Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Kete moja? Yule jamaa alikua anakutolea hata kete nne.

Mwenzake Mangolele ndiyo alikua ametengeneza draft la ngozi anatembea nalo yeye moto mnauwasha popote.
Ila sometime alikuwa anashinda kwa maneno. Ana maneno ya karaha sana.

Kuna Mzee wetu mmoja tulikuwa tunamuaminia sana halafu akapigwa. Fikiria wengine kisaikolojia tuliathirika kiasi gani!
 
Same to me mkuu

Nimezaliwa msisiri nimesoma mwananyamala b primary na kino sec yaani mwananyamala ni kitaa changu haswaaaaaa
 
Aahahahah
 
Same to me mkuu

Nimezaliwa msisiri nimesoma mwananyamala b primary na kino sec yaani mwananyamala ni kitaa changu haswaaaaaa
He he usikute tunajuana kuna mdada tulisoma nae alifariki mwaka jana alikua anakaa huko msisiri Amina ridhiwani masikini
 
Ila sometime alikuwa anashinda kwa maneno. Ana maneno ya karaha sana.

Kuna Mzee wetu mmoja tulikuwa tunamuaminia sana halafu akapigwa. Fikiria wengine kisaikolojia tuliathirika kiasi gani!
Wacheza draft 80% wana maneno ya shombo. Na hiyo ni Tanzania nzima nafikiri, nimezunguka mikoa minne na wacheza draft wote wana maneno ya shombo
 
Bro pm nakujua kabisa yan
 
Daaah mshana umenikumbusha mbali enzi hizo nasali kanisa la wasabato mwananyamala,ilikuwa lazima nipite hapo kwenye uchochoro hili nifike kanisa lilipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…