Mkuu mshana kama huta jali,fafanua zaidi.unaweza okoa roho za raia wengiKiuhalisia kabisa ni kwamba ile hospital imejengwa juu ya makaburi na ni njia kuu ya mapito ya wachawi na kuna kilinge kikuu pale ndio maana hospital ile ni special case.. Imeshindikana
Mkuu hivi mgahawa bado uko?Maaaweeeeeeee
Kumbe ni yeye
Nimekunywa chai sana kwenye mgahawa wake wa mbilinga
Mwanae A.....ndie alikuwa mhudumu
Huyu jingalao yaonyesha mtata sana jamaa, maana ww ni mtu was tatu unamtaja.Wewe msukule umekuja kuharibu uzi...mwenzio jingalao anajadili vizuri tu mada
Mwana nƴamala kwa kopa kuna dem huwa najipigiaga mbona kumɓe kuna mamɓo hivi.Ila hata ukiaangalia chocho nƴingi ziko mwana nƴamala
Polishiiii la kwenyu hili[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] mimi sio mchochedhiBila kusahau Mwananyamala ni sehemu peke wahuni wanavutia bangi nyuma ya ukuta wa kituo cha polisi( Kwa kopa)
Mkuu umeuwaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.
Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.
Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
Pale uwanjani misufini ni maajabu tosha.Pale maeneo ya msufini palikuwa na uwanja mkubwa sana unatumika ktk maswala mbali mbali km siasa, maulid ( madras)...jioni unakuta kuna cha ndimu gemu za ligi ya mbuzi unakuta vibinti micharuko na wakina mama na watoto mgongoni unasikia "usiniumizie uyoooo" hizo ligi wanacheza watu na ndevu zao ila mpira wa cha ndimu (sio gozi) hapa ndio alipotokea bondia CHEKA alikuwa golikipa kipaji chake cha ngumu kilikuja kuoneka kinondoni mahakamani(kambangwa) kuna kitu kinaitwa MTU BEE....gemu zikiisha huo uwanja unageuka sehem ya biashara samaki, vitumbua, chai n.k....biashara zikimalizia wanaingia wazee wa kazi NGETA hapo kuna kila aina ya wizi usije kukatisha eneo ilo msufini kuanzia saa tano usku UMEKWISHA
Jaman ana miezi kadhaa mkuu masikini nasikia ilikua kichwa tu ndio kilimuondoaInalilahi amina ridhiwani amefariki?? Lini mkuu dah [emoji24] [emoji24] [emoji24] amina
Museveni mtoto wa Upanga bwana, Mwananyamala kaishi mwaka gani?Ni ndo maana hata rais museveni wa uganda ni mtataaaa.mwananyamala palimuharibu maaa aliwahi ishi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3] sana tuu[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji3] [emoji3]Pale uwanjani misufini ni maajabu tosha.
Mchana unakuta wanacheza mpira, ikifika saa moja jioni ni uwanja wa mama ntilie, hapo ukiwa na buku unapata dona safi, samaki, maharage, mrenda nk yaani kwa lugha nyepesi mboga saba kwa hiyo buku yako. Hapo vijana kutoka pande zote kutoka Manyanya, Kota, Uso wa Mbuzi nk wanajazana kupata mlo wa bei chee, hapo hata ukiwa na jero ina kazi.
Sasa ikishafika mida ya wanga kuna watu huwa wanakuja kuroga pale waziwazi, tena usishngae kumwona huyu anachimbia dawa ardhini na mwingine amebana chochoroni anamsubiri mrogaji akimaliza tu amkabe.
Kuna mama ntilie mmoja anasema akishaona wameanza kuroga, kwa usalama wake huwa anaamua kufungusha kilicho chake na kuondoka, anajua muda wake umeisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]chupa ya chai Ina nini mkuu?Ngoja nikupe matukio ya siku ya uchaguzi halafu utasema mwenyewe unahisi matokeo yalikuaje.
Afisa mtendaji akagundulika kua anawapigisha kura wazee na vilema kwa kuwatikia CCM hata kama hawataki, kuna mlemavu wa urefu alisimamia visigino akakuta jamaa anatiki CCm akaanzisha utata Afisa akapigika askari wakaingilia.
Kuna mama alikutwa na chupa ya chai imejaa kura zilizokua zimetikiwa tayari.
Askari walikua wamejazana na magari ya maji ya kuwasha wakihimiza watu wasikae eneo hilo kabisa.
Wasimamizi na ambao walikua wanapanga tukio ni makada wa chama na mmoja ni mtoto wa mgombea.
Of course CCM tulishinda
Hakuwahi kuwa na nyimba zaidi ya hiyo anayoweka magogoNyuma ya hilo kanisa lenu ndio nyumba yetu mkuu....hilo kanisa ilikuwa nyumba ya mzee mmoja ambaye alikuwa politics zamani anaitwa mwinyi juma sasa hivi hana akili timamu aliuza hiyo nyumba kwa bei cheeeeeee ili afund movement zake za kisiasa likajengwa kanisa sasa hivi anapokaa kajaza magogo nyumba nzima anaishi peke yake
Dah so sad alikua mwalimu wangu mkuu shule ya msingi makumbusho.Nilisikia mwalimu ndeka jaman Mungu ampumzishe mahali pema peponi
Dah nitashuka chini kule pale kwa wazee wake japo kaubani aisee km namuona amina kuanzia darasa la kwanza to seven nimesoma nae mitaa yetu ya kujidai msisiri pale ccm kuangalia mapicha + vichwa vya kuku...Jaman ana miezi kadhaa mkuu masikini nasikia ilikua kichwa tu ndio kilimuondoa
Acha tusikilize tu siku tukienda dsm tusije pokelewa na wahuni kama wa mwananyamalaWa mikoani tunasikiliza tu