Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Kiuhalisia kabisa ni kwamba ile hospital imejengwa juu ya makaburi na ni njia kuu ya mapito ya wachawi na kuna kilinge kikuu pale ndio maana hospital ile ni special case.. Imeshindikana
Mkuu mshana kama huta jali,fafanua zaidi.unaweza okoa roho za raia wengi
 
Mwana nƴamala kwa kopa kuna dem huwa najipigiaga mbona kumɓe kuna mamɓo hivi.Ila hata ukiaangalia chocho nƴingi ziko mwana nƴamala

Bila kusahau Mwananyamala ni sehemu peke wahuni wanavutia bangi nyuma ya ukuta wa kituo cha polisi( Kwa kopa)
Polishiiii la kwenyu hili[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] mimi sio mchochedhi
 
Mkuu umeuwaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Pale uwanjani misufini ni maajabu tosha.
Mchana unakuta wanacheza mpira, ikifika saa moja jioni ni uwanja wa mama ntilie, hapo ukiwa na buku unapata dona safi, samaki, maharage, mrenda nk yaani kwa lugha nyepesi mboga saba kwa hiyo buku yako. Hapo vijana kutoka pande zote kutoka Manyanya, Kota, Uso wa Mbuzi nk wanajazana kupata mlo wa bei chee, hapo hata ukiwa na jero ina kazi.
Sasa ikishafika mida ya wanga kuna watu huwa wanakuja kuroga pale waziwazi, tena usishngae kumwona huyu anachimbia dawa ardhini na mwingine amebana chochoroni anamsubiri mrogaji akimaliza tu amkabe.
Kuna mama ntilie mmoja anasema akishaona wameanza kuroga, kwa usalama wake huwa anaamua kufungusha kilicho chake na kuondoka, anajua muda wake umeisha.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3] sana tuu[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji3] [emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]chupa ya chai Ina nini mkuu?
 
Hakuwahi kuwa na nyimba zaidi ya hiyo anayoweka magogo
 
Jaman ana miezi kadhaa mkuu masikini nasikia ilikua kichwa tu ndio kilimuondoa
Dah nitashuka chini kule pale kwa wazee wake japo kaubani aisee km namuona amina kuanzia darasa la kwanza to seven nimesoma nae mitaa yetu ya kujidai msisiri pale ccm kuangalia mapicha + vichwa vya kuku...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…