Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Pale uwanjani kwa kopa kuna upande wa uwanja unaitwa kwa wahuni hapo ni bangi mtindo mmoja alafu cha kushangaza kituo cha police kipo mita mia kutoka Hapo...
Hiyo ndio Mwananyamala!
 
Du dem mmoja nilimla hapo kimboka aka hamia mtaa ninao ishi wakati huo nimeoa nilikua Na hofu kumbe anikumbuki ananiita Shem siku moja naamka kumi nambili nakutananae kajipura inaonesha katoka viwanja demu anashep matata sna
Hahaha!! Usiombe awe anakuangalia halafu sio akakutolea uvivu akakuuliza kama nakufananisha hv kama tushawahi kuonana mahali sipati picha hizo futi utakazoruka mkuu!!! [emoji2]
 
Mwenyekiti wetu hajui kusoma na kuandika ukaanzishwa utata akasema anajua kuandika na kusoma.

Wakakutanishwa siku hiyo ya kumtest kama kweli anajua kusoma na kuandika akaambiwa andika Chama Cha Mapinduzi.

Akaandika Chama Ha Mapundusi

Mwandiko kama bata.

Kampeni za 2015 akawa ananadi sera nanukuu

"Vijana nipeni kura mimi na nyinyi hatuna ugomvi ndiyo maana mnapovuta bangi napajua ila sijawahi kuwaleta polisi, kama kuna yeyote kawahi kusumbuliwa na askari kisa bangi aseme"
Mchangani au
 
Mwananyamala nilidumu week mbili na ushee kama siku 16 flani hivi nikahama ndani ya hizo hizo week mbili. Vioja vilivyonipata vinatoshea kumpata mtu kwa angalau interval ya miaka miwili mimi vilinikuta ndani ya week mbili za kuishi mwananyamala . Nikiwa ndio kwanza naanza maisha nilipata chumba nyumba moja hivi karibu na sokoni. Kwanza nyumba yenyewe ilikuwa na manyau balaa yaani palikuwa na biashara ya supu na makongoro nyumba ya pili sasa yale mapaka yalikuwa yanaruka ukuta yanaingia upande wa nyumba niliyokuwa naishi yaani ndani ya uzio wetu ndio kilikuwa kijiwe cha yale manyau yalikuwa mengi kuliko kunguru.

Kitu kingine kilichofanya nikikumbuka nacheka maisha ya mwananyamala ni Luku jamani Luku inakaa masaa yaani umeme ukiwekwa kila mtu anazama chumbani mwenye kunyoosha ana nyoosha faster mwenye kupika kwa jiko lake anapika kabisa bada ya hapo mnakula giza kama siku mbili mbele maana umeme wenyewe ulikuwa wa kupigia foleni pale mwanamboka. Halafu masela mle ndani walikuwa na maisha ya msoto tu pesa ya kudandia mwenye nyumba hakuwa anaishi hapo ilikuwa shida balaa

La mwisho lililo nitoa mbio hadi nikasamehe kodi ya miezi mitatu nilipata lijamaa linafanya biashara ya vinyago linaishi mwananyamala kisiwani kule karibu kwa mama mmoja hivi aliitwa Zagalo. Limakonde lile kumbe malaya wanaliwinda wakagundua linataka kutuliza mambo kwangu wadada ile mishangingi mishankupe wa mwananyamala wakanifuata natoka zangu kazini ile naingia ndani ndani tu wakaruka ukuta kupitia ile nyumba ya wauza supu pona yangu alikuwa kaka mmoja bouncer (siku hizi yuko red brigade) aliwazuia akawaambia atawachapa makofi ila walikuja na viwembe wanikate kate ki*si*i wasingeshindwa wale .

Nakumbuka nilishapigwa roba ya maana pale A nikaporwa simu na viatu , pete na hereni, nilishawahi kupanda daladala kinondoni makaburini hadi nafika komakoma handbag iko nje ndani ndani nje imekombwa kila kitu. Nilishawahi kurudi room nikakuta nguo zimevutwa kupitia dirishani mchana kweupee hadi shuka lilivytwa likakwama kwenye tundu la kutolea kwa timbwili lile nilijikuta nasamehe kodi yangu nikaikimbia mwananyamala nikasogea mkwajuni kidogo kabla sijadumbukia chama la wana TMK. Ile mwananyamala ilikuwa tamu ila ndio hivyo nilitoka nduki [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kuna mzee alikuwa anaitwa mzee Mbaga tajiri alikuwa na mifugo mingi tu ng'ombe, mbuzi, kondoo sehem yake ya machungio makaburini kwa kopa pale ukimfukuza mfugo wake anakwambia "nitukane mimi" nipige mimi" ila sio ng'ombe wangu alikuwa mtata balaa..alipokufa alizikwa makaburi hayo hayo na kaburi lake walikuwa wanalinda wamasai alizikwa na Mali pia na bunduki yake..aftr km 3years or 4 sina kumbukumbu vizur walikuja watoto wake walikuwa wanaishi japan au america kaburi likafukuliwa maiti ikatolewa ikiwa ktk sanduku wakaenda kumzika upya kinondoni mwembe jini
 
Ndio nilikuwa nahama

Kano au "Kanu" pia alinitafutia chumba huyu dalali na mwenzie aliitwa seba wakaniweka kwenye nyumba ina mkutano wa manyau japo ilijaa mabachelor watupu lakini ilikuwa shida tupu. Nakumbuka walinidai pesa ya udalali wote wawili ati walizungukana kwa madai yao niliwa mind sema sikutaka shida nao nikawapa tu
 
Na yule Mdogo wake aliingia kwenye jeneza nyimbo ya MwanaFA ya alikufa kwa ngoma naye alifariki pia
Alikuwa na mke mkali sana yule jamaa,kipindi kile nipo chalii but nilikuwa namtamani,mama yao alikuwa anauza mkaa igumila street dah
 
Back
Top Bottom