajulikana wazi.. Kinondoni na Mwananyamala ndio headquarters..

6. Wezi, vibaka majambazi, wakora nao wako: Ukisikia roba za mbao na watu wanaitwa mbavu Mwananyamala ndio kwao

7. Wachawi wanga na waganga Wamo pia.. Mwananyamala kuna military base kubwa sana/KILINGE ya wachawi.... Lile anga limechafuka.

8. Wasanii wanamuziki wa aina zote: Bongo movies, Taarab, na kadhali kaliba yote hii kwa sehemu kubwa chimbuko ni Mwananyamala

9. Wahamiaji haramu: Wakongo, Wamalawi, Wakenya, Waganda, Warundi nk... Sehemu kubwa wamejazana Mwananyamala.

Yako mengi ya kuandika kuhusu Mwananyamala siwezi kuyamaliza yote... Mengine yataandikwa na kusimuliwa na WanaJF - Mwananyamala Wing...
Namkumbuka jamaa mmoja enzi hizo aliitwa "Simba zee" huyo alikuwa bingwa wa ukabaji na alikuwa anakaba peke yake...huyu alikuwa maarufu sana na alikuwa na nguvu kuliko scorpion[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Ungepita kipindi hiko baba.
Sasa hivi wakabaji wote wameshakufa na wezi wengi wanaendesha boda boda
Dah.! Umenikumbusha mbali sana mkuu yaani tukisema kila mtu arudie kazi yake ya zamani...!
Mfano mimi nilikuwaga na washkaji flani tukawa tunaiba mafuta ya transformers ila sintosahau siku tulipoparamia transformer flani ghafla ulisikika mripuko wa ajabu kufumba na kufumbua mwenzetu mmoja alikufa pale pale mwingine alifia hospital kuanzia siku hiyo niliacha kabisa kazi hiyo.
Namshukuru Mungu sa ivi niko zangu Dom nna banda langu natengeneza na kuuza majeneza na maisha yangu yako fresh nimejenga,nimeoa na nnamiliki
"Kagari" japo ni kama kale ka Mr bean.[emoji1] [emoji1] [emoji1] maisha yana historia ndefu sana.
 
Mi kimboka nilichukua demu, nikamwambia uwanja wa mauaji wapi, akasema nimfuate, ila moyoni nikawa najiuliza huku anakonipeleka kama kuna usalama, tukaingia gheto moja chafu chafu, yaani mashuka yana ramani ya nchi zote zilizopo duniani, mpaka sasa hivi sijajua zile ramani kama ni mikojo ya walevi au many ejaculations za masela..

Tukaanza mambo, mara demu anaanza kusema we ****** nini, fanya fasta niwahi kiwanja, daah, yaani mzuka wote ukaisha, maana nilikuwa sijazoea lugha kali kama za huyu chakalaa wa kike, yaani unanitukana katikati ya mchezo, maana anataka nifanye kama kuku kitu ambacho sijakizoea, ila kiukweli sikumaliza maana wazungu wote walighairi na kuamua kwenda kuendelea kuweka makazi kwenye korodani

Sitaisahau na sitamsahau huyu mpenzi aliyenipiga kibuti mpaka mzee mzima nikaamua kujitoa muhanga mitaa ya kimboka, maana kule mahala kunatisha mazee usiombe, halafu mbaya zaidi nilizama nikiwa nimevaa suti jezi la kazini, ila nahisi masela na wenyewe walikuwa hawanielewi ndio maana wakawa wananiangalia kwa macho ya wasiawasi, maana nilikuwa sifananii kabisa kuzama hayo maeneo, ila kunatisha, maana kule unaweza liwa supu ndugu zako wasione hata unyayo
Du dem mmoja nilimla hapo kimboka aka hamia mtaa ninao ishi wakati huo nimeoa nilikua Na hofu kumbe anikumbuki ananiita Shem siku moja naamka kumi nambili nakutananae kajipura inaonesha katoka viwanja demu anashep matata sna
Mkuu hii kali ya karne
 
Wapi DJ Manga P?Alikuwa anatuburudisha pale Masai kipindi hiko Hakuna Club bali kuna vyumba vya kulala wageni na Bar halafu Manga P anakuja kila Alhamisi au Ijumaa kutuburudisha na oldies za 80s. Hii ndio ilianza kuvutia wateja hadi Club ikaanzishwa.

Kipindi hiko hapo opposite kuna kibanda choka mbaya ila kina michipsi na mishikaki mitamu na bei ya kutupa ukichanganya na miguu ya kuku.
Kulikua Na guest chafu sana upande was pili wa barabara nilichukua mlupo hapo masai gesti inakungini balaa
 
Kuna biashara inaendelea pale Minazini kuna nyumba imejengwa km madarasa ya shule (jina maarufu kwa wahaya).

Kipindi kile bao moja ilikuwa 1500, kulala 5000 mda wa biashara ni saa 7 mchana mpaka midnite. Vile vyumba vina milango miwili yanii unaingia mbele unatokea nyuma..

Wanaojiuza unawakuta wamekaa mlangoni pale chini mteja akija hakuna ata salamu ni speed tu ndani, kuna wamasai pale wao ni km walinzi wa ile biashara ukizingua kulipa wanakupa kichapo. Wateja wengine walikuwa wanakwenda kutolewa ndani ya room unakuta mteja amelipa 1500 ya mwendo mmoja yeye anaunganisha basi anaitwa mmasai fasta na bakora zake....

Pia hawa wamasai unakuta analipwa elfu 60 kwa mwezi ila mwisho wa mwezi anaambulia elfu 8 au 10 nyingne zote anakuwa anapewa huduma sana sana za buku 5 zile za kulala usk...HAPO ni MINAZINI.
Nimeenda sana pande hizo mwaka 2011 bei ilikuwa buku 2 kwa round moja...vyumbani mwao kuna mwanga hafifu kunanukia udi halafu hawataki romance ukifika ni kumpa chake anavua unavaa ndom unaingiza unapiga fasta unasepa.!
Huwa wengi wao hawakubali peku ila mimi nilikuwaga na ujanja wa kutoboa kondom ili nifaidi "nguvu ya buku 2" zangu...anakuja kustuka "nimeshautupa"[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Nimeenda sana pande hizo mwaka 2011 bei ilikuwa buku 2 kwa round moja...vyumbani mwao kuna mwanga hafifu kunanukia udi halafu hawataki romance ukifika ni kumpa chake anavua unavaa ndom unaingiza unapiga fasta unasepa.!
Huwa wengi wao hawakubali peku ila mimi nilikuwaga na ujanja wa kutoboa kondom ili nifaidi "nguvu ya buku 2" zangu...anakuja kustuka "nimeshautupa"[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Nasikia mkuu wengine unakuta kuna watoto wachanga wamelala mkuu unapiga kazi dogo amelala pembeni ukiwa unapiga kazi fresh nasikia anampa report mwenzie wa room ya pili ila wanazungumza kwa lugha yao(kikabila) " huku kuna mwanaume wa kweli" pia sio ruksa kupiga bao mbili( coz la pili utachelewa na yeye anataka fasta fasta ili apate wateja wengi pia asichoke) bao ni moja km una usongo wako ukaingie room nyingne ili uanze upya
 
Dah.! Umenikumbusha mbali sana mkuu yaani tukisema kila mtu arudie kazi yake ya zamani...!
Mfano mimi nilikuwaga na washkaji flani tukawa tunaiba mafuta ya transformers ila sintosahau siku tulipoparamia transformer flani ghafla ulisikika mripuko wa ajabu kufumba na kufumbua mwenzetu mmoja alikufa pale pale mwingine alifia hospital kuanzia siku hiyo niliacha kabisa kazi hiyo.
Namshukuru Mungu sa ivi niko zangu Dom nna banda langu natengeneza na kuuza majeneza na maisha yangu yako fresh nimejenga,nimeoa na nnamiliki
"Kagari" japo ni kama kale ka Mr bean.[emoji1] [emoji1] [emoji1] maisha yana historia ndefu sana.
Kuna chalii alinisimulia huko kwa kigamboni usiku kuna wezi walikuwa na mtindo wa kuibia watu ,kukaba siku wakaweka mtego wakampitisha demu anachezea simu sasa siku hio kuna rafiki wa huyo jamaa alipitiwa kwao na wana waende kwenye kazi yao sasa yule jamaa alikuwa anamalizia kufanya mishe kwao akawajibu nisubirieni kidogo nakuja fasta ,wale jamaa wakaamua kutangulia na wakamvaa yule demu kilichotokea waliwekwa kati saba na kuuliwa kifo cha wezi kinajulikana yule jamaa ndio anafika anakutana wenzie ndio wanakufa alilia sana na kuanzia muda ule aliacha wizi

Watu wengi hujifunza baada ya kufanya makosa badala ya kuchukua tahadhari wasifanye makosa


Wewe jamaa huna tofauti na James Ngomero[emoji23]
 
Nimeenda sana pande hizo mwaka 2011 bei ilikuwa buku 2 kwa round moja...vyumbani mwao kuna mwanga hafifu kunanukia udi halafu hawataki romance ukifika ni kumpa chake anavua unavaa ndom unaingiza unapiga fasta unasepa.!
Huwa wengi wao hawakubali peku ila mimi nilikuwaga na ujanja wa kutoboa kondom ili nifaidi "nguvu ya buku 2" zangu...anakuja kustuka "nimeshautupa"[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Una hatari sana na hujipendi au .........!
 
Back
Top Bottom